Bei ya maharage Kenya ni 2861 Tsh/Kg huku Tz ni 4,200Tsh/Kg lakini wakenya wapo Barabarani huku watanzania tukipongezana miaka 2

Abraham Lincolnn

JF-Expert Member
Apr 12, 2018
2,510
4,224
Ama kweli, ukistaajabu ya Musa utaona ya Firauni. Huu ndiyo uhalisia wa hali zilivyo katika nchi hizi mbili.

Ukiachilia mbali swala la mfumuko wa bei, nina uhakika endapo haya yanayotokea katika shirika la TANESCO na kutesa wananchi kwa migao ya umeme kila kona lingetokea kwa majirani zetu, tayari baadhi ya watu wangeshawajibishwa na umma. Achilia mbali maji, huduma za afya, elimu, miundombinu, ulambaji asali n.k.

Lakini cha kushangaza, Watanzania wako busy na kusifu na kuimba mapambio ya kupongezana kana kwamba sasa Tanzania ni New York kubwa 😄.

Ni mwendo wa kupongezana na kusifiana tu! Tanzania mbele kwa mbele! Note: Kuna wanaoponda ila kupanda bei maharage ni mfano tu, hapa nazungumzia kupanda bei bidhaa kiujumla, pamoja na mambo mengine ya hovyo yanayoendelea kama migao ya umeme, maji n.k.
 
Ama kweli, ukistaajabu ya Musa utaona ya Firauni. Huu ndiyo uhalisia wa hali zilivyo katika nchi hizi mbili. Ukiachilia mbali swala la mfumuko wa bei, nina uhakika endapo haya yanayotokea katika shirika la TANESCO na kutesa wananchi kwa
Hamna kitu kinanikera et kumpongeza mtu kwa kazi aliyoitaka mwenyewe kwa nguvu zote na bado asifanye yaliyotarajiwa alafu mkeshe mkisifia kisa ni utamaduni.... bladenfaka...
 
Watanzania wamelogwa na Nyerere, then Mwingi, Mkapa, then Kikwete, Makufuli, na Samia under CCM from 1961. Bado, structure ya ukoloni ni ileile. Unategemea nini?

Kila kitu, Rais. Tunataka katiba ambayo tutamchagua mkuu wa wilaya, mkurugenzi, mwalimu mkuu, jaji mkuu, na viongozi wengine. Hatutaki mfumo ambao Rais anatuletea shoga kuwa mkuu wa wilaya. Hatutaki.
 
Bei ya maharage Kibondo ni 2250 TSH, Mpanda 1800 TSH, Kasulu 2100 TSH, Kahama 2400 TSH, Mwanza 2350 hadi 2500 TSH, Tabora 2400 TSH, Singida 2500 TSH, Karagwe 1950 TSH. Nitaendelea kuleta bei za maeneo mbalimbali. Maharage hutofautiana bei kama njano ndefu, njano ya glori na rose coco, nyekundu, kitenge. Bei ni tofauti kwa kila sampo.
 
Bei ya maharage Kibondo ni 2250 TSH, Mpanda 1800 TSH, Kasulu 2100 TSH, Kahama 2400 TSH, Mwanza 2350 hadi 2500 TSH, Tabora 2400 TSH, Singida 2500 TSH, Karagwe 1950 TSH. Nitaendelea kuleta bei za maeneo mbalimbali. Maharage hutofautiana bei kama njano ndefu, njano ya glori na rose coco, nyekundu, kitenge. Bei ni tofauti kwa kila sampo.
Dar, Pwani Bei gani?
 
Ama kweli, ukistaajabu ya Musa utaona ya Firauni. Huu ndiyo uhalisia wa hali zilivyo katika nchi hizi mbili.

Ukiachilia mbali swala la mfumuko wa bei, nina uhakika endapo haya yanayotokea katika shirika la TANESCO na kutesa wananchi kwa migao ya umeme kila kona lingetokea kwa majirani zetu, tayari baadhi ya watu wangeshawajibishwa na umma. Achilia mbali maji, huduma za afya, elimu, miundombinu, ulambaji asali n.k.

Lakini cha kushangaza, Watanzania wako busy na kusifu na kuimba mapambio ya kupongezana kana kwamba sasa Tanzania ni New York kubwa 😄.

Ni mwendo wa kupongezana na kusifiana tu! Tanzania mbele kwa mbele! Note: Kuna wanaoponda ila kupanda bei maharage ni mfano tu, hapa nazungumzia kupanda bei bidhaa kiujumla, pamoja na mambo mengine ya hovyo yanayoendelea kama migao ya umeme, maji n.k.
Jamaa mbna nyie ni waongo HV Lina maharage yameuzwa Bei hyo ya elf 4200 mnampotosha Nani na kwa manufaha gani

Mm nimlagi wa maharage Bei ya juu sna nanunua kwa kg 3400 ya Chini San 3200 Niko ddm ,ilazo

Nilikuwa dar es salama Bei ilikuwa hvyo hvyo ya 3400 kwa kg SAS unavyosema Bei ni 4200 nawashangaa sna

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Ama kweli, ukistaajabu ya Musa utaona ya Firauni. Huu ndiyo uhalisia wa hali zilivyo katika nchi hizi mbili.

Ukiachilia mbali swala la mfumuko wa bei, nina uhakika endapo haya yanayotokea katika shirika la TANESCO na kutesa wananchi kwa migao ya umeme kila kona lingetokea kwa majirani zetu, tayari baadhi ya watu wangeshawajibishwa na umma. Achilia mbali maji, huduma za afya, elimu, miundombinu, ulambaji asali n.k.

Lakini cha kushangaza, Watanzania wako busy na kusifu na kuimba mapambio ya kupongezana kana kwamba sasa Tanzania ni New York kubwa 😄.

Ni mwendo wa kupongezana na kusifiana tu! Tanzania mbele kwa mbele! Note: Kuna wanaoponda ila kupanda bei maharage ni mfano tu, hapa nazungumzia kupanda bei bidhaa kiujumla, pamoja na mambo mengine ya hovyo yanayoendelea kama migao ya umeme, maji n.k.
Jua kwanza hiyo hela ya Kenya ni shilingi ngapi ya kitanzania ndo utajua kwamba hali ni mbaya zaidi japo sisemi kwamba sisi tuna hali nzuri na kwamba tusiandamane. Ingawa pia sababu ya kuandamana wakenya sio bei ya vyakula hicho ni kisingizio tu anakojificha Odinga sababu ya msingi kabisa ni kwamba maslahi yake yako mashakani ndo maana anawatumia wananchi kwa kisingizio cha ghalama za maisha.
 
Back
Top Bottom