Beating the Drum on One Side: Confusing the People on Both Sides

Beating the Drum on One Side: Confusing the People on Both Sides

Kuna choice na option, kuna wakati unaweza kuchaguwa option pasipo choice kama nia yako hasa ni kujumuika pamoja kuelimika na kuelimisha.

Kuna gape naiona kwenye michango yako kuna wengi wanapitwa na michango yako kwa sababu ya choice yako.

Au nikuulize swali dogo unadhani ni kwa nini JF kuna jukwaa rasmi la kingereza na linakosa wachangiaji? Je Member wengi hawajui kusoma kuelewa na kuandika kingereza?

Nina imani hata Mzee Mohamed Said angechaguwa lugha ya kingereza kama ndio lugha yake rasmi hapa JF basi hata mada zake zingekosa mvuto.

Binafsi am fine sina tatizo nakusoma vyema tu.

wewe kabla hujaja kuzungumza na wazee wako hapa JF

Hakikisha kwanza uhama nyumbani kwa baba na mama kwanza sawa??

Siyo wewe jitu zima miaka zaid ya 30 wanakohamia baba na mama na wewe umo tuh kama nguchiro.

Wamehama shekilango kukukimbia wewe na kuhamia KIBAMBA wewe bado unawafuata fuata,

TUTAKUJA HUKO HUKO KUKUCHAPA BAKORA ZA MGONGO NA KUKUONDOA KWA NGUVU MPENDA VYA BURE WEWE


:A S-baby: :A S-baby: :A S-baby: :A S-baby:
 
Kuna choice na option, kuna wakati unaweza kuchaguwa option pasipo choice kama nia yako hasa ni kujumuika pamoja kuelimika na kuelimisha.

Kuna gape naiona kwenye michango yako kuna wengi wanapitwa na michango yako kwa sababu ya choice yako.

Au nikuulize swali dogo unadhani ni kwa nini JF kuna jukwaa rasmi la kingereza na linakosa wachangiaji? Je Member wengi hawajui kusoma kuelewa na kuandika kingereza?

Nina imani hata Mzee Mohamed Said angechaguwa lugha ya kingereza kama ndio lugha yake rasmi hapa JF basi hata mada zake zingekosa mvuto.

Binafsi am fine sina tatizo nakusoma vyema tu.

Ndugu Matola, with all good intentions of your comments above, I understand that there are people who have gap in understanding English and so there are certain among them who might not understand what I have writen and shared, and so either they avoid delibaretly or ignore my contribution, I can see that too. However what I don't understand is why then this is called The Place where The Great Thinkers meet and dare to speak! Are the GT of JF thinking in Kiswahili only?

We are in the 21st Century in the digital age thank google for the Google Translate online.would that be hard for the GTs to use the Information Highway at its best?

Well If you are interested to knowing if I can write Kiswahili properly or for any other purpose that you keep on insisting that it is better I should write in Kiswahili then you will be disappointed, because I am not gonna write it?

I have seen here how some members are ridiculed for trivial spelling or gramatical errors in English by non english people let alone Kiswahili.

Have a nice day!

Ps. I rember to have written in Kiswahili somewhere in one older posting or thread keep searching you might get lucky to find it. Teh teh teh.

I wish I could write in my day care parents language; Sukuma but kuch naihy! Wapi sasa sahau!
 
Last edited by a moderator:
Mkuu kuna vitu vingine viko open kabisa huhitaji kuambiwa ili uelewe au ujue.


EAMWS ilivunjwa na Nyerere na haihitaji elimu ya chuo kikuu kuelewa hilo.
lusungo , nadhani hukuelewa maana yangu niliyokusudia. Kwanza, nina uafahamu wa EAMWS kuliko wapiga debe wengi humu. Pili, Nyerere alitumia Waislam kuiua EAMS. Waislam wakajigawa Weupe na Weusi hata Mohamed kaandika.

Kubwa zaidi lililofanya nilete kipande hicho ni kuwa Mohamed amedai kwa maandishi kuwa Wakatoliki na Nyerere walishirikiana kuua EAMWS. Fair enough kwa maoni yake. Akaenda mbali na kumnukuu Padre Sivalon katika kitabu chake na ukurusa kama ushahidi wa hilo. Ukisoma ukurasa huo hakuna mahali imeandikwa hiyo kuwa Nyerere na Wakatoliki washirikaine kuua EAMWS.

