Satoh Hirosh
JF-Expert Member
- Mar 30, 2021
- 7,149
- 28,857
Eti Kodi kwa maendeleo ya nchi!!!Tulipe kodi kwa maendeleo ya nchi
Nchi gani?
Hii nchi tunalipishana Kodi za kuumizana wakati hao watawala wanaishi bure kwa kila kitu. Hadi magari wanaagiza zero km na yanapita bure bandarini,alafu sisi wa chini tunaagiza vigari vya 2008 IST na vitz,Kodi zaidi ya gari.
Wanapandisha cement Kodi wakati wao wanaishi bure hawalipii chochote.
Tunalipa Kodi alafu wao wanaitafuna bila huruma!!