Beating the Drum on One Side: Confusing the People on Both Sides

Beating the Drum on One Side: Confusing the People on Both Sides

Read again the argument and, by the way, there is a big difference between the word "while" and "after"; in short, what Prof. Hirji is saying is that this not simply a matter of Muslims as anti-colonialism, there were Muslims who were pro-colonialism.

"Said unreasonably emphasises one type of grievance in the anticolonial struggles. In truth, those struggles derived from many grievances. They included limited educational opportunities, exploitative trade practices, lack of representation in political decision making, denial of civil service jobs and business licenses, unfair pay schemes and taxation, land appropriation, persistent poverty, preferences granted to Asians, and cultural domination. Religion based grievances were a marginal factor in this equation" - Karim Hirji

Pata darsa dogo hapa kijana, alilopewa mwenzako aliyeleta hii mada, labda umekurupuka hujaiona:

KVM,

Hayo hapo chini ni kutoka kitabu changu cha Abdul Sykes.
Hebu soma kisha rejea utoe maoni yako.

Lakini ukitaka kuelewa zaidi hebu jiwekeni nyinyi katika nafasi ya Waislam
kisha mhisi mngejisikiaje endapo mnaposema kuwa watu wanaendesha udini
na kutubagua sisi Wakristo halafu Waislam wakaja na visingizio vya "data,"
na "research methodology," na nini...

Mifano iko mingi ya wenzetu walioangamiza nchi zao kwa kutojali.
Waislam ni nusu ya raia wa Tanzania.

Tusiachie ifike siku Waislam waseme, "Imetosha."
Hapatakuwa na mshindi.

Msomeni Bergen (1981), Sivalon (1992), Njozi (2000).

Hatari kuwapuuza na kuwafanya mzaha kwa mambo yasiyostahili mzaha:

