Gramophone inapiga mziki sawa sawa, tatizo ni wewe hutaki kueleza mziki huo una maana gani.
Unachotaka ni watu waondoke katika ukweli, tusonge mbele ukiendeleza upotoshaji kwa kutumia takwimu feki, duni, dhalilli zisizokidhi hata kuitwa takwimu
Huwezi kusimama kutetea takwimu zako, halafu unataka umma uamini kile unachosema.
Unataka twende mbele tu, huko ni kubariki upotoshaji wako.
Ulimataka prof, amekuja ukakimbia. Umetuita tumekuja hutaki kukabiliana na hoja. Unachotaka ni watu kumeza tu. Wewe ni fundi wa majina ya watu, kitaaluma lipo tatizo..
Unapewa namba hujui zinazungumzia nini! Na bila aibu unaendelea kuzitumia!
Hatuondoki hadi ueleze umma kuhusu haya:
Mohamed Said
Table 2
Maswaili ni haya: Hivi'inasemekana' linaweza kuwa neno la mtafiti na la kiutafiti
Pili, hivi Mohamed anawezaje kupata data za maelfu ya watu UDSM ashindwe kupatadata za wabunge 300 hadi aseme inasemekana
Tatu, kama tutakubaliana na 'inasemekana, hivi wakatoliki si Wakristo nakwanini wawe kundi jingine na kusiwe na Shia, Ismailia, kadiani n.k. katikamakundi tofauti ya waislam
Nne, kama tutakubali chanzo ni UDSM , je hiyo miaka iliyorukwa haikuwa nausajili UDSM na kwanini.
Conclusion inawezaje kufikiwa tukiwa na data ambazo hazijitoshelezi,hazijielezi na wala hazielezeki
Tano,Mohamed kasema hizi si 'official statistics''
a)je kuna tofauti gani na neno hypothetical alilotumia prof Hiriji na kwaniniiwe nongwa kwa Prof na si Mohamed
b)Mohamed anawezaje kufikia hitimisho kwa kutumia data zisizo official nakusema huo ni utafiti
Sita, Kwanini utafiti wake haukwenda kufanyika katika faculty za Agriculture,Vertenary medicine na Medicine.
Je, huko hali ikoje na sababu gani zilizopekea yeye kutokwenda huko, ikiwahitimisho lake ni takwimu za UDSM kwa ujumla
Saba, Punjab kasema Daily news ni propaganda machine ya serikali.
Kama ni hivyo, Mohamed anawezaje kwenda kuchukua data kutoka chanzo ambacho nipropaganda?
Je, mtu anaweza kuchukua takwimu za kisomi kutoka gazeti la Uwazi, RisasiJumamosi, Tanzania Daima au Nipashe, akazifanyia kazi na kutoa hitimisho lakisomi?
Saba, Punjab kasema Daily news propaganda machine ya serikali.
Did you read well what I wrote?
Go to my post and read again
Nguruvi3, did I use "Propaganda" or
"Propagating" from Propagate, Propagation:
Main Entry: propagate
Part of Speech: verb
Definition: breed, reproduce
Synonyms: bear, beget, engender, father, fecundate, fertilize, generate, grow, impregnate, increase,
inseminate, make pregnant, mother, multiply,
originate, procreate, produce, proliferate, raise, sire
Antonyms: destroy, kill
Main Entry: propagation
Part of Speech: noun
Definition: procreation
Synonyms: breeding, generation, multiplication, producing, proliferation, reproduction
Main Entry: propaganda
Part of Speech: noun
Definition: information that is designed to mislead or persuade
Synonyms: advertising, agitprop, announcement, brainwashing, disinformation, doctrine, evangelism, handout, hogwash, hype*, implantation, inculcation, indoctrination, newspeak, promotion, promulgation, proselytism, publication, publicity
Antonyms: truth
Omg! there it goes, resort to teaching!!