Mzee wa kupambania
JF-Expert Member
- Aug 14, 2022
- 21,774
- 54,843
Kwa hiyo itapanda kwa buku tena hapoSawa tuu si wameounguziwa kwingineko..
Mkoani tunanunua cement 17,000-19500 so sie tulizoea..
Mwisho umeambiwa hela inatakiwa wanafunzi wakapewe mikopo wasome hakuna njia mbadala
Kuna matumizi mabaya ya kodi zinazokusanywa na ukusanyaji wa kodi umekithiri rushwa na ukwepaji wa kodi
Mwisho wa siku ndo hizi tozo tunabebeshwa sisi ili kufidia
Kumbuka hii haimwathiri mwenye kiwanda wala mfanyabiashara wa jumla na rejareja hata kidogo ni wewe mtumiaji wa mwisho ndiye unabebeshwa mzigo wa hiyo buku