[TABLE="class: cms_table, width: 601"]
[TR]
[TD]Betrayal of Ideals[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]On 5 th November, 1985, before he stepped down as president, Nyerere delivered an emotional speech to elders of Dar es Salaam. Most of them were former members of TANU-the townsman who supported Nyerere during the struggle for independence[1] Nyerere acknowledged the role of Muslims in those difficult days. Nyerere told his audience that the imbalances between Muslims and Christians which his government had inherited from the British were rectified under his rule:[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]And they (Muslims) gave us chance through our education policies, to correct the imbalances which we have done. I am now in the happy position of sometimes not knowing whether a new member of Parliament, a Minister, or a Principal Secretary in our government ministries, is a Muslim or a Christian or neither unless their first name happens to give it away. And even that is not a sure guide in Tanzania, for we have Christians with Muslim names, Muslims with Christian names. This religious tolerance and freedom is your creation; what I have done is to speak up for those values on your behalf. [2][/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]The speech was a farce. The truth is that three decades after independence Muslim are not better off than they were under colonialism. Sivalon has revealed that the Church has been able to create its own lobby which controls 75% of the seats in the parliament. Among these seats 70% are held by Catholics and the rest are divided among Muslims and Christian denominations.[3][/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Since independence, when the Church felt threatened, it managed to check and keep in control post-independence Muslim drive with relative ease. The government was able to expend political power to slow down a Muslim drive for power sharing in the government. The Church ensured that the overthrow of the colonial state was not a setback to Christianity, although it was to be expected that the Church would have suffered with the fall of colonialism. Throughout its hundred years of existence, the Church was comfortable in its role as a true saviour of not only of the souls but also of the people. It felt secure and did not encounter a situation demanding it to assert its position or flex its muscles against the government because they controlled the source of its power.[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]It is important at this juncture to study the actual workings of Christian partisan politics in the government and its negative impact on Islam. The Ministry of Education has been deliberately selected as an example because of its importance to the society and its uniqueness. In this ministry one can, vividly observe the influence of Christianity in the distribution of important appointments, the imbalances between Muslims and Christians in the hierarchy and how religion seem to control those appointments. This is very important, because it was in this ministry, when for the first time a Muslim minister was appointed, that the Church intervened openly to protest against this and other appointments that followed. The government bowed under pressure and a Muslim minister, Professor Kighoma Ali Malima was removed from the ministry.[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]In 1987 Professor Malima became the first Muslim Minister of Education. Eight previous ministers were Christians. There were accusations that the ministry was a Christian stronghold, particularly when at one time a pastor was appointed minister to head the ministry. When Professor Malima became minister of education he thought it was imperative that some changes be effected in the ministry to win back the confidence of Muslims. There were accusations that the ministry was discriminating against Muslim youths, barring them from higher institutions of learning and was frustrating the career advancement of Muslims functionaries in the ministry.[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Having seen this imbalance between Muslims and Christians in the ministry, Professor Malima appointed four Muslim directors to head different departments in the ministry and wrote a confidential report to President Ali Hassan Mwinyi [4]on the state of affairs he had found in the ministry. In that report [5] Professor Malima mentioned the stagnation of Muslims in education. This report somehow got leaked to the press and to other Christian personalities including former President Nyerere and then CCM Chairman Julius Nyerere.[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]The marginalisation of Muslims is so obvious and glaring in Tanzania that it does not require statistical proof. Any social scientist familiar with Tanzania will not fail to notice this fact. It is noticeable and evident in all spheres of life. The first serious attempt to bring the problem of marginalisation to the attention of Muslims was done by one Muslim youth organisation-Muslim Writers, popularly known as Warsha. In 1981 in a method of interacting with the general Muslim population never seen before, a research was conducted and the findings were published and distributed to all Muslims in Tanzania, showing low figures of Muslim admission into institutions of higher learning.[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Aboud Jumbe, [6] former President of Zanzibar and First Vice-President of Tanzania, has made a statistical analysis of Muslim placement in the government, the parliament and in institutions of higher learning. The figures are shocking. In some institutions Muslims are noticeable by their absence. Jumbe's expose was the second serious documented attempt to put this problem out in the open with the hope that the government would feel compelled and obligated to rectify the anomaly.[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Other attempts have been made in the past by individuals such as Sheikh Abubakar Mwilima, then member of the National Executive of the party to try to put this problem to the government and the ruling party. Unique in this is the fact that all those who have tried to put this problem before the government agenda have not survived. Their political life or career was curtailed-Chief Abdallah Said Fundikira, Tewa Said Tewa, Bibi Titi Mohamed, Mufti Sheikh Hassan bin Amir, Mussa Kwikima, Sheikh Abubakar Mwilima, Professor Kighoma Ali Malima and others. It is from this point that Muslims began to whisper about conspiracy against them. This came to be confirmed later when Christian writers began to research on the effect of Christianity on state administration; and not caring about the repercussions of their findings to Muslims they detailed how Muslims have been sidelined with government connivance.[/TD]
[/TR]
[/TABLE]



[1] See footnote no.19.

[2] Daily News, 6 th November, 1985

[3] Sivalon, op.cit. p. 49.

[4] Ali Hassan Mwinyi : President 1985-1995

[5] See Kiongozi, July 15 th-31 th, 1993.

[6] Aboud Jumbe, The Partner-Ship, Amana Publishers, Dar es Salaam, 1995, pp. 125-138.
Mohamed Said
 
Last edited by a moderator:
Hicho ndicho Profu anajaribu kukifundisha kwenye makala yake, umuhimu wa mtiririko wa hoja na mantiki (logic: premise => conclusion)

Naona unakopi na kupesti, unazunguka mduara (kama tuko kwa babu njenje) lakini sijaona hayo mafundisho ya professor wala hujanionesha "hizo "conclusions" za Said ziko wapi zenye "profound implications for our future"?

Kulikoni?
 
Naona unakopi na kupesti, unazunguka mduara (kama tuko kwa babu njenje) lakini sijaona hayo mafundisho ya professor wala hujanionesha "hizo "conclusions" za Said ziko wapi zenye "profound implications for our future"?

