Bei ya Cement yapanda

Bei ya Cement yapanda

Pale walipojitoa tu ndo ilikuwa mwisho wake, kosa jingine ni kutotaka shiriki uchaguzi bila katiba mpya
Utakuwa umesahau hebu rejea kuna nyuzi nyingi jf archive.
 
Huyu Mwigulu hata kama anataka uraisi kwa kumpotosha Raisi ajue mateso yaliyoko huku mtaani.
 
Wakisema wakaze Chadema watasema oneni serikali inawabana wanyonge, hivyo wameamua kuacha ili kila mtu alipie kama tozo
Kumbe wale wanaosema chadema inaongoza nchi wako sahihi !
 
Kumbe ni buku tuu,sawa tuliambiwa hivyo Bungeni
Kwenye uchumi ongezeko la buku ni hela kubwa sana

Dangote 42.5 Truck semi hubeba mifuko 600 bei ilikuwa ni 15,000 ulikuwa unaagiza kwa 9,000,000/=

Sasa hivi baada ya serikali kuongeza 1000 ni 16,000 ukiagiza semi ni 9,600,000/=

Hii cement ya Dangote 42.5 ndio huwa inatumiwa sana na viwanda vya kutengeneza tofali

Mtengeneza tofali naye ataongeza bei ya tofali ili kufidia hizo buku buku

Mtumiaji wa mwisho mwananchi akisema aanze ujenzi akienda kununua matofali anakuta bei iko juu akinunua na cement anakuta bei imepanda

Mambo ya Hon. Dr. Nchemba hayo
 
Mwanachi anaumia sana wanasiasa hawana huruma
Fikiria mtu anakula bure, analala bure, anaendesha bure, karibia 100% ya maisha yake anaishi bure kwa kutegemea watu fulani wampe, lakini hao wanaompa ili aishi vizuri anazidi kuwakandamiza.

Hivi waliobuni mifumo ya kuongozwa na siasa ni nani kama sio upumbavu? There mofos are so selfish.
 
Kwenye uchumi ongezeko la buku ni hela kubwa sana

Dangote 42.5 Truck semi hubeba mifuko 600 bei ilikuwa ni 15,000 jumla unapata 9,000,000/=

Sasa hivi baada ya serikali kuongeza 1000 ni 16,000 ukiagiza semi ni 9,600,000/=

Hii cement ya Dangote 42.5 ndio huwa inatumiwa sana na viwanda vya kutengeneza tofali

Mtengeneza tofali naye ataongeza bei ya tofali ili kufidia hizo buku buku

Mtumiaji wa mwisho mwananchi akisema aanze ujenzi akienda kununua matofali anakuta bei iko juu akinunua na cement anakuta bei imepanda

Mambo ya Hon. Dr. Nchemba hayo
Sawa tuu si wameounguziwa kwingineko..

Mkoani tunanunua cement 17,000-19500 so sie tulizoea..

Mwisho umeambiwa hela inatakiwa wanafunzi wakapewe mikopo wasome hakuna njia mbadala
 
Fikiria mtu anakula bure, analala bure, anaendesha bure, karibia 100% ya maisha yake anaishi bure kwa kutegemea watu fulani wampe, lakini hao wanaompa ili aishi vizuri anazidi kuwakandamiza.

Hivi waliobuni mifumo ya kuongozwa na siasa ni nani kama sio upumbavu? There mofos are so selfish.
Kwa kuwa karibu kila kitu kwao ni bure wanasahau maumivu wanayopitia raia wao ambao hawana cha bure

Kuhusu mfumo wa siasa Biblia ilishasema;
Mhubiri 8:9 BHN
Haya yote nimeyaona katika uchunguzi wangu juu ya yote yanayotendwa hapa duniani, binadamu anapokuwa na mamlaka kumkandamiza na kumdhuru binadamu mwenzake.
 
Back
Top Bottom