Mohamed Said
JF-Expert Member
- Nov 2, 2008
- 22,463
- 32,987
FF,
Marhabaaaaaa!
Marhabaaaaaa!
Thanks for the advice, I am fine with my choice.
Una point nzuri sana kwenye michango yako ila kama unaweza kusoma kiswahili nina imani na kuandika unajuwa pia.
Jifunze utamaduni wa kuandika kwa kiswahili pia watanufaika wengi na michango yako. Ni ushauri tu utaki unaacha.
Kuna choice na option, kuna wakati unaweza kuchaguwa option pasipo choice kama nia yako hasa ni kujumuika pamoja kuelimika na kuelimisha.
Kuna gape naiona kwenye michango yako kuna wengi wanapitwa na michango yako kwa sababu ya choice yako.
Au nikuulize swali dogo unadhani ni kwa nini JF kuna jukwaa rasmi la kingereza na linakosa wachangiaji? Je Member wengi hawajui kusoma kuelewa na kuandika kingereza?
Nina imani hata Mzee Mohamed Said angechaguwa lugha ya kingereza kama ndio lugha yake rasmi hapa JF basi hata mada zake zingekosa mvuto.
Binafsi am fine sina tatizo nakusoma vyema tu.
Ulimi hauna mfupa, nnauhakikta hata unachokisoma hukielewi, hiyo ndiyo tofauti kubwa kati ya shule yangu na yako.
Kumbuka hilo.
Ungeanza kwa kumueleza mleta mada, au unaona kaleta mada kwa Kichina?
Kama unamsoma vyema hebu mjibu kwa Kingereza basi. Hapo sasa!
Punguani Wahed.
FF,
Marhabaaaaaa!
Nikiendelea kubishana na wewe nitakuwa mjinga kama wewe. Nakupa pole
Jibu swaliiii,,,kisha PIGA MAGOTI..!!:heh:
Longo longo za nin sasa Mkuu??
Umeulizwa kwenye hilo jopo la hao wasomi wewe unaweza ruhusiwa hata kwenda kukaa hapo na kudumia japo chai na kahawa??
Hata uwaitor hapo huambulii,
Kuangalia kitu kwa udini kivp sasa
Ndiyo angepewa mualiko na hao wasomi waliobobea kias hicho??
Kalubandika naweee....!!aaah wacha mambo yako wewe.
kwani hilo jopo wewe unafikiria ni la wanataaluma gani? unataka kila mtu huko aliko akihudhuria warsha, semina, kongamano nk za kitaaluma akimbilie JF kujitangaza? wanajopo wenyewe wamevaa kapelo kama wako kwenye vijiwe vya kahawa; jengeni hoja za kuchalenji andiko la prof Karim Hirji siyo kutambiana mialiko, kwa taarifa yako kama ni wingi wa kuhudhuria mialiako watu aina ya Manyere ndio wanaongoza ingawa hawajivuni kama huyu aliyehudhuria nairobi halafu anataka kila mtu ajue. Tukaeni kwenye hoja ya profesa ili tuijue historia ya kweli ya uhuru wa Tanganyika na siyo wa kariakoo.
Mkuu Mzee Mohammed Said. Nina swali moja tu kwako mzee wangu. Je, unaridhika na jinsi akina FF na THE BIG SHOW wanavyojibu hoja za Prof Hirji?
Tupo tunaojifunza katika mjadala huu na tunasubiri kwa hamu kubwa hoja zako kumjibu Prof Hirji. Tafadhali mzee, tutendee haki, maana naona akina FF wao wamesoma kipengele cha maumau tu katika article nzima ya prof Hirji.
Mzee wa watu kakiri kosa na kulirekebisha publicly, lakini wao (pengine kwa kukosa cha kuongea kwenye hoja zingine) wameamua kubaki hapohapo. (kwa jinsi ninavyoufahamu uungwana wako mzee MS, sitegemei kuwa unafurahishwa na hili).