Kulikoni?

naona umenizidi stepu kwenye kuzunguka mduara maana maswali hujibu, hoja unazipotezea, tuanzishe tu jukwaa la kufundisha(na) mantiki
 
FaizaFoxy

Afadhali sasa umekubali kwamba kuna masuala ya fursa za kiuchumi/kielimu maana hiyo nukuu nilikuwekea hapa mwanzo ila ukaipotezea, sasa naona mwenyewe umeileta na kuishibisha na kina Bergen, tena huyo Bergen ndiyo kabisa anathibitisha maana kuna ile barua kule nyuma ya kitabu chake kwenye ma-ambato ambayo naona huwa hamtaki kuigusa sijui kwa nini.
 
Last edited by a moderator:
naona umenizidi stepu kwenye kuzunguka mduara maana maswali hujibu, hoja unazipotezea, tuanzishe tu jukwaa la kufundisha(na) mantiki

Swali lipi? nimekuuliza kuhusu cooked up statiscs ukajidai "uchumi", nikakwambia tuoneshe hiyo "historia ya uchumi" kutoka kwa Mohamed Said, hukuweza. Ukaona hauna pakutokea ukaja na "uchumi/elimu" ukaona napo hapo hakuna statistic hata moja ukaja na mduara wa kopi na pesti napo umeshindwa kutuonesha "conclusion" mnaojidai ya Mohamed Said.

Halafu sasa unakuja na porojo za kufundishana "mantiki", nnauhakika hata neno "mantiki" hulijuwi maana yake, na ukiendelea ntakupa darsa kuhusu hilo.

Kuna mantiki ipi katika kutaka ku justify "cooked up data" kuleta justification ya "cadaver"? Fikiri.
 
Swali lipi? nimekuuliza kuhusu cooked up statiscs ukajidai "uchumi", nikakwambia tuonehse hiyo "historia ya uchumi" kutoka kwa mohamed Sai, hikuweza. Ukaona hauna pakutokea ukaja na "uchumi/elimu" ukaona napo hapo hakuna statistic hata moja ukaja na mduara wa kopi na pesti napo umeshindwa kutuonesha "conlclusion" mnaojidai ya Mohamed Said.

Halafu sasa unakuja na porojo za kufindishana "mantiki", nnauhakika hata neno "mantiki" hulijuwi maana yake, na ukiendelea ntakupa darsa kuhusu hilo.

Kuna mantiki ipi katika kutaka ku justify "cooked up data" kuleta justification ya "cadaver"? Fikiri.

Ndugu yangu, hata maswali ambayo hujajibu mpaka nikuoneshe - nimekukolezea huko juu kwa wino mwekundu bado huyaoni tu au ndiyo ile mbinu ya kuruka vihunzi kiaina (kupotezea)? Kama ndiyo hiyo, nimekuelewa. Inakubalika ngoma ikiwa nzito, yaani, kuepuka adha kwa staha.

Profesa Hirji ni Mwanatakwimu. Alichofanya hapo ni kuwasaidia wasomaji waelewe mantiki za kitakwimu na kiuchambuzi kwenye hoja za Mzee wetu Mohamed Said ambaye sote tunakubali kwamba ana hoja nyingi tu za msingi ila pia kuna sehemu zina mushkeli. Hoja kuu ni kuonewa, na si kuonewa kisiasa tu bali na kiuchumi, kielimu n.k.
 
Yupo sahihi kusema Mau Mau walipigana na Wajerumani.
Ahsante sana.
tayari amesema ni error kiukweli inaweza kutokea kwa yeyote bila kujari wewe ni mtu wa msimano gani mfano badala ya kuandika
Kona ukaandika kina n.k
 
Tatizo ambalo lipo ni profeessor hirji anaalyse bila kuweka kipaumbele cha dini mbele, wakati ndugu yangu mohammed ameweka kipaumbele cha dini mbele. na tatizo la kuingiza uisilamu kama dini, unaingiza itikadi ya kiisilamu ambayo tunnel vision either uko nasi , au hauko nasi, mlengo wa kati hakuna, hii ni tatizo la muda watoto wetu wataondokana nalo kama wakisoma. Na mimi najikita sana na watoto, kwani naamini sana nyenzo kubwa ya malalamiko ya dini ya kiisilamu ni kukataa kama jumuia kufanya internal self criticism na kujikita zaidi kwenye kulaumu either, mfumo kristo, nyerere etc. huku wanalaumu, huku wanataka internet, wanataka umeme, wanataka dawa mahospitali, wao wenyewe hawaendi saudi arabia au yemen hata livu wala kusoma, bali wanaenda usa, canada etc, kwa hiyo tuzoee hizi conflicting direction na kujikita zaidia katika elimu ya watoto wetu.
 