Hii maana yake ni kuwa Mohamed alitafuta link isitokuwepo akajua wote ni watu wa kumsikiliza akaeleza URONGO.
Nimeshindwa kuipandisha hiyo page hapa jamvini

Maana yake ni kuwa huyu mtu ni hatari, anaweza kutunga maneno katika azma yake ya kuleta farki katika jamii.

Hivyo point kubwa ilikuwa kuonyesha sehemu tu ya ubabaishaji wa Mohamed.

Nina vitu, wakitulia kutukana namwaga! nimetoka shamba ngoja nikajimwagie maji kidogo
 
Unaongea mno Mohamed Said, sasa ni muda uzijibu hoja za Hirji,
FF hana lolote amekimbia swali langu kurasa za nyuma kidogo,
naweza tumia maneno yake mwenyewe kwamba kwa sasa anahororoja tu.

hawezi kujibu, unataka apige sarakasi na msuli wake?
 
Last edited by a moderator:
Unaongea mno Mohamed Said, sasa ni muda uzijibu hoja za Hirji,
FF hana lolote amekimbia swali langu kurasa za nyuma kidogo,
naweza tumia maneno yake mwenyewe kwamba kwa sasa anahororoja tu.

Hata haya huoni wala vibaya hujuwi> swali lako lipi nilikimbie mimi? hivi wewe una swali haswa la kukimbiwa? tena na mimi? unapenda kujishauwa.

Maswali yangu mpaka sasa hayajajibiwa si na "Professor" wala tarishi wake wala nyinyi vibaraka wake mliodhani kawapa uhai mpya kumbe kazidi kuwasononesha kama alivyosononeka yeye mwenyewe.

Mada nzima nzima imebadilishwa post #1 kimya kimya, hujaliona hilo?

Hujaona "Professor" wako post zake zote tatu za mwanzo JF anaomba msamaha kwa "makosa ya kitoto".

kwi kwi kwi teh teh teh.

Unanchekesha.
 
.[/COLOR]

By Mohamed Said Salum

Table 1

Selection of Std.VII Pupils to Form I in Dar es Salaam Region 1978 -1981
Year Total Selected Muslims Percentage of
Muslims Selected
1978 956 216 23
1979 903 194 22
1980 1071 247 23

Source: Dar es Salaam City Council, Department of Education.

NB: In 1967 census Muslims in Dar es Salaam Region were 67%, therefore thenumber of Muslim students in Dar es Salaam Primary Schools is greater than thatof Christians. This should have reflected in the selection.


Waungwana wamekimbia, hakuna anayechambua data hizo, halafu soma conclusion aliyopata kutoka data.

Anasema hivi,idadi ya wanafunzi ni direct proportion na idadi ya watakaochaguliwa.
Mzee haelewi Quantity na Quality na factor zinazoweza ku skew data zake.
Mohamed haelei kuwa kwenda chuo kikuu ni suala la ushindani kitaaluma si suala la majina na imani
Mohamed, hakueleza wale wapagani, wahindi, mabudha na wasioamini nafasi yao ni ipi

Soma data za Mohamed halafu ujiulize
 
Ungeanza kwa kumueleza mleta mada, au unaona kaleta mada kwa Kichina?

Kama unamsoma vyema hebu mjibu kwa Kingereza basi. Hapo sasa!

Punguani Wahed.

Mimi tangu nimemfahamu Mzee Mohamed Said hapa JF kwenye minakasha kama hii nimembaini ni mtu anayependa adabu kwenye mijadala na ndio maana ni mtu makini katika maandiko yake.

Wewe Mwanamke unayejipambanuwa kama Mwanamke wa Kiislamu hivi ndivyo ulivyofunzwa kuwasiliana mbele ya barza iliyojaa wanaume akiwemo Mzee wetu MS? Huna meneja?

Au unadhani wengine hatuyajui matusi na lugha za kuudhi? By the way wewe ndio punjab Singh?

Jirekebishe, badirika usitake kuharibu mjadala.
 
