Vijiji gani vitaje.... watakua wavivu haoVijijini hali ni mbaya sana
Kasema sado ndio 1500Mkuu Kweli hili la debe 1,500?? niwashe pickup yangu nikachukue
Manyara Babati20000 manyara
Mbeya IPI hii bei?Mbeya 16,000/=
Sure! juzi tuu nimemtumia bmkubwa kachukua gunia mbili kwa 72000/=Mbeya IPI hii bei?
Unamanisha gunia 96000?
Acha upotoshaji
Mbeya ni 36000/=gunia