Yupo sahihi wakati kakiri mwenyewe kuwa kafanya makosa? na kakiri kuwa hata hii iliyoletwa humu siyo "full version", wewe unasema yupo sahihi, yeye mwenyewe kaingia humu na kusema kweli kuna makosa "error".

Sasa tukuamini wewe usiyejuwa hata kilichoandikwa ni nini au tumwamini Hirji aliyekuja kukiri kuwa kuna makosa?

Hivi hizo shule huwa mnaenda kusomea ujinga?

Naona shule uliyosoma wewe imekufundisha ujinga zaidi na kasi ya ujinga kwa kwenda mbele
 
FaizaFoxy

hakuna kitu kibaya kama uwongo, kwani hata mimi ni mngoni, mama yangu kasoma kichwele, babu yangu alikuwa medical supertendent sewa haji (ocean road) kuanzia mwaka 1948, na kuna vitu vitatu ambavyo ni uwongo mtupu, kwanza kuna historia kubwa sana ya wakristo kwenye kupigania uhuru, pamoja na michango ya hela na vitumbua ya babu na bibi zetu, hata mission quarter kwenyewe kuna wazee wengi ambao walishiriki kwa nafasi zao , kwani ni eneo amablo wakristo wengi walikuwepo. hili kama linatakiwa kunadikwa litaandikwa kwani watu wako canada , uingereza na hata tanzania wanakumbuka vitu vingi, pili wangoni ni accomplinces wa vita vya maji maji, kwa matazamo wangu ni kama babu zangu waliingia kichwa kichwa vita vilivyoanzia kilwa na maeneo ya liwale has kutokana na mpango wa wajerumani kutaka kulima karanga na pamba, uwongo huu mnaoleta leo unakinai na haulipeleki taifa hili mbele, nimesoma shule hapa dsm na kwa macho yangu nimeona watoto wa kike wakiisilamu waki tolewa shuleni na baba zao kwenda kuolewa, na wengine waume kwa wake kukatazwa kwenda shule kwani "mtalishwa nguruwe" leo miaka hamsini lawama zimetoka bila hata kuangalia waliokataa kusoma kwa hiyari yao ni % ngapi na wanaonewa kwa utashi wa wakristo ni % ngapi, other waise nchi hii tunaipeleka kubaya. you may think you know everything, but dont be surprised tukikuambia you know nothing
 
Last edited by a moderator:
Wanabarza,
Kuna mtu hapa yeye kaamua kuwa Launcelot Gobbo,
Ikiwa hamjui huyu ni nani aingie "Merchant of Venice," William Shakespeare.

Ananikejeli "name calling" ati mimi ni Mzee wa Boston.
Ugomvi hauko kwenye uzee.

By the way leo nimetimiza miaka 63.
Alhamdulilah.

Ugomvi uko hapo kwenye, "Boston."
Sasa namuongezea mji mwingine na atizame hii picha:

DSC03077.JPG


DSC03074.JPG


Hapo juu nipo UN Geneva.
Hiyo picha ni mashuhuri inaitwa "Broken Leg Chair."

Akipenda sasa na aniite Mzee wa Geneva au UN Geneva
au vyovyote vile.

Tutandendelea hivi In Sha Allah kila akitoa jina na mimi nampa mji mpya.
Nimepata kumuonya nikamwambia husda ni maradhi mabaya ya nafsi.

Mnakasha umenoga Faiza anadarsisha,
Mashaallah.

Angekuwa mwanamme ningempiga kilemba.

Kwa kuwa ni mama yetu namvisha ushungi wa hariri.
Allah amuongozee ilm na amjaalie umri tawil.

Prof. Mohd, those who are calling you Mzee Boston are those like the blind who saw a rooster. They wouldn't have been there if they had not worked for the establisment or some kind of entourages to meetings or conferences and when they reach there they just go shopping on tax payers money. Some of us we have crossed the oceans and seen the world and the people of the world and here we are! Let them come with the map and we will show them where we had been even to some of them before they were born.
 
Hajat faiza Fox, al maarufu punjab Sing, Shariif Ritz ,Al akly THE BIG SHOW, na Al Alma Mohamed Said. Ahadi ni deni, na huwa sitoi kauli bila kuwa na msingi wa kauli hiyo.
Nipo tayari, nimekusanya makabrasha, panya wameyaparaza kidogo lakini sehemu za MS zipo intact. Ninakuja tuongee. Kabla sijamwaga kinachoitwa takwimu za Mohamed, napenda niwape kionjo kuwa mambo yamekaa uzuri, halafu jioni nawapa data zake. Zipo ili nina udhuru kidogo, nakwenda kuchukua madafu sehemu, jua kali
Niwaonyeshe kuwa Ms kafanya makosa mengi zaidi si ya logic bali ya upotoshaji. Nashangaa mnaposema Hirji ambaye amekiri kukosea mau mau na maji maji ametenda dhambi kuu. Hii ya Mohamed saidi si kuwa ni dhambi tu…

  1. Nilimuuliza Mohamed Said mwaka 2011, kutokana na kauli yake kuwa EAMWS iliuawa na wakatoliki na Nyerere, je ana ushahidi wowote.

Mohamed Saidi akajibu hivi:
Mohamed Said said:
Ndugu yangu Nguruvi,

Hivi ni ushahidi gani unaotafutwa kuwa utakapoletwa itakuwa ndiyo iaminike kuwa Kanisa Katoliki na Nyerere walishiriki kwa pamoja kuivunja EAMWS?

Kwa ufupi naomba nikupeleke kwenye kitabu cha Padri John Sivalon "Kanisa Katoliki na Siasa ya Tanzania Bara 1953 Hadi 1985" ukurasa wa 37.
.
Ukisoma ukursa huo hakuna mahali paliposema Wakatoliki walishirikiana na Nyerere kuua EAMWS. Hii maana yake ni kuwa Mohamed Said ametunga hadithi kama kawaida, kaiweka kwa lugha nzuri akijua anapotosha. Sikuwa alighafilikiwa kwa maneno, bali alisema maneno yasiyo na ukweli na ukurasa ni shahdi.

Nitaendelea maana niliwaonya kuwa mzee atakaa karibu na uani


Sikuweza kuupload ukurasa, ninao hapa



 
Read again the argument and, by the way, there is a big difference between the word "while" and "after"; in short, what Prof. Hirji is saying is that this not simply a matter of Muslims as anti-colonialism, there were Muslims who were pro-colonialism.

"Said unreasonably emphasises one type of grievance in the anticolonial struggles. In truth, those struggles derived from many grievances. They included limited educational opportunities, exploitative trade practices, lack of representation in political decision making, denial of civil service jobs and business licenses, unfair pay schemes and taxation, land appropriation, persistent poverty, preferences granted to Asians, and cultural domination. Religion based grievances were a marginal factor in this equation" - Karim Hirji

Is that your economic history? You don't get it aren't you? You and Karim Hirji can not use an incident what can be called a white sheep of a family (I don't use black to justify stereo typings of our colonialists) to generalize against the whole community of a people just to satisfy your quims. You also cannot neither use hypothesis and assumptions at all.
 
Huu ni upotoshaji mwingine wa Mohamed Said. Kama kunaanyebisha kuwa si upotoshaji basi aje hapa tuongee naye. MS alishakubali kuwaalitetereka, sasa nasubiri dagaa
Nilikujajua kuwahistoria ya uhuru wa Tanganyika inaogopwa wakati nilipokuwa mwanafunzi ChuoKikuu Cha Dar es Salaam. Ikawa mwalimu wangu akisema katika kusomesha historiaya Tanganyika kuwa Nyerere ndiye muasisi wa TANU nilikuwa namsahihisha nakumueleza kuwa hili lisingewezekana kwa kuwa TANU asili yake ni AfricanAssociation na chama hicho kilianzishwa 1929 na baba yake Abdulwahid Sykes
Ndugu zangu, mumefungua pandora box,nitahangaika na MS machweo na mawio

 
Halfu nawapa kifungua kinywa cha takwimu mahususi zakitaalam zilizofanywa na Mohamed Said, halafu tutaongee nikirudi kutoka shamba.