Last edited by a moderator:
Hata haya huoni wala vibaya hujuwi> swali lako lipi nilikimbie mimi? hivi wewe una swali haswa la kukimbiwa? tena na mimi? unapenda kujishauwa.

Maswali yangu mpaka sasa hayajajibiwa si na "Professor" wala tarishi wake wala nyinyi vibaraka wake mliodhani kawapa uhai mpya kumbe kazidi kuwasononesha kama alivyosononeka yeye mwenyewe.

Mada nzima nzima imebadilishwa post #1 kimya kimya, hujaliona hilo?

Hujaona "Professor" wako post zake zote tatu za mwanzo JF anaomba msamaha kwa "makosa ya kitoto".

kwi kwi kwi teh teh teh.

Unanchekesha.
Kwi kwi kwi kwi.. FaizaFoxy nakunywa kahawa na tende za Sharja huku nakusoma.
 
Last edited by a moderator:
Hajat faiza Fox, al maarufu punjab Sing, Shariif Ritz ,Al akly THE BIG SHOW, na Al Alma Mohamed Said. Ahadi ni deni, na huwa sitoi kauli bila kuwa na msingi wa kauli hiyo.
Nipo tayari, nimekusanya makabrasha, panya wameyaparaza kidogo lakini sehemu za MS zipo intact. Ninakuja tuongee. Kabla sijamwaga kinachoitwa takwimu za Mohamed, napenda niwape kionjo kuwa mambo yamekaa uzuri, halafu jioni nawapa data zake. Zipo ili nina udhuru kidogo, nakwenda kuchukua madafu sehemu, jua kali
Niwaonyeshe kuwa Ms kafanya makosa mengi zaidi si ya logic bali ya upotoshaji. Nashangaa mnaposema Hirji ambaye amekiri kukosea mau mau na maji maji ametenda dhambi kuu. Hii ya Mohamed saidi si kuwa ni dhambi tu…

  1. Nilimuuliza Mohamed Said mwaka 2011, kutokana na kauli yake kuwa EAMWS iliuawa na wakatoliki na Nyerere, je ana ushahidi wowote.

Mohamed Saidi akajibu hivi: Ukisoma ukursa huo hakuna mahali paliposema Wakatoliki walishirikiana na Nyerere kuua EAMWS. Hii maana yake ni kuwa Mohamed Said ametunga hadithi kama kawaida, kaiweka kwa lugha nzuri akijua anapotosha. Sikuwa alighafilikiwa kwa maneno, bali alisema maneno yasiyo na ukweli na ukurasa ni shahdi.

Nitaendelea maana niliwaonya kuwa mzee atakaa karibu na uani


Sikuweza kuupload ukurasa, ninao hapa


Wanabarza,
Nguruvi3
kashindwa kuupload ukurasa wa 37 wa Sivalon.
Mimi nakuwekeeni hapa chini:

DSCN1232.JPG


Ndugu zanguni someni ukurasa huu na tufahamishane nini
Sivalon kasema.

Wallahi nacheka peke yangu.
Kuna watu majasiri pasi kiasi.

Naogopa kusema ujinga.

Huyu Nguruvi3 anampa copy Faiza kumwalika ngomani.
Sasa huku si kujitakia dhahma bila sababu?

Nguruvi3 ndugu yangu unaamini nini wewe mtu kumchokoza Maalim Faiza.
Unamtegemea Ngongo?

Wewe mtu una kiranga.
 
hIVI HUYU KITWANA KONDO NDIYO YULE ALIYEKUWA ANAWAACHISHA WATOTO SHULE NA KUWAOA!
Sibonike
Hujafikia makamu ya kufanya mnakasha na mimi. Toka mwanzo nilijua hutofika mbali.

Katika yote niliyokuwekea hapo mchango wako ndiyo huo? Basi nimekuwia radhi.

Ilitakiwa ujipime kwanza kabla.

Hiyo paper, "Tanzania a Country Without Heroes," niliitoa Nairobi
kwenye kongamano la kuadhimisha miaka 50 ya uhuru wa nchi za
Afrika ya Mashariki.

Watayarishaji walikuwa IFRA French Institute for Research in Africa /BIEA British Institute in East Africa.

Hawa jamaa ndiyo walionialika na kutoka Tanzania nilikuwa peke yangu.

