Hivi inakuwaje makampuni ya simu kama voda,tigo na airtel bei sms ni juu kiasi hiki? yaani sms moja ni zaidi ya tsh 100/=, au nao ndio msimu wao wa kuvuna?
he....imepanda lini....ilikuwa shs 45-59....ukituma msg nje ya Tz kwa voda nadhani ni shs 130....hawa *&^%* zantel waliniambia nikijiunga na highlife msg nje itakuwa shs 50 badala yake nakuja kugundua ni shs 97....pambaf....kweli wanatuona watz ni mazoba
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.