By Mohamed Said Salum

Table 1

Selection of Std.VII Pupils to Form I in Dar es Salaam Region 1978 -1981
Year Total Selected Muslims Percentage of
Muslims Selected
1978 956 216 23
1979 903 194 22
1980 1071 247 23

Source: Dar es Salaam City Council, Department of Education.

NB: In 1967 census Muslims in Dar es Salaam Region were 67%, therefore thenumber of Muslim students in Dar es Salaam Primary Schools is greater than thatof Christians. This should have reflected in the selection.


 
Manyerere,
Kuna mengi ningeweza kusema...
Prof. Hirji kaandika baada ya mimi kusema.

Alikuwa wapi siku zote?
Mimi huna haja ya kunihimiza.

Siku zote nimekuwapo.
Mzee Said, mara zote unapojadili mambo jaribu kuwa mtulivu. Jitahidi kuongozwa na ukweli badala ya hisia na matamanio yako. Kuna waislamu na wakristo wamejipatia heshima kubwa sana kwa kusimamia ukweli bila jazba au mihemko ya kiimani. Ukiweka kando chuki za kidini, unayo maarifa mazuri mengi.
 
Halfu nawapa kifungua kinywa cha takwimu mahususi zakitaalam zilizofanywa na Mohamed Said, halafu tutaongee nikirudi kutoka shamba.

By Mohamed Said Salum

Table 1

Selection of Std.VII Pupils to Form I in Dar es Salaam Region 1978 -1981
Year Total Selected Muslims Percentage of
Muslims Selected
1978 956 216 23
1979 903 194 22
1980 1071 247 23

Source: Dar es Salaam City Council, Department of Education.

NB: In 1967 census Muslims in Dar es Salaam Region were 67%, therefore thenumber of Muslim students in Dar es Salaam Primary Schools is greater than thatof Christians. This should have reflected in the selection.


Kama watoto wa kiislamu walivizwa madrasa ya elimu akhera pekee unatarajia muujiza gani wa kuwapeleka sekondari kwa elimu dunia? Baada ya kuliona hilo sasa watoto wa kiislamu wengi wanakwenda sekondari. Mzee said asaidie kuhiniza waislamu wawapeleke watoto shule za kidunia sanjari na zile za kiimani.
 
FaizaFoxy

hakuna kitu kibaya kama uwongo, kwani hata mimi ni mngoni, mama yangu kasoma kichwele, babu yangu alikuwa medical supertendent sewa haji (ocean road) kuanzia mwaka 1948, na kuna vitu vitatu ambavyo ni uwongo mtupu, kwanza kuna historia kubwa sana ya wakristo kwenye kupigania uhuru, pamoja na michango ya hela na vitumbua ya babu na bibi zetu, hata mission quarter kwenyewe kuna wazee wengi ambao walishiriki kwa nafasi zao , kwani ni eneo amablo wakristo wengi walikuwepo. hili kama linatakiwa kunadikwa litaandikwa kwani watu wako canada , uingereza na hata tanzania wanakumbuka vitu vingi, pili wangoni ni accomplinces wa vita vya maji maji, kwa matazamo wangu ni kama babu zangu waliingia kichwa kichwa vita vilivyoanzia kilwa na maeneo ya liwale has kutokana na mpango wa wajerumani kutaka kulima karanga na pamba, uwongo huu mnaoleta leo unakinai na haulipeleki taifa hili mbele, nimesoma shule hapa dsm na kwa macho yangu nimeona watoto wa kike wakiisilamu waki tolewa shuleni na baba zao kwenda kuolewa, na wengine waume kwa wake kukatazwa kwenda shule kwani "mtalishwa nguruwe" leo miaka hamsini lawama zimetoka bila hata kuangalia waliokataa kusoma kwa hiyari yao ni % ngapi na wanaonewa kwa utashi wa wakristo ni % ngapi, other waise nchi hii tunaipeleka kubaya. you may think you know everything, but dont be surprised tukikuambia you know nothing
 
