Blaki Womani
JF-Expert Member
- Feb 28, 2011
- 11,229
- 13,431
hahahaha TF
mning'inio noma kibarua kinaota majani
mning'inio noma kibarua kinaota majani
Unaenda na mning'inio ofisini halafu unawasilisha hiyo ED dah..yaani kwisha habari yakohahahaha TF
mning'inio noma kibarua kinaota majani
hahahaha TF
mning'inio noma kibarua kinaota majani
Ila kwenye hiyo ED ndio utatia akili vilivyo...:lol:Hakuna raha kama kuhudhuria kwenye kikao uko bwax afu cha kazi.
Unakua na majibu ya maswali yoote magumu.
Ila pombe zinaleta akili sometimes.
Huyu daktari nuksi kweli..:lol:
lakini si amesema kweli..?
Ukweli gani huo bana
Kujifanya anaijua sana taaluma yake au vipi[/QUOTE]
Dokta anajifanya mchungu kweli...
Ukweli gani huo bana
Kujifanya anaijua sana taaluma yake au vipi[/QUOTE]
Dokta anajifanya mchungu kweli...
Anajifanya ana uchungu na kampuni kuliko hata mwajiri au wemye kampuni mwenyewe
Madoctor wengine nuksi sana
Hawa ni wale ukikutana nae unapona hata shida zako zinayeyuka maana unoko mpaka machoni
Anajifanya ana uchungu na kampuni kuliko hata mwajiri au wemye kampuni mwenyewe
Madoctor wengine nuksi sana
Hawa ni wale ukikutana nae unapona hata shida zako zinayeyuka maana unoko mpaka machoni
Ukweli gani huo bana
Kujifanya anaijua sana taaluma yake au vipi
hahahhhaaaaahhihihiihihiahhhhhahhahhahhahaaaaa!!!!
aaah asee..! doctor ana bifu eeeeh..! ukikutana nae kwa unoko na unuxi wake hadi unapona aaahh hii kali kaka aah
kabisa
unoko mpaka machoni huyu
ukikutana nae una ugonjwa wako unapona fasta
kwa kweli alitakiwa amsaidie mchizi ila hapo hajafanya fair japokua amesema ukweli..!
Mchizi ndo hivyo anapoteza kazi hivi hivi
yaani ni noma kaka
sasa kama ni wewe rocky na kwakweli hukujua doctor kaandika nini hapo..! halafu kweli ukafukuzwa kazi..! na kwenye tafiti zako ukaja kugundua kua doctor ndie aliharibu siku ile..! utamfanyaje doctor...!?
Doctor yuko kazini mkuu na hiyo ni professional opinion siwezi kuichallenge maana imetolewa na mtu aliyesomea taaluma yake
Sana sana ni kumtafuta siku yuko kwenye viti virefu unamnunulia bia za kutosha akishalewa unamwambia asante sana kwa kazi nzuri uliyofanya
hapo hatakumbuka kitu sana sana atakumbuka kua umemnunulia beer tu..! kuna mambo yanauma mzee..! we itakua ulipiga law manake unaonekana kua considerate katika kila kitu..!