Troll JF
Platinum Member
- Feb 6, 2015
- 9,284
- 13,720
Hapo kama Unafanya Biashara Kuna ArbitrageWajumbe tupeane tena updates za bei za mahindi mana kuna watu wanasema bei zimeshashuka mfano Mbeya ndoo ya lita 20 ni 12,000
Hapo kama Unafanya Biashara Kuna ArbitrageWajumbe tupeane tena updates za bei za mahindi mana kuna watu wanasema bei zimeshashuka mfano Mbeya ndoo ya lita 20 ni 12,000
Leo nimepata habari zisizo rasmi,NFRA (serikali) imeanza kutoa mahindi ya bei nafuu kanda ya Ziwa,sina uhakika sana. Kama ni hivyo,tarajia bei kushuka zaidi!Bariadi debe limeshuka kutoka 20000 miezi miwiliyo iliyopita hadi 9,000 kwa sasa
Ni Sh. 16,000/=
Kushuka ni kwa muda tu, na ni nafasi nzuri kwa wafanyabiashara kujilimbikizia stock. NFRA hawalimi, na msimu uliopita walinunua mahindi kidogo sana kwa sababu fungu walilopewa ni dogo, mahindi yaliyopo hayatoshelezi soko, tegemea bei kufika 1500 kwa kilo.Leo nimepata habari zisizo rasmi,NFRA (serikali) imeanza kutoa mahindi ya bei nafuu kanda ya Ziwa,sina uhakika sana. Kama ni hivyo,tarajia bei kushuka zaidi!
Thats around 500 kwa kilo, kama una gari yako peleka Mtwara kauze mia 8. Aliyeko Mtwara alete current price.Mbeya ipi hiyo,soko kuu la mahindi Mby ni Mbalizi na debe ni Sh.10,000/=
huko bariadi unamtu kukusanyaBariadi debe limeshuka kutoka 20000 miezi miwiliyo iliyopita hadi 9,000 kwa sasa
Naomba namba yk tuwasilianeMbeya ipi hiyo,soko kuu la mahindi Mby ni Mbalizi na debe ni Sh.10,000/=
Mbeya gan hii mkuuWajumbe tupeane tena updates za bei za mahindi mana kuna watu wanasema bei zimeshashuka mfano Mbeya ndoo ya lita 20 ni 12,000
Hii ilikuwa bei ya tar.11 March,ndipo niliandika hivyo!Mbeya ipi hiyo,soko kuu la mahindi Mby ni Mbalizi na debe ni Sh.10,000/=
DODOMA 21000/- makuluu hapa weeeeeeeeee uko wap?
Wadau moshi mahindi shilling ngapi kwa gunia?Hombolo bwawani
Songea wanauza kwa kilo au sado ile ya Lita 4Songea mahindi bei gani kwa ndoo ya lita 20??
Mazoea ya watu wa Mtwara zaidi kununua unga kuliko maindiThats around 500 kwa kilo, kama una gari yako peleka Mtwara kauze mia 8. Aliyeko Mtwara alete current price.
huko bariadi unamtu kukusanya