Beating the Drum on One Side: Confusing the People on Both Sides

Beating the Drum on One Side: Confusing the People on Both Sides

I defer assessment of the details to historians. Instead, I assess the premises and conceptual process that generate his conclusions. I delve on methodology because

(i) the mode of reasoning he employs is commonplace today;

(ii) it also appears in race or gender themed papers;

(iii) his opponents use it too; and

(iv) an evaluation of this style of analysis is not only not undertaken but the necessity of doing it is also not appreciated. A flawed methodology compromises the validity of the conclusions drawn.

Reading thru some posts in this thread, It highlights some significant deficiencies our society has in general debating. Keeping that aside though, Prof. Hirji as asserted in the above quote is not assessing the accuracy or facts therein Said's paper but rather the premise of reasoning . It is the premise that is being questioned and Said need to respond to that first and foremost. He needs to come forward and defend the premise of his reasoning and not just keep throwing out questionable stats and quotes.

Unfortunately Said has a pattern and unquestionable trend of ducking real questions and taking things out of context. It is in such waters that one can find having some endless debate with him.
 
As stated by Prof. Hirji, Africa has a long way. Kama tunawategemea the so called wasomi Akina MS....to help us resolve social ills.....we are in for a long night. Very long night indeed.

hivi kweli kwa mtu yeyote worth his time darasani......si lazima aone mapungufu ya huyu msomi katika maandishi yake? When you read MS you simply find him as a very angry, agitative, man......who sees everything in the prism of Islam superiority. Haoni Jemma la Watu wenye Imani tofauti na Imani yake. It's really sad. Very sad.

huyu mzee ni tatizo, cha ajabu ana wafuasi wengi japo akili zao zinatia shaka
 
Kwako wewe muedesi Takwimu uziitazo 'rasmi' ni lzm zitolewe na JOSEPH au Paulo Au Samweli Sita. Na waefeso wengine.
Zikitolewa na Athumani Au Abubakar kwako wewe na wenzako sio Takwimu Rasmi.

Ndio nikasema Siku zote kuwa Nyie wagalatia mna maradhi yaitwayo "selective Understanding".
Haya ni maradhi mabaya sana kwa mwenye kutaka kujua Ukweli.
Na Tiba yake ni Kuweka Kanisa na mfumo kristo wote Pembeni halafu kuyatazama Mambo Nje ya Box la Msalaba!

Swali linakuja,
Je! Wewe Mkanyageni na hao wagalatia wenzako Mtaweza Kufanya hivyo?

a graduate student of Mohamed Said, bado course moja hujafaulu! Ya kupachika mapicha, hebu tupia sheikh
 
Reading thru some posts in this thread, It highlights some significant deficiencies our society has in general debating. Keeping that aside though, Prof. Hirji as asserted in the above quote is not assessing the accuracy or facts therein Said's paper but rather the premise of reasoning . It is the premise that is being questioned and Said need to respond to that first and foremost. He needs to come forward and defend the premise of his reasoning and not just keep throwing out questionable stats and quotes.

Unfortunately Said has a pattern and unquestionable trend of ducking real questions and taking things out of context. It is in such waters that one can find having some endless debate with him.

I concur with you CR, hadi sasa hajajibu maswali ya Nguruvi wala hoja za Hirji!

Nadhani ana enjoy huu mchezo, ukimuuliza swali anaweka mabandiko ya mauaji ya Mwembechai, Seminari kuongoza eti zinabebwa, Kitwana Kondo's insanity

LEA WAJUKUU MZEE
 

Gramophone inapiga mziki sawa sawa, tatizo ni wewe hutaki kueleza mziki huo una maana gani.

Unachotaka ni watu waondoke katika ukweli, tusonge mbele ukiendeleza upotoshaji kwa kutumia takwimu feki, duni, dhalilli zisizokidhi hata kuitwa takwimu

Huwezi kusimama kutetea takwimu zako, halafu unataka umma uamini kile unachosema.
Unataka twende mbele tu, huko ni kubariki upotoshaji wako.

Ulimataka prof, amekuja ukakimbia. Umetuita tumekuja hutaki kukabiliana na hoja. Unachotaka ni watu kumeza tu. Wewe ni fundi wa majina ya watu, kitaaluma lipo tatizo..

