Bei ya Cement yapanda

Bei ya Cement yapanda

Sisi CHADEMA hatutaki kuhongwa viti Bungeni tunataka Katiba Mpya ndio tuingie kwenye Uchaguzi ambao ni huru na wa haki na kama CCM itatushinda kihalali tutawapongeza.
🤔kwan chadema ni mlikua mnataka Katiba mpya, Mikutano ya hadhara vyama iruhusiwe, wabunge wa COVID-19 waondolewe bungeni, Mbowe atoke gerezani, Maridhiano yaendelee, tozo miamala ya cm ziondolewe, garama za maisha zishushwe, mkataba DP world uvunjwe, Jaji mkuu kuongezewa muda kusitishwe au mnataka nini hasa maana naona maacha hiki mnadandia kingine. Kipi ni kipi hasa ili angalau muaminike
 
🤔kwan chadema ni mlikua mnataka Katiba mpya, Mikutano ya hadhara vyama iruhusiwe, wabunge wa COVID-19 waondolewe bungeni, Mbowe atoke gerezani, Maridhiano yaendelee, tozo miamala ya cm ziondolewe, garama za maisha zishushwe, mkataba DP world uvunjwe, Jaji mkuu kuongezewa muda kusitishwe au mnataka nini hasa maana naona maacha hiki mnadandia kingine. Kipi ni kipi hasa ili angalau muaminike
Sisi tunataka KATIBA MPYA kwanza.
 
Sisi tunataka KATIBA MPYA kwanza.
Hapo sawa, muwe uniform basi. That's very good 👍 commander.
Train your fellow on discipline katika kulisimamia hili. I appreciate your patience chief 💪🙏
 
Kule Bungeni tumepeleka Wawakilishi wasioweza kututetea.

Hii Nchi hata turudishe kodi ya Kichwa lakini maendeleo yataishia kusemwa midomoni mwa Wanasiasa tu lakini sio kuonekana field.

Viongozi wanatafuna hii Nchi kwa Ufisadi
Kumbe wabunge uliwapeleka wewe na Marehemu magufuli ??
 
Tulipe kodi kwa maendeleo ya nchi
Uliona wapi nchi yenye viongozi wenye akili wanatumia 62% ya bajeti Kwa matumizi ya utawala? Yaani akili yao wanaona kununua mashamgongi na vitafunio ofisini ndio kipaumbele badala ya kuwekeza kwenye kilimo, elimu na afya sehemu ambazo zitachochea maendeleo ya nchi!
Samia yupo yupo tu hajui kitu gani kinaendelea!!
 
Tupunguze matumizi ya cement kwa kutumia matofali ya kuchoma, hii serikali inaumiza sana wananchi wake, simpendi kabisa yule jamaa anaitwa Mwigulu
 
Screenshot_20230630-223627.png
Screenshot_20230630-223638.png
Screenshot_20230630-223800.png
 
Nimeona pia taarifa ya Mbeya cement, nayo imeonesha hilo ongezeko la shilingi 1,000 kwa kila mfuko wa saruji.

Yaani pamoja na ugumu huu wa maisha wameamua ku impose mzigo mwingine wa kodi kwa Raia wake

=======
Ingekuwa Nchi nyingine zinazoejielewa mfumko huu wa maisha ingekuwa tiketi ya Viongozi hao wakuu na Serikali yao kuondoshwa madarakani
Wanatuonyesha njia ya kufanya mageuzi ila tumelala kama pono, inakera, tozo kodi na hupati huduma kamilifu umeme kero, maji kero duh

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom