mimi mohammed ni kaka yangu sana kwa umri, elimu na ufikiri, lakini bado mimi hoja yangu iko pale pale, huwezi kuringa na maisha ya mfumo kristo na upande wa pili unaulanni mfumo huo huo nyumbani, mimi naona huu ni unafiki wa fikira unaokuja na dini, nasema dini siyo kisomo, kama picha hii ingekuwa saudia au yemen, au misri, kweli ningekubali kuwa huo mfumo kristo unamatatizo, mimi kwa kweli nashindwa, na ninashindwa kwa sababu mara zote wenzangu hawaja niconvince kuwa utawala wa wakristo na wazungu ni mbaya kiivyo, wao hawakai arabuni au nchi zenye uislamu wa kutukuta, na wakaringa kuwa oneni uislamu huo, imagine utajiri waote saudia, hata wakimbizi wa kiisilamu hawaendi. leo vita iko somalia, sudan nchi ya kiisalamu haina vita , lakini wasomali waote wanakimbilia kenya, tanzania , southa africa na kutafuta njia ya kwenda sweden , norway nk, siyo njia ya kwenda saudia. same na vita vya syria, wote italy, uingereza, ujerumani, saudia ata, hawataki, lakini kucha wakristo na wazungu wabaya, makafiri nk. mimi nilikuwa na kaka yangu marehemu sasa mungu amrehemu, yeye alikuwa engineer wa kutukuta, na akakaa sweden miaka ya 70, na akaajiriwa na kampuni ya pripps, hii kampuni ndiyo ilikuwa imepewa tenda ya kutengeneza mecca, mind you wa kristo ndiyo walifanya kazi hiyo , majengo , tiling, ablution facilities , air conditioning , sanitation nk, lakini kutwa hawa makafiri , hawa makafiri. ahsanteni, picha mumeiona kaka yangu yuko boston, kamkumbuka sana dada yake na anamlaani kwa nguvu zote mwanamke wa kizungu, ambaye baba na babu zake wametngeneza mazingara ya kumhifadhi, shukurani ya punda , mateke. hongera kaka, keep it up