Beating the Drum on One Side: Confusing the People on Both Sides

Beating the Drum on One Side: Confusing the People on Both Sides

It's almost 50 pages now!! MS's side failed to prove their arguments infact!! Com'on, stop your satanic mouth "insults"!!
 
Vijana wa Mohammed Said wanachezewa nusu uwanja, muda si mrefu watatoa timu uwanjani. Wamecheza faulo hazijasaidia.

Hapa ndio unakuja umuhimu wa shule.
 
Vijana wa Mohammed Said wanachezewa nusu uwanja, muda si mrefu watatoa timu uwanjani. Wamecheza faulo hazijasaidia.

Hapa ndio unakuja umuhimu wa shule.
Naona unaanza kulia lia ndiyo kwanza kumekucha nyie ndiyo mmeamua kubadili mjadala kuleta masuala ya Yesu tunaelekea mnapotaka nyie vijana wa Kanisa na Chadema.
 
Nyakageni,
Hapa tulipofikishana ndugu yangu panatosha.
Kuanzia sasa mimi sitajibu chochote kutoka kwako.

Nakusihi uheshimu msimamo wangu.
Picha hiyo naingia hoteli Makka tayari kwa ibada ya hijja.

001%2B%282%29.jpg

Al Alama Mohamed Said, huyo uliyesimama nae ni mdogo wangu Aziz au nimemfananisha?
 
Last edited by a moderator:
kuna watu wataridhika siku wakisikia uhuru wa tanganyika uliletwa na maswahaba kutoka mecca na madina.

Kwa hio nyie mliridhika mlipodanganywa kuwa Nyerere peke yake ndio aliyetuletea huu uhuru sio?
Na mpak mkaamua kuipa maiti yake Utakatifu si ndio?

Kaaz kweli kweli
 
okay, so you are also stuck repeating the same verse! Una maswali saba ya Nguruvi3 hebu yatolee majibu na siyo kujibu ki Gavana through `copy and paste'


unataka ujibiwe kwa lugha ya yesu namna hii

Kila mti hutambulika kwa matunda yake (Luka 6:44) na vile vile mtu anatambulika kwa ulimi na lugha yake kwamba anazo khulka za aina gani?

Maana lugha ya mtu inaonesha masomo yake, tabia na khulka yake.

baadhi ya maneno na lugha ya Bwana Yesu aliyotumia katika uhai wake.

1. (wasio Waisraeli) wameitwa mbwa na nguruwe. (Mathayo 7:6).

2. Aliwaita watu wabaya: ”Enyi wazao wa nyoka” (Mathayo 12:34).

3. Mayahudi waliitwa: “Kizazi cha zinaa.” (Mathayo 12:40,, 16:4).

4. Mayahudi waliitwa “Wazinifu na wakosefu.” (Marko 8:38).

5. “Ole wenu waandishi na wafarisayo, wanafiki,” (Mathayo 23:16).

6. “Ole wenu viongozi vipofu.” (Mathayo 23:16).

7. “Enyi nyoka, wana wa majoka” (Mathayo 23:33).

8. “Watu wengine waliitwa mbwa.” (Mathayo 15:27).

9. Aliwaita manabii wenzake: “wote walionitangulia ni wevi na wanyang'anyi.” (Yohana 10:8).

10. Aliwaita wanafunzi wake: ”Enyi kizazi kisicho amini, kilichopotoka.” (Mathayo 17:17).

11. Akamwambia Petro “Nenda nyuma yangu Shetani.” (Mathayo 16:23).

12. Akamwambia mama yake: “Ewe mwanamke nina nini nawe? (Yohana 2:4).

13. Akasema mama yangu ni nani na ndugu zangu ni akina nani? (Mathayo 12:48).

14. Siku ya Kiyama atawaita wahubiri Wakristo: “Nitawaambia dhahiri, Sikuwajua ninyi mtendao maovu.” (Mathayo 7:23).
 
Kumbe inakuuma kwamba wahusika na wapigania uhuru hawa walioandikwa ni wazee wake??

au kinachokuuma nini hasa??

kwan huu sio ukweli?

teh teh teh

Hakijaniuma chochote. Hayo ya kuwa aliandika kuhusu wazee wake ameyaandika humu mara nyingi ndo maana mi sioni haja ya kujibizana maneno wakati mwandishi amekiri kuwa ameandika kwa ajili ya wazee wake na yaliyoandikwa siwezi kuyapinga kwa sababu sikubahatika kukaa na wazee wake.

Ni wazi Nyerere hakuwa peke yake. Labda uwe kichaa ndo utaamini Nyerere alihangaika peke yake. Hata katika Vita ya maji maji wanaojulikana ni wachache ila waliohusika wengine historia zao wanasimuliwa wajukuu wao tu. Si kwamba walikuwa si kitu ila haiwezekani kila aliyehusika akawa 'hero'.
 
unataka ujibiwe kwa lugha ya yesu namna hii

Kila mti hutambulika kwa matunda yake (Luka 6:44) na vile vile mtu anatambulika kwa ulimi na lugha yake kwamba anazo khulka za aina gani?

Maana lugha ya mtu inaonesha masomo yake, tabia na khulka yake.

baadhi ya maneno na lugha ya Bwana Yesu aliyotumia katika uhai wake.

1. (wasio Waisraeli) wameitwa mbwa na nguruwe. (Mathayo 7:6).

2. Aliwaita watu wabaya: ”Enyi wazao wa nyoka” (Mathayo 12:34).

3. Mayahudi waliitwa: “Kizazi cha zinaa.” (Mathayo 12:40,, 16:4).

4. Mayahudi waliitwa “Wazinifu na wakosefu.” (Marko 8:38).

5. “Ole wenu waandishi na wafarisayo, wanafiki,” (Mathayo 23:16).

