🤔kwan chadema ni mlikua mnataka Katiba mpya, Mikutano ya hadhara vyama iruhusiwe, wabunge wa COVID-19 waondolewe bungeni, Mbowe atoke gerezani, Maridhiano yaendelee, tozo miamala ya cm ziondolewe, garama za maisha zishushwe, mkataba DP world uvunjwe, Jaji mkuu kuongezewa muda kusitishwe au mnataka nini hasa maana naona maacha hiki mnadandia kingine. Kipi ni kipi hasa ili angalau muaminikeSisi CHADEMA hatutaki kuhongwa viti Bungeni tunataka Katiba Mpya ndio tuingie kwenye Uchaguzi ambao ni huru na wa haki na kama CCM itatushinda kihalali tutawapongeza.
Halafu watu wakikuuliza kama bado umepanga, unaeza sema nimejenga au nimenunua kontena?Kuna kununua container la fut 7 hafu unali modify.
Sisi tunataka KATIBA MPYA kwanza.🤔kwan chadema ni mlikua mnataka Katiba mpya, Mikutano ya hadhara vyama iruhusiwe, wabunge wa COVID-19 waondolewe bungeni, Mbowe atoke gerezani, Maridhiano yaendelee, tozo miamala ya cm ziondolewe, garama za maisha zishushwe, mkataba DP world uvunjwe, Jaji mkuu kuongezewa muda kusitishwe au mnataka nini hasa maana naona maacha hiki mnadandia kingine. Kipi ni kipi hasa ili angalau muaminike
Kwa sasa Katiba mpya ni muhimu kuliko OxygenSisi tunataka KATIBA MPYA kwanza.
Acha kutumia mibangi huku ukiwa na minjaa yako TumboniCCM iondolewe kwa mtutu kwasababu imetumasikinisha kwa miongo mingi.
CCM iondolewe kwa mtutu kwasababu imetumasikinisha kwa miongo mingi.
Bango kubwa LisomekeCCM iondolewe kwa mtutu kwasababu imetumasikinisha kwa miongo mingi.
Hapo sawa, muwe uniform basi. That's very good 👍 commander.Sisi tunataka KATIBA MPYA kwanza.
Kodi kwa wapangaji nayo lazima ipande, ndo maana yake. Hapa kila kitu maumivu
Naunga mkono hoja, haina haja ya kujenga njianiHata hivyo duniani sio makao, haina haja ya kujenga. Makao yetu ni kwa Baba tuu
Kumbe wabunge uliwapeleka wewe na Marehemu magufuli ??Kule Bungeni tumepeleka Wawakilishi wasioweza kututetea.
Hii Nchi hata turudishe kodi ya Kichwa lakini maendeleo yataishia kusemwa midomoni mwa Wanasiasa tu lakini sio kuonekana field.
Viongozi wanatafuna hii Nchi kwa Ufisadi
Aisee..Naunga mkono hoja, haina haja ya kujenga njiani
Uliona wapi nchi yenye viongozi wenye akili wanatumia 62% ya bajeti Kwa matumizi ya utawala? Yaani akili yao wanaona kununua mashamgongi na vitafunio ofisini ndio kipaumbele badala ya kuwekeza kwenye kilimo, elimu na afya sehemu ambazo zitachochea maendeleo ya nchi!Tulipe kodi kwa maendeleo ya nchi
Hata kama ingekuwa umewapeleka wewe lakini kusema ukweli Wabunge wa 2020 hakuna kitu kabisaKumbe wabunge uliwapeleka wewe na Marehemu magufuli ??
Watawala hawana huruma.
Wanatuonyesha njia ya kufanya mageuzi ila tumelala kama pono, inakera, tozo kodi na hupati huduma kamilifu umeme kero, maji kero duhNimeona pia taarifa ya Mbeya cement, nayo imeonesha hilo ongezeko la shilingi 1,000 kwa kila mfuko wa saruji.
Yaani pamoja na ugumu huu wa maisha wameamua ku impose mzigo mwingine wa kodi kwa Raia wake![]()
=======
Ingekuwa Nchi nyingine zinazoejielewa mfumko huu wa maisha ingekuwa tiketi ya Viongozi hao wakuu na Serikali yao kuondoshwa madarakani