Unapewa namba hujui zinazungumzia nini! Na bila aibu unaendelea kuzitumia!
Hatuondoki hadi ueleze umma kuhusu haya:

=Mohamed Said;Waliochaguliwa kuingia Dar esSalaam University 1985 hadi 1990

Year Christians Muslims

1985/86 85% 15%
1986/87 84% 16%
1988/89 82% 18%
1989/90 82% 18%

Watendaji Wizara ya Elimu 1987

Muslim Commissioners 1 Christian Commissioners 7
Muslim Directors 6 Christian Directors 31

Serikali 1987

Muslims Christians

Ministers 4 16
Deputy Ministers 4 7
Principal Secretaries 2 16
Regional Commissioners 5 15
District Commissioners 8 113
Mohamed Said
Inasemekana hivi sasa ndani ya Bunge Wakatoliki wanahodhi 85% yaviti na hiyo 15% imeachiwa Wakristo wa madhehebumengine na Waislam.


Mohamed Said
Table 2

Religious Distribution University of Dar es Salaam 1971/72-1973/74
Year Muslim % Non-Muslim % Total
1969/70 17 83 100
*1970/71 - - -
1971/72 13 87 100
1972/73 14 86 100
1973/74 13 87 100
*1974/75 - - -
1975/76 15 85 100
*1976/77 - - -
*1977/78 - - -
1978/79 14 86100
**1979/80 14 86 100
**1980/81 11 89 100
**1981/82 16 84 100

*
Official Statistics not available

** Studentsselected for Faculty of Agriculture, Forestry and Veterinary Science and medicine notincluded.

Source: 1969/70-1978/79 University of Dar es Salaam Students Directory.

1979/80-1981/82
Daily News June 1979/1981
Hivi'inasemekana' linaweza kuwa neno la mtafiti na la kiutafiti

Pili, hivi Mohamed anawezaje kupata data za maelfu ya watu UDSM ashindwe kupatadata za wabunge 300 hadi aseme inasemekana

Tatu, kama tutakubaliana na 'inasemekana, hivi wakatoliki si Wakristo nakwanini wawe kundi jingine na kusiwe na Shia, Ismailia, kadiani n.k. katikamakundi tofauti ya waislam

Nne, kama tutakubali chanzo ni UDSM , je hiyo miaka iliyorukwa haikuwa nausajili UDSM na kwanini.
Conclusion inawezaje kufikiwa tukiwa na data ambazo hazijitoshelezi,hazijielezi na wala hazielezeki

Tano,Mohamed kasema hizi si 'official statistics''
a)je kuna tofauti gani na neno hypothetical alilotumia prof Hiriji na kwaniniiwe nongwa kwa Prof na si Mohamed
b)Mohamed anawezaje kufikia hitimisho kwa kutumia data zisizo official nakusema huo ni utafiti

Sita, Kwanini utafiti wake haukwenda kufanyika katika faculty za Agriculture,Vertenary medicine na Medicine.

Je, huko hali ikoje na sababu gani zilizopekea yeye kutokwenda huko, ikiwahitimisho lake ni takwimu za UDSM kwa ujumla

Saba, Punjab kasema Daily news ni propaganda machine ya serikali.
Kama ni hivyo, Mohamed anawezaje kwenda kuchukua data kutoka chanzo ambacho nipropaganda?

Je, mtu anaweza kuchukua takwimu za kisomi kutoka gazeti la Uwazi, RisasiJumamosi, Tanzania Daima au Nipashe, akazifanyia kazi na kutoa hitimisho lakisomi?