6. “Ole wenu viongozi vipofu.” (Mathayo 23:16).

7. “Enyi nyoka, wana wa majoka” (Mathayo 23:33).

8. “Watu wengine waliitwa mbwa.” (Mathayo 15:27).

9. Aliwaita manabii wenzake: “wote walionitangulia ni wevi na wanyang'anyi.” (Yohana 10:8).

10. Aliwaita wanafunzi wake: ”Enyi kizazi kisicho amini, kilichopotoka.” (Mathayo 17:17).

11. Akamwambia Petro “Nenda nyuma yangu Shetani.” (Mathayo 16:23).

12. Akamwambia mama yake: “Ewe mwanamke nina nini nawe? (Yohana 2:4).

13. Akasema mama yangu ni nani na ndugu zangu ni akina nani? (Mathayo 12:48).

14. Siku ya Kiyama atawaita wahubiri Wakristo: “Nitawaambia dhahiri, Sikuwajua ninyi mtendao maovu.” (Mathayo 7:23).

We mtu una balaa sana hawo watu wa MOTONI wakikuona we ushuzi wanauachia pwiiiiiii
 
Mkuu Awadh hizi techniques za kitoto tumesha zioea.
Yule anaejiita PainKiller alinipiga ban ya wiki mbili kwa kosa la Kumwambia mgalatia mmoja kuwa kosa ni la mama yake kumkosesha malezi.
Leo naweka vitu vya uhalisia hapa Mods Wanafuta lkn Upuuzi wa kuchora picha Za Uchi mbele ya jukwaa linalotazamwa na wadau wa kila Umri wanaziacha.

Tutakwenda nao hivyo hivyo na huo Mfumo Galatia wao mpaka jukwaa lifugwe au vinginevyo.

Wapi umeshaona Mficha Ukweli Akafanikiwa?

Another foul play someone had cut some of our posts in this thread and now I see them posted to the Thread " Prof. Kareem Hirji or Comedy of errors"
 
Last edited by a moderator:
KVM,
Ningependa Prof. Njozi angekuwapo hapa akakujibu mwenyewe. Juu ya hayo...

Kwani madrasa ina ubaya gani? Mimi nimesoma mengi ninayochangia hapa katika madrasa.

Kubwa nililofunzwa katika madrasa ni adabu ya mnakasha.
Yaani adabu ya mjadala.

Elimu hii alinifunza Maalim Haruna. Allah amrehemu.

Sasa ni juu yako kunipima kama elimu ile imenifaa au vipi.

Dada yangu Faiza husema sisi tunakwenda chuoni tukiwa wadogo na nyie wenzetu mnaingia chuoni watu wazima.

Mengine nimeyaacha kuyajibu kwa makusudi.

Heshima kwako mkuu,mimi nina maswali kidogo,nimesoma mada zako nyingi,umejaribu kuonyesha kwamba waislam katika nchi hii wanabaguliwa sana katika nyanja mbalimbali,yaani kuna ubaguzi wa kitaasisi,kiasi kwamba kwa kijana wa kiislam kuweza kupenya ni kufanikiwa maishani ni vigumu sana,sasa swali langu,ni kwamba nchi hii imeishatawaliwa na marais waislam wawili,sasa kwanini hawaubadili mfumo huo? Au kuna nguvu nyingine kutoka nje ambayo inawazuia,kama Marekani au nchi za ulaya,CIA,MOSSAD nk,na kwanini haya mambo hayawekwi wazi kupitia radio tv,ili watz tuweze kujua,na kurekebisha kama kuna sehemu ya jamii imekuwa ikibaguliwa kiasi hicho
 
I just like Prof. Hirji analysis of Said's writings (not arguments because they are based on flawed premises). Credit to Said too because he got this debate going and out of it many will learn a thing or two. For those interested, there is actually a cool course offered for free on Coursera titled "Think Again: How to Reason and Argue by two professors from Duke University (https://www.coursera.org/course/thinkagain ). Here is a course overview: "Reasoning is important. This course will teach you how to do it well. You will learn how to understand and assess arguments by other people and how to construct good arguments of your own about whatever matters to you."
 
Huu mjadala afadhali Hirji kaka pembeni,unampunguzia hadhi yake,akina Mohamed Said hata wakijibu hoja bado wana damu ya "coolies" ya wale dockworkers- MS anaweza kuwa hatukani lakini hafanyi juhudi yoote kuzua matusi-hivyo basi anapendelea vurugu ili kuzuia watu kupata majibu
a
k
I
n
I
 
Last edited by a moderator:
Huu mjadala afadhali Hirji kaka pembeni,unampunguzia hadhi yake,akina Mohamed Said hata wakijibu hoja bado wana damu ya "coolies" ya wale dockworkers- MS anaweza kuwa hatukani lakini hafanyi juhudi yoote kuzua matusi-hivyo basi anapendelea vurugu ili kuzuia watu kupata majibu
a
k
I
n
I

Mzee Muddy hawezi kuwazuia vijana wake wasitukane.
Inawezekana hafahamu kwamba vijana wake wanaandika lugha chafu- labda kaizoea na yeye.
Au inawezekana, there is no harm ilmradi tu wanaotukanwa sio wale wanaom-support.
Ama inawezekana haipendezi kwake kuwakanya supporters wake.
Yuko hivi kwenye minakasha mingi ya hapa JF. Hata hivyo, matusi yao yatapelekea thread hii kufungwa tu.
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom