GAUTAMA
JF-Expert Member
- Aug 5, 2014
- 1,117
- 697
Nilikuwa nataka kuandika Maji Maji ni kaandika Mau Mau samahani kosa la kitoto.
Kwa hiyo unakubali kua PROF Anaweza kukosea kama wewe mkuu?
Nilikuwa nataka kuandika Maji Maji ni kaandika Mau Mau samahani kosa la kitoto.
Kuna choice na option, kuna wakati unaweza kuchaguwa option pasipo choice kama nia yako hasa ni kujumuika pamoja kuelimika na kuelimisha.
Kuna gape naiona kwenye michango yako kuna wengi wanapitwa na michango yako kwa sababu ya choice yako.
Au nikuulize swali dogo unadhani ni kwa nini JF kuna jukwaa rasmi la kingereza na linakosa wachangiaji? Je Member wengi hawajui kusoma kuelewa na kuandika kingereza?
Nina imani hata Mzee Mohamed Said angechaguwa lugha ya kingereza kama ndio lugha yake rasmi hapa JF basi hata mada zake zingekosa mvuto.
Binafsi am fine sina tatizo nakusoma vyema tu.
Kuna choice na option, kuna wakati unaweza kuchaguwa option pasipo choice kama nia yako hasa ni kujumuika pamoja kuelimika na kuelimisha.
Kuna gape naiona kwenye michango yako kuna wengi wanapitwa na michango yako kwa sababu ya choice yako.
Au nikuulize swali dogo unadhani ni kwa nini JF kuna jukwaa rasmi la kingereza na linakosa wachangiaji? Je Member wengi hawajui kusoma kuelewa na kuandika kingereza?
Nina imani hata Mzee Mohamed Said angechaguwa lugha ya kingereza kama ndio lugha yake rasmi hapa JF basi hata mada zake zingekosa mvuto.
Binafsi am fine sina tatizo nakusoma vyema tu.
lusungo , nadhani hukuelewa maana yangu niliyokusudia. Kwanza, nina uafahamu wa EAMWS kuliko wapiga debe wengi humu. Pili, Nyerere alitumia Waislam kuiua EAMS. Waislam wakajigawa Weupe na Weusi hata Mohamed kaandika.Mkuu kuna vitu vingine viko open kabisa huhitaji kuambiwa ili uelewe au ujue.
EAMWS ilivunjwa na Nyerere na haihitaji elimu ya chuo kikuu kuelewa hilo.
Unaongea mno Mohamed Said, sasa ni muda uzijibu hoja za Hirji,
FF hana lolote amekimbia swali langu kurasa za nyuma kidogo,
naweza tumia maneno yake mwenyewe kwamba kwa sasa anahororoja tu.
Unaongea mno Mohamed Said, sasa ni muda uzijibu hoja za Hirji,
FF hana lolote amekimbia swali langu kurasa za nyuma kidogo,
naweza tumia maneno yake mwenyewe kwamba kwa sasa anahororoja tu.
Waungwana wamekimbia, hakuna anayechambua data hizo, halafu soma conclusion aliyopata kutoka data..[/COLOR]
By Mohamed Said Salum
Table 1
Selection of Std.VII Pupils to Form I in Dar es Salaam Region 1978 -1981
Year Total Selected Muslims Percentage of
Muslims Selected
1978 956 216 23
1979 903 194 22
1980 1071 247 23
Source: Dar es Salaam City Council, Department of Education.
NB: In 1967 census Muslims in Dar es Salaam Region were 67%, therefore thenumber of Muslim students in Dar es Salaam Primary Schools is greater than thatof Christians. This should have reflected in the selection.
Ungeanza kwa kumueleza mleta mada, au unaona kaleta mada kwa Kichina?
Kama unamsoma vyema hebu mjibu kwa Kingereza basi. Hapo sasa!
Punguani Wahed.
Kwi kwi kwi kwi.. FaizaFoxy nakunywa kahawa na tende za Sharja huku nakusoma.Hata haya huoni wala vibaya hujuwi> swali lako lipi nilikimbie mimi? hivi wewe una swali haswa la kukimbiwa? tena na mimi? unapenda kujishauwa.
Maswali yangu mpaka sasa hayajajibiwa si na "Professor" wala tarishi wake wala nyinyi vibaraka wake mliodhani kawapa uhai mpya kumbe kazidi kuwasononesha kama alivyosononeka yeye mwenyewe.