Last edited by a moderator:
Hajat faiza Fox, al maarufu punjab Sing, Shariif Ritz ,Al akly THE BIG SHOW, na Al Alma Mohamed Said. Ahadi ni deni, na huwa sitoi kauli bila kuwa na msingi wa kauli hiyo.
Nipo tayari, nimekusanya makabrasha, panya wameyaparaza kidogo lakini sehemu za MS zipo intact. Ninakuja tuongee. Kabla sijamwaga kinachoitwa takwimu za Mohamed, napenda niwape kionjo kuwa mambo yamekaa uzuri, halafu jioni nawapa data zake. Zipo ili nina udhuru kidogo, nakwenda kuchukua madafu sehemu, jua kali
Niwaonyeshe kuwa Ms kafanya makosa mengi zaidi si ya logic bali ya upotoshaji. Nashangaa mnaposema Hirji ambaye amekiri kukosea mau mau na maji maji ametenda dhambi kuu. Hii ya Mohamed saidi si kuwa ni dhambi tu…

  1. Nilimuuliza Mohamed Said mwaka 2011, kutokana na kauli yake kuwa EAMWS iliuawa na wakatoliki na Nyerere, je ana ushahidi wowote.

Mohamed Saidi akajibu hivi: Ukisoma ukursa huo hakuna mahali paliposema Wakatoliki walishirikiana na Nyerere kuua EAMWS. Hii maana yake ni kuwa Mohamed Said ametunga hadithi kama kawaida, kaiweka kwa lugha nzuri akijua anapotosha. Sikuwa alighafilikiwa kwa maneno, bali alisema maneno yasiyo na ukweli na ukurasa ni shahdi.

Nitaendelea maana niliwaonya kuwa mzee atakaa karibu na uani


Sikuweza kuupload ukurasa, ninao hapa




Nguruvi3.

Uzuri wa mnakasha ukimtuhumu mwenzako kapotosha kisomi wewe unakuja na data za ukweli.

Tumeona Prof Hirji kapotosha watu wamekuja na data za ukweli sasa wewe unakuja na meneno matupu bila data wala facts za kutosha.

Nipo pembeni hapa nakunywa tangawizi.
 
Last edited by a moderator:
hakuna kitu kibaya kama uwongo, kwani hata mimi ni mngoni, mama yangu kasoma kichwele, babu yangu alikuwa medical supertendent sewa haji (ocean road) kuanzia mwaka 1948, na kuna vitu vitatu ambavyo ni uwongo mtupu, kwanza kuna historia kubwa sana ya wakristo kwenye kupigania uhuru, pamoja na michango ya hela na vitumbua ya babu na bibi zetu, hata mission quarter kwenyewe kuna wazee wengi ambao walishiriki kwa nafasi zao , kwani ni eneo amablo wakristo wengi walikuwepo. hili kama linatakiwa kunadikwa litaandikwa kwani watu wako canada , uingereza na hata tanzania wanakumbuka vitu vingi, pili wangoni ni accomplinces wa vita vya maji maji, kwa matazamo wangu ni kama babu zangu waliingia kichwa kichwa vita vilivyoanzia kilwa na maeneo ya liwale has kutokana na mpango wa wajerumani kutaka kulima karanga na pamba, uwongo huu mnaoleta leo unakinai na haulipeleki taifa hili mbele, nimesoma shule hapa dsm na kwa macho yangu nimeona watoto wa kike wakiisilamu waki tolewa shuleni na baba zao kwenda kuolewa, na wengine waume kwa wake kukatazwa kwenda shule kwani "mtalishwa nguruwe" leo miaka hamsini lawama zimetoka bila hata kuangalia waliokataa kusoma kwa hiyari yao ni % ngapi na wanaonewa kwa utashi wa wakristo ni % ngapi, other waise nchi hii tunaipeleka kubaya. you may think you know everything, but dont be surprised tukikuambia you know nothing
Mkuu kama hii history ni ya uongo ni vizuri wewe sasa kama msomi utufahamishe ukweli ili tupate kujua ukweli.
 
Back
Top Bottom