Njia rahisi ya Kupunguza bei ya mafuta

Njia rahisi ya Kupunguza bei ya mafuta

Kamundu

Platinum Member
Joined
Nov 22, 2006
Posts
9,586
Reaction score
14,909
Njia rahisi sana ya kupunguza bei ya mafuta kwa wenye akili watanielewa

Mfano

Kodi zote ni 31% ya bei ya mafuta

Ths 3500 kwa lita kodi zote ni Tsh 1,085

Mfano sasa bei ni Tsh 4500 kodi ni Tsh 1,395

Serikali ikisema tu kwamba badala ya kukusanya kodi kwa 31% tukusanye kwa kiasi kabla ya vita yaani kwa bei ikiwa Tsh 3500 kama kweli wana nia ya kusaidia maana yake kodi itakuwa Tsh 1,085 hivyo bei ya sasa ingekuwa pungufu kwa Ths 310 ambayo ni Ths 4,190 sio Tsh 4500
 
Njia rahisi sana ya kupunguza bei ya mafuta kwa wenye akili watanielewa

Mfano

Kodi zote ni 31% ya bei ya mafuta

Ths 3500 kwa lita kodi zote ni Tsh 1,085

Mfano sasa bei ni Tsh 4500 kodi ni Tsh 1,395

Serikali ikisema tu kwamba badala ya kukusanya kodi kwa 31% tukusanye kwa kiasi kabla ya vita yaani kwa bei ikiwa Tsh 3500 kama kweli wana nia ya kusaidia maana yake kodi itakuwa Tsh 1,085 hivyo bei ya sasa ingekuwa pungufu kwa Ths 310 ambayo ni Ths 4,190 sio Tsh 4500
Mimi akili niliuza.Sijakuelewa.
 
Njia rahisi sana ya kupunguza bei ya mafuta kwa wenye akili watanielewa

Mfano

Kodi zote ni 31% ya bei ya mafuta

Ths 3500 kwa lita kodi zote ni Tsh 1,085

Mfano sasa bei ni Tsh 4500 kodi ni Tsh 1,395

Serikali ikisema tu kwamba badala ya kukusanya kodi kwa 31% tukusanye kwa kiasi kabla ya vita yaani kwa bei ikiwa Tsh 3500 kama kweli wana nia ya kusaidia maana yake kodi itakuwa Tsh 1,085 hivyo bei ya sasa ingekuwa pungufu kwa Ths 310 ambayo ni Ths 4,190 sio Tsh 4500
 
Kwani bei mpya zimetoka? Nimezurura kote huku sijaona hizo bei. Pikipiki yangu siwezi kuazimisha tena.

aaae.PNG
 
Hakuna fisadi atakubali kuona mwananchi unapata unafuu wowote ule wa maisha. Kodi itabakia palepale, na tutaumia sana tu. Kwani wenyewe kupanda kwa hiyo bei hakuwahusu.
 
Back
Top Bottom