Mada nzima nzima imebadilishwa post #1 kimya kimya, hujaliona hilo?
Hujaona "Professor" wako post zake zote tatu za mwanzo JF anaomba msamaha kwa "makosa ya kitoto".
kwi kwi kwi teh teh teh.
Unanchekesha.
Hajat faiza Fox, al maarufu punjab Sing, Shariif Ritz ,Al akly THE BIG SHOW, na Al Alma Mohamed Said. Ahadi ni deni, na huwa sitoi kauli bila kuwa na msingi wa kauli hiyo.
Nipo tayari, nimekusanya makabrasha, panya wameyaparaza kidogo lakini sehemu za MS zipo intact. Ninakuja tuongee. Kabla sijamwaga kinachoitwa takwimu za Mohamed, napenda niwape kionjo kuwa mambo yamekaa uzuri, halafu jioni nawapa data zake. Zipo ili nina udhuru kidogo, nakwenda kuchukua madafu sehemu, jua kali
Niwaonyeshe kuwa Ms kafanya makosa mengi zaidi si ya logic bali ya upotoshaji. Nashangaa mnaposema Hirji ambaye amekiri kukosea mau mau na maji maji ametenda dhambi kuu. Hii ya Mohamed saidi si kuwa ni dhambi tu
- Nilimuuliza Mohamed Said mwaka 2011, kutokana na kauli yake kuwa EAMWS iliuawa na wakatoliki na Nyerere, je ana ushahidi wowote.
Mohamed Saidi akajibu hivi: Ukisoma ukursa huo hakuna mahali paliposema Wakatoliki walishirikiana na Nyerere kuua EAMWS. Hii maana yake ni kuwa Mohamed Said ametunga hadithi kama kawaida, kaiweka kwa lugha nzuri akijua anapotosha. Sikuwa alighafilikiwa kwa maneno, bali alisema maneno yasiyo na ukweli na ukurasa ni shahdi.
Nitaendelea maana niliwaonya kuwa mzee atakaa karibu na uani
Sikuweza kuupload ukurasa, ninao hapa
Sibonike
Hujafikia makamu ya kufanya mnakasha na mimi. Toka mwanzo nilijua hutofika mbali.
Katika yote niliyokuwekea hapo mchango wako ndiyo huo? Basi nimekuwia radhi.
Ilitakiwa ujipime kwanza kabla.
Hiyo paper, "Tanzania a Country Without Heroes," niliitoa Nairobi
kwenye kongamano la kuadhimisha miaka 50 ya uhuru wa nchi za
Afrika ya Mashariki.
Watayarishaji walikuwa IFRA French Institute for Research in Africa /BIEA British Institute in East Africa.
Hawa jamaa ndiyo walionialika na kutoka Tanzania nilikuwa peke yangu.
Hili peke yake ingekujulisha moto wa maji unayotaka kuoga.
Pili paper yangu aliyepiga "critique," ni profesa. Sasa wewe hapa unaingiaje?
Hata ujanja huo huna?
![]()
Sibonike,
Semina niliyotoa paper, "Tanzania: A Nation Without Heroes," ilihudhuriwa na hao hapo juu.
Je wewe unaweza kusogezewa kiti hapo ukakaa?
Unasema kuna shule zilitaifishwa ili Waislam wasome...
Msikilize Mzee Kitwana Kondo aliyozungumza Bungeni mwaka 1999:
"Lakini tuende kielimu. Ninayo ripoti ya mwaka huu. Waliofanya mtihani wa darasa la saba kuingia darasa la tisa, asilimia 71 Waislamu. Asilimia 29 ni wengine. Walioshinda katika wale asilimia 71 ni asilimia 21. Katika wale 29 walioshinda tena sema mwenyewe. Katika asilimia 29 waliokwenda shuleni ni asilimia 79. Katika asilimia 71 waliokwenda darasa la tisa ni asilimia 21. Sasa kuna moja, ama Waislamu wajinga ama akili yao haifanyi kazi, ama mtu ukiwa Muislamu wewe huna kitu, ama kuna kitu. Sasa namwomba Waziri anayehusika, anaposema aseme ya kwamba kwa hali ilivyo Waislamu wameumbwa wajinga. Au kwa hali ilivyo kuna sababu kadha, kadha. Mwalimu Nyerere alisema zamani ifanywe bidii ya kuwanyanyua waliokuwa chini. Sasa bidii hii siyo ya kuwanyanyua waliokuwa chini. Bidii hii ni ya kuwakandamiza waliokuwa chini."
lusungo , nadhani hukuelewa maana yangu niliyokusudia. Kwanza, nina uafahamu wa EAMWS kuliko wapiga debe wengi humu. Pili, Nyerere alitumia Waislam kuiua EAMS. Waislam wakajigawa Weupe na Weusi hata Mohamed kaandika.