Hili peke yake ingekujulisha moto wa maji unayotaka kuoga.

Pili paper yangu aliyepiga "critique," ni profesa. Sasa wewe hapa unaingiaje?

Hata ujanja huo huna?

DSC00413-001.JPG


Sibonike,
Semina niliyotoa paper, "Tanzania: A Nation Without Heroes," ilihudhuriwa na hao hapo juu.

Je wewe unaweza kusogezewa kiti hapo ukakaa?

Unasema kuna shule zilitaifishwa ili Waislam wasome...
Msikilize Mzee Kitwana Kondo aliyozungumza Bungeni mwaka 1999:

"Lakini tuende kielimu. Ninayo ripoti ya mwaka huu. Waliofanya mtihani wa darasa la saba kuingia darasa la tisa, asilimia 71 Waislamu. Asilimia 29 ni wengine. Walioshinda katika wale asilimia 71 ni asilimia 21. Katika wale 29 walioshinda tena sema mwenyewe. Katika asilimia 29 waliokwenda shuleni ni asilimia 79. Katika asilimia 71 waliokwenda darasa la tisa ni asilimia 21. Sasa kuna moja, ama Waislamu wajinga ama akili yao haifanyi kazi, ama mtu ukiwa Muislamu wewe huna kitu, ama kuna kitu. Sasa namwomba Waziri anayehusika, anaposema aseme ya kwamba kwa hali ilivyo Waislamu wameumbwa wajinga. Au kwa hali ilivyo kuna sababu kadha, kadha. Mwalimu Nyerere alisema zamani ifanywe bidii ya kuwanyanyua waliokuwa chini. Sasa bidii hii siyo ya kuwanyanyua waliokuwa chini. Bidii hii ni ya kuwakandamiza waliokuwa chini."
 
lusungo , nadhani hukuelewa maana yangu niliyokusudia. Kwanza, nina uafahamu wa EAMWS kuliko wapiga debe wengi humu. Pili, Nyerere alitumia Waislam kuiua EAMS. Waislam wakajigawa Weupe na Weusi hata Mohamed kaandika.

Kubwa zaidi lililofanya nilete kipande hicho ni kuwa Mohamed amedai kwa maandishi kuwa Wakatoliki na Nyerere walishirikiana kuua EAMWS. Fair enough kwa maoni yake. Akaenda mbali na kumnukuu Padre Sivalon katika kitabu chake na ukurusa kama ushahidi wa hilo. Ukisoma ukurasa huo hakuna mahali imeandikwa hiyo kuwa Nyerere na Wakatoliki washirikaine kuua EAMWS.

Hii maana yake ni kuwa Mohamed alitafuta link isitokuwepo akajua wote ni watu wa kumsikiliza akaeleza URONGO.
Nimeshindwa kuipandisha hiyo page hapa jamvini

Maana yake ni kuwa huyu mtu ni hatari, anaweza kutunga maneno katika azma yake ya kuleta farki katika jamii.

Hivyo point kubwa ilikuwa kuonyesha sehemu tu ya ubabaishaji wa Mohamed.

Nina vitu, wakitulia kutukana namwaga! nimetoka shamba ngoja nikajimwagie maji kidogo

DSCN1232.JPG
 
wewe kabla hujaja kuzungumza na wazee wako hapa JF

Hakikisha kwanza uhama nyumbani kwa baba na mama kwanza sawa??

Siyo wewe jitu zima miaka zaid ya 30 wanakohamia baba na mama na wewe umo tuh kama nguchiro.

Wamehama shekilango kukukimbia wewe na kuhamia KIBAMBA wewe bado unawafuata fuata,

TUTAKUJA HUKO HUKO KUKUCHAPA BAKORA ZA MGONGO NA KUKUONDOA KWA NGUVU MPENDA VYA BURE WEWE


:A S-baby: :A S-baby: :A S-baby: :A S-baby:

Teh teh teh!
Kamanda Big Show naona Unamuasa Asha bint Pitbull milionare!

Mtoto mirungi ya bure imeshamdhuru huyo. Siku ukimuendea Na Mimi Nibipu tukamtie adabu kwa zamu.
 
hawezi kujibu, unataka apige sarakasi na msuli wake?

quote_icon.png
By FaizaFoxy

Hata haya huoni wala vibaya hujuwi> swali lako lipi nilikimbie mimi? hivi wewe una swali haswa la kukimbiwa? tena na mimi? unapenda kujishauwa.