It takes only one word to discredit an academic paper especially the one from "Professor", can you imagine a mass who have been misled from January when that paper was first issued to date?
"Professor" mwenyewe kaja na kakubali kuwa kafanya "makosa ya kitoto" na kaomba msamaha, tena kumbuka, si mara moja, nimeona akiomba msamaha mara tatu katika post zake tatu za mwanzo. Hivi unafikiri ni jambo dogo hilo kwa "Professor"?
Hujaona mpaka post nzima #1 imebadilishwa kimya kimya bila hata indhari ya "editing". Halafu wewe unadhani FaizaFoxy anafanya mzaha hapa?
Ujuwe "Professor" ni old school, nnakuhakikishia kakosa usingizi kwa lile kosa.
Yapo na mengine nimeyaainisha nisome vizuri utayaona, na bado nnamchambuwa tartiiiibu kwa bandiko lake jipya kabisa "full version".
Chintu, ushauri wa bure; Tumia fursa na wasaa huu uliokujia ghafla kujifunza mengi sana kupitia hii mada.
Mkuu heshima kwako, ila usitegemee kama watajkita kwenye hoja za PROF, si unaona FF anavyohangaika?
Mkuu heshima kwako, ila usitegemee kama watajkita kwenye hoja za PROF, si unaona FF anavyohangaika?
Asante dada, Naupokea ushauri wako kwa mikono miwili na ndio maana nasubiri kwa hamu kubwa gwiji wa Historia atuweke sawa juu ya "upotoshaji" wa Prof Hirji, maana hadi sasa bado mnanifundisha la maumau na majimaji tu, nami nadhani hilo nimeshalielewa. Tupeni na mengine aliyotupotosha sasa.
Gautama,
FF anajibu vizuri hapana tatizo.
FF hawezi kuhangaika.
Huyo ni above average.
Tafuta habari zake.
Mashaallah...
Allah kamjalia akili na kipaji cha lugha Kizungu na Kiarabu.
Masatu Joshua,
Huyo unaemsema kavaa kapelo ni marehemu Prof. William Ochieng.
Nadhani humjui ndiyo maana ukampima kwa kivazi cha kofia.
Tafuta taarifa zake upate kumwelewa.
Kujitangaza mimi hapana...
Ili iwe nini?
Ndugu zanguni napenda nitoe ushauri.
Kabla ya kuchangia hoja angalau chukua muda wa kusoma somo.
Vinginevyo hapa utajifedhehesha.
Siku hizo yuko Prof. Google.
Nusu saa ushakuwa mjuzi.
Nilikuwa nataka kuandika Maji Maji ni kaandika Mau Mau samahani kosa la kitoto.
Gautama,
FF anajibu vizuri hapana tatizo.
FF hawezi kuhangaika.
Huyo ni above average.
Tafuta habari zake.
Mashaallah...
Allah kamjalia akili na kipaji cha lugha Kizungu na Kiarabu.
Masatu Joshua,
Huyo unaemsema kavaa kapelo ni marehemu Prof. William Ochieng.
Nadhani humjui ndiyo maana ukampima kwa kivazi cha kofia.
Tafuta taarifa zake upate kumwelewa.
Kujitangaza mimi hapana...
Ili iwe nini?
Ndugu zanguni napenda nitoe ushauri.
Kabla ya kuchangia hoja angalau chukua muda wa kusoma somo.
Vinginevyo hapa utajifedhehesha.
Siku hizo yuko Prof. Google.
Nusu saa ushakuwa mjuzi.
Asante dada, Naupokea ushauri wako kwa mikono miwili na ndio maana nasubiri kwa hamu kubwa gwiji wa Historia atuweke sawa juu ya "upotoshaji" wa Prof Hirji, maana hadi sasa bado mnanifundisha la maumau na majimaji tu, nami nadhani hilo nimeshalielewa. Tupeni na mengine aliyotupotosha sasa.