Maswaili ni haya: Hivi'inasemekana' linaweza kuwa neno la mtafiti na la kiutafiti

Pili, hivi Mohamed anawezaje kupata data za maelfu ya watu UDSM ashindwe kupatadata za wabunge 300 hadi aseme inasemekana

Tatu, kama tutakubaliana na 'inasemekana, hivi wakatoliki si Wakristo nakwanini wawe kundi jingine na kusiwe na Shia, Ismailia, kadiani n.k. katikamakundi tofauti ya waislam

Nne, kama tutakubali chanzo ni UDSM , je hiyo miaka iliyorukwa haikuwa nausajili UDSM na kwanini.
Conclusion inawezaje kufikiwa tukiwa na data ambazo hazijitoshelezi,hazijielezi na wala hazielezeki

Tano,Mohamed kasema hizi si 'official statistics''
a)je kuna tofauti gani na neno hypothetical alilotumia prof Hiriji na kwaniniiwe nongwa kwa Prof na si Mohamed
b)Mohamed anawezaje kufikia hitimisho kwa kutumia data zisizo official nakusema huo ni utafiti

Sita, Kwanini utafiti wake haukwenda kufanyika katika faculty za Agriculture,Vertenary medicine na Medicine.

Je, huko hali ikoje na sababu gani zilizopekea yeye kutokwenda huko, ikiwahitimisho lake ni takwimu za UDSM kwa ujumla

Saba, Punjab kasema Daily news ni propaganda machine ya serikali.
Kama ni hivyo, Mohamed anawezaje kwenda kuchukua data kutoka chanzo ambacho nipropaganda?

Je, mtu anaweza kuchukua takwimu za kisomi kutoka gazeti la Uwazi, RisasiJumamosi, Tanzania Daima au Nipashe, akazifanyia kazi na kutoa hitimisho lakisomi?

 
Mohamed Said , bandiko lako # 921 lina matatizo makubwa. Nakuomba ulifute maana litazua jambo jingine.

Nimeangalia kabrasha langu moja ambalo Bi. Ubwa aliweka uchagoni kwa mzee Mhina, nimeona lipo tatizo la ukweli wa mambo katika hilo bandiko. Lifute !

Kuna makosa ya usahihi wa habari. Kuna habari si za kweli.
Futa, nikiombwa nilielezee hakika litakumaliza. Naomba nisiulizwe matatizo yapo wapi


Wewe kabiliana na takwimu, maana bandiko 921 lina matatizo.

Wala usizungumzie, hapa nakusitiri. Futa kabisa hilo bandiko tafadhali


Turudi kwenye takwimu zako ulizotoa nchi ikatetemeka, fafanua
 
Last edited by a moderator:
Mohamed Said , bandiko lako # 921 lina matatizo makubwa. Nakuomba ulifute maana litazua jambo jingine.

Nimeangalia kabrasha langu moja ambalo Bi. Ubwa aliweka uchagoni kwa mzee Mhina, nimeona lipo tatizo la ukweli wa mambo katika hilo bandiko. Lifute !

Kuna makosa ya usahihi wa habari. Kuna habari si za kweli.
Futa, nikiombwa nilielezee hakika litakumaliza. Naomba nisiulizwe matatizo yapo wapi


Wewe kabiliana na takwimu, maana bandiko 921 lina matatizo.

Wala usizungumzie, hapa nakusitiri. Futa kabisa hilo bandiko tafadhali


Turudi kwenye takwimu zako ulizotoa nchi ikatetemeka, fafanua

You use more calories eating celery than there are in celery itself.
Source: Human useless facts
 

Gramophone inapiga mziki sawa sawa, tatizo ni wewe hutaki kueleza mziki huo una maana gani.

Unachotaka ni watu waondoke katika ukweli, tusonge mbele ukiendeleza upotoshaji kwa kutumia takwimu feki, duni, dhalilli zisizokidhi hata kuitwa takwimu

Huwezi kusimama kutetea takwimu zako, halafu unataka umma uamini kile unachosema.
Unataka twende mbele tu, huko ni kubariki upotoshaji wako.

Ulimataka prof, amekuja ukakimbia. Umetuita tumekuja hutaki kukabiliana na hoja. Unachotaka ni watu kumeza tu. Wewe ni fundi wa majina ya watu, kitaaluma lipo tatizo..

