Makampuni mbalimbali makubwa ya saruji nchini (ikiwemo Dangote, Moshi Cement/Jun Yu, Tanga Cement/Simba, Lake Cement/Nyati, na Mbeya Cement) yametangaza kupandisha bei za bidhaa zao kuanzia mwanzoni mwa mwezi Julai 2026.
Makampuni yote yanataja sababu zinazofanana zilizopelekea mabadiliko hayo ya bei (bila kujumuisha kodi ya VAT), ambazo ni pamoja na kupanda kwa gharama za uendeshaji wa biashara, kuongezeka kwa gharama za malighafi, tozo za kisheria na kodi, pamoja na kupanda kwa gharama za usafirishaji.
Makampuni hayo ya Cementi yameongeza bei ya bidhaa zao kama ifuatavyo
Makampuni yote yanataja sababu zinazofanana zilizopelekea mabadiliko hayo ya bei (bila kujumuisha kodi ya VAT), ambazo ni pamoja na kupanda kwa gharama za uendeshaji wa biashara, kuongezeka kwa gharama za malighafi, tozo za kisheria na kodi, pamoja na kupanda kwa gharama za usafirishaji.
Makampuni hayo ya Cementi yameongeza bei ya bidhaa zao kama ifuatavyo
- Dangote Cement: Wameongeza kiasi cha Tshs 650 kwa mfuko wa cement 50Kg
- Moshi Cement: Wameongeza Tshs 500 katika bei ya awali
- Simba cement: Bei itakuwa 13, 000 kwa tani
- Lake cement: Bei itakuwa Tshs 13,000 kwa tani
- Mbeya cement: - Fastaplus Tshs. 9,085 kwa tani na Tembo supaset Tshs. 14, 136 kwa tani