Kubwa zaidi lililofanya nilete kipande hicho ni kuwa Mohamed amedai kwa maandishi kuwa Wakatoliki na Nyerere walishirikiana kuua EAMWS. Fair enough kwa maoni yake. Akaenda mbali na kumnukuu Padre Sivalon katika kitabu chake na ukurusa kama ushahidi wa hilo. Ukisoma ukurasa huo hakuna mahali imeandikwa hiyo kuwa Nyerere na Wakatoliki washirikaine kuua EAMWS.
Hii maana yake ni kuwa Mohamed alitafuta link isitokuwepo akajua wote ni watu wa kumsikiliza akaeleza URONGO.
Nimeshindwa kuipandisha hiyo page hapa jamvini
Maana yake ni kuwa huyu mtu ni hatari, anaweza kutunga maneno katika azma yake ya kuleta farki katika jamii.
Hivyo point kubwa ilikuwa kuonyesha sehemu tu ya ubabaishaji wa Mohamed.
Nina vitu, wakitulia kutukana namwaga! nimetoka shamba ngoja nikajimwagie maji kidogo
wewe kabla hujaja kuzungumza na wazee wako hapa JF
Hakikisha kwanza uhama nyumbani kwa baba na mama kwanza sawa??
Siyo wewe jitu zima miaka zaid ya 30 wanakohamia baba na mama na wewe umo tuh kama nguchiro.
Wamehama shekilango kukukimbia wewe na kuhamia KIBAMBA wewe bado unawafuata fuata,
TUTAKUJA HUKO HUKO KUKUCHAPA BAKORA ZA MGONGO NA KUKUONDOA KWA NGUVU MPENDA VYA BURE WEWE
:A S-baby: :A S-baby: :A S-baby: :A S-baby:
Teh teh teh sichomoki mimi au Prof Hirji kakimbia.Leo huchomoki, peper ndio mdudu gani?
hawezi kujibu, unataka apige sarakasi na msuli wake?
Unaongea mno Mohamed Said, sasa ni muda uzijibu hoja za Hirji,
FF hana lolote amekimbia swali langu kurasa za nyuma kidogo,
naweza tumia maneno yake mwenyewe kwamba kwa sasa anahororoja tu.
By FaizaFoxy![]()
![]()
Hata haya huoni wala vibaya hujuwi> swali lako lipi nilikimbie mimi? hivi wewe una swali haswa la kukimbiwa? tena na mimi? unapenda kujishauwa.
Maswali yangu mpaka sasa hayajajibiwa si na "Professor" wala tarishi wake wala nyinyi vibaraka wake mliodhani kawapa uhai mpya kumbe kazidi kuwasononesha kama alivyosononeka yeye mwenyewe.
Mada nzima nzima imebadilishwa post #1 kimya kimya, hujaliona hilo?
Hujaona "Professor" wako post zake zote tatu za mwanzo JF anaomba msamaha kwa "makosa ya kitoto".
kwi kwi kwi teh teh teh.
Unanchekesha.
Nakuomba pitia mada kuna sehemu nyingi sana nimeongelea kuhusu "hypothetically...Data..." aka Data za kufikirika, halafu naomba uniletee academic paper yoyote ya history yenye "hypothetical data" na ukipitia vizuri utaona argument yangu si "hypothetical data" pekee bali hypothetical statistics, imaginary "four people" na imaginary answers.
Hayo yote hujayaona?
Differences between Muslims and Christians in educational attainment and higher level jobs existed in 1961, and still persist. So do differences between males and females, between regions and between races. But they are often portrayed in a skewed manner. I describe such misinterpretations by using a numeric, hypothetical example that will clarify my mode of reasoning and illustrate the irrational logic interweaved in Said's analysis.
Teh teh teh!
Kamanda Big Show naona Unamuasa Asha bint Pitbull milionare!
Mtoto mirungi ya bure imeshamdhuru huyo. Siku ukimuendea Na Mimi Nibipu tukamtie adabu kwa zamu.