Unapewa namba hujui zinazungumzia nini! Na bila aibu unaendelea kuzitumia!
Hatuondoki hadi ueleze umma kuhusu haya:



Mohamed Said
Table 2

Maswaili ni haya: Hivi'inasemekana' linaweza kuwa neno la mtafiti na la kiutafiti

Pili, hivi Mohamed anawezaje kupata data za maelfu ya watu UDSM ashindwe kupatadata za wabunge 300 hadi aseme inasemekana

Tatu, kama tutakubaliana na 'inasemekana, hivi wakatoliki si Wakristo nakwanini wawe kundi jingine na kusiwe na Shia, Ismailia, kadiani n.k. katikamakundi tofauti ya waislam

Nne, kama tutakubali chanzo ni UDSM , je hiyo miaka iliyorukwa haikuwa nausajili UDSM na kwanini.
Conclusion inawezaje kufikiwa tukiwa na data ambazo hazijitoshelezi,hazijielezi na wala hazielezeki

Tano,Mohamed kasema hizi si 'official statistics''
a)je kuna tofauti gani na neno hypothetical alilotumia prof Hiriji na kwaniniiwe nongwa kwa Prof na si Mohamed
b)Mohamed anawezaje kufikia hitimisho kwa kutumia data zisizo official nakusema huo ni utafiti

Sita, Kwanini utafiti wake haukwenda kufanyika katika faculty za Agriculture,Vertenary medicine na Medicine.

Je, huko hali ikoje na sababu gani zilizopekea yeye kutokwenda huko, ikiwahitimisho lake ni takwimu za UDSM kwa ujumla

Saba, Punjab kasema Daily news ni propaganda machine ya serikali.
Kama ni hivyo, Mohamed anawezaje kwenda kuchukua data kutoka chanzo ambacho nipropaganda?

Je, mtu anaweza kuchukua takwimu za kisomi kutoka gazeti la Uwazi, RisasiJumamosi, Tanzania Daima au Nipashe, akazifanyia kazi na kutoa hitimisho lakisomi?


Charlie Chaplin once came third in a Charlie Chaplin look-a-like competition.
Source: Human useless facts.
 
Wanamajlis,
Baadhi yetu wameghadhibika.

Ukiwa na ghadhabu huwezi kufikiri vyema.

Matokeo yake ni kupotea kwa adabu.

Ninachosoma ni maneno ya watu ambao vifua vyao vimejaa chuki.

Hii inaondoa murua.
 
Mohamed Said , bandiko lako # 921 lina matatizo makubwa. Nakuomba ulifute maana litazua jambo jingine.

Nimeangalia kabrasha langu moja ambalo Bi. Ubwa aliweka uchagoni kwa mzee Mhina, nimeona lipo tatizo la ukweli wa mambo katika hilo bandiko. Lifute !

Kuna makosa ya usahihi wa habari.
Kuna habari si za kweli.
Futa, nikiombwa nilielezee hakika litakumaliza. Naomba nisiulizwe matatizo yapo wapi


Wewe kabiliana na takwimu, maana bandiko 921 lina matatizo.

Wala usizungumzie, hapa nakusitiri. Futa kabisa hilo bandiko tafadhali


Turudi kwenye takwimu zako ulizotoa nchi ikatetemeka, fafanua
Kama hatolifuta tuwekee tu wazi huo uongo wake.
 
Naona mnakasha unakaribia kuisha sasa Bi Mkuu Hahaha

Huu mnakasha ulikwisha zamani sana, siku "Professor" Hirji alipoingia na kutubu kwa post zake za mwanzo tatu mfululizo na kukubali alifanya makosa ya "kitoto" na alipouomba uongozi kubadilisha ile argument yake ya mwanzo na kuleta mpya kabisa.

Siku hiyo hiyo nilitangaza humuhumu kuwa mnakasha umekwisha na sasa tutauendeleza kwa kupeana darsa tu na nipo katika muendelezo wa kutoa darsa la hapa na pale lakini mnakasha hakuna tena.

Mnakasha uwepo na mwenye "critique" kaomba msamaha na kaubadili? Kama ni mahakamani saa hizi analipa gharama za kuisumbuwa mahakama.
 
msaidie mzee wako "mujadid" kujibu maswali saba ya Nguruvi3.

Mithali 26:5a "umjibu mpumbavu sawasawa na upumbavu wake"

Nyakageni,
Nadhani unachokusudia kwa kuniita, "Mujadid," sicho.
Pitia tena kamusi yako.

Mengine namwachia Maalim Faiza.

Hata wale wasionipenda hawajapata hata kwa mbali kunifikiria mimi ni
"mpumbavu."
 
Back
Top Bottom