Maswali yangu mpaka sasa hayajajibiwa si na "Professor" wala tarishi wake wala nyinyi vibaraka wake mliodhani kawapa uhai mpya kumbe kazidi kuwasononesha kama alivyosononeka yeye mwenyewe.

Mada nzima nzima imebadilishwa post
#1 kimya kimya, hujaliona hilo?

Hujaona "Professor" wako post zake zote tatu za mwanzo JF anaomba msamaha kwa "makosa ya kitoto".

kwi kwi kwi teh teh teh.

Unanchekesha.
 
Unaongea mno Mohamed Said, sasa ni muda uzijibu hoja za Hirji,
FF hana lolote amekimbia swali langu kurasa za nyuma kidogo,
naweza tumia maneno yake mwenyewe kwamba kwa sasa anahororoja tu.

quote_icon.png
By FaizaFoxy

Hata haya huoni wala vibaya hujuwi> swali lako lipi nilikimbie mimi? hivi wewe una swali haswa la kukimbiwa? tena na mimi? unapenda kujishauwa.

Maswali yangu mpaka sasa hayajajibiwa si na "Professor" wala tarishi wake wala nyinyi vibaraka wake mliodhani kawapa uhai mpya kumbe kazidi kuwasononesha kama alivyosononeka yeye mwenyewe.

Mada nzima nzima imebadilishwa post
#1 kimya kimya, hujaliona hilo?

Hujaona "Professor" wako post zake zote tatu za mwanzo JF anaomba msamaha kwa "makosa ya kitoto".

kwi kwi kwi teh teh teh.

Unanchekesha.
 
quote_icon.png
By FaizaFoxy

Hata haya huoni wala vibaya hujuwi> swali lako lipi nilikimbie mimi? hivi wewe una swali haswa la kukimbiwa? tena na mimi? unapenda kujishauwa.

Maswali yangu mpaka sasa hayajajibiwa si na "Professor" wala tarishi wake wala nyinyi vibaraka wake mliodhani kawapa uhai mpya kumbe kazidi kuwasononesha kama alivyosononeka yeye mwenyewe.

Mada nzima nzima imebadilishwa post
#1 kimya kimya, hujaliona hilo?

Hujaona "Professor" wako post zake zote tatu za mwanzo JF anaomba msamaha kwa "makosa ya kitoto".

kwi kwi kwi teh teh teh.

Unanchekesha.

FaizaFoxy kaleta dhahma.


Take note;

The previous article was not complete. The administration has been replaced it by the provided complete original by special request of the Author (Karim Hirji)


Kwi kwi kwi kwi teh teh teh
 
Last edited by a moderator:
Nakuomba pitia mada kuna sehemu nyingi sana nimeongelea kuhusu "hypothetically...Data..." aka Data za kufikirika, halafu naomba uniletee academic paper yoyote ya history yenye "hypothetical data" na ukipitia vizuri utaona argument yangu si "hypothetical data" pekee bali hypothetical statistics, imaginary "four people" na imaginary answers.

Hayo yote hujayaona?

Hilo la hypothetical data nimeiona argument yako dada. Nadhani tunatofautiana katika kuelewa alichoandika Prof.

1. Kuna data alizotumia kujenga hoja zake (ambazo ni wazi mnazikwepa kuzijadili)

2 Kuna data zinazoclarify his mode of reasoning
Differences between Muslims and Christians in educational attainment and higher level jobs existed in 1961, and still persist. So do differences between males and females, between regions and between races. But they are often portrayed in a skewed manner. I describe such misinterpretations by using a numeric, hypothetical example that will clarify my mode of reasoning and illustrate the irrational logic interweaved in Said's analysis.

Mzee Said amekusifia kuwa umejaaliwa kujua lugha ya kiingereza vizuri. Nami nakubaliana naye.
...Unapoamua kudwell kwenye mifano kama ndo hoja, unatufanya wengine tubaki tunashangaa. Na hasa kwa mtu ambaye umekuwa endorsed na Mzee ninayemheshimu kama Mohammed Said.
 
Back
Top Bottom