Beating the Drum on One Side: Confusing the People on Both Sides

Beating the Drum on One Side: Confusing the People on Both Sides

Lusungo,
Haya maswali unayoniuliza yote majibu yake yapo kwenye kitabu.
 
Si kweli, hakuna chuo cha Kiislam Morogoro, kuna chuo cha Waislam Morogoro. Kumbuka hilo, ni Muslim University of Morogoro na si "Islamic" University of Morogoro. Hata kifupi chake ni MUM na si IUM.



Hivi hizo shule huwa mnaenda kusomea ujinga?

Ujinga ni 'hali' ya kuwa hujui jambo fulani...

So MTU hawezi kwenda kusomea hali ya kutojua kitu...

Ujinga hausomewi hivyo kuwa makini kujenga logic mama.
 
Well Nyakageni,

Bring here the reference including dates of those MoU of Agakhan and the like as you claim.


Amekuuliza unaelewa nini kuhusu MoU?

Agakhan Kama taasisi lazima iwe na MoU labda Kama wewe uko obsessed na mengine ndo maana unachanganyikiwa ukilisikia hilo neno.
 
Last edited by a moderator:
Mimi nimeuliza, hebu jibu swali:

Jee, Mau Mau walipigana na Wajerumani?
Hilo swali tunaliita Beating the Drum on One Side.

Ngoja tuendelee kuwasubiri wasomi wetu wa JF labda watakuja na jibu.

Labda Mag3 anaweza kujibu ili swali murua!
 
Last edited by a moderator:
Lusungo,
Kadi ya TANU ya Nyerere ni na. 1.

Mkuu Mohamed Said

Nakubaliana nawe ktk logic juu ya nani hasa walikerwa na ukoloni na walitoa msukumo Wa kuwaondoa....

Naturally makoloni mengi ya wazungu walitekeleza makubaliano ya Berlin kulinda ukristo ktk colonies zao...

In a logical manner isingekua rahisi anayelindwa ama kubebwa akapambana na anayempa ulinzi au anayembeba....
 
Last edited by a moderator:
Lusungo,
Si lazima uniamini.
Soma tu uwe ujue historia ya wazee wangu ilikuwa hivi na hivi...

Uncle Abdul kadi yake ya TANU na. 3.

Uncle Abdul rafiki yake alikuwa Chief Kidaha Makwaia akimfanyia
diner party nyumbani kwa Anti Mwamvua nk. nk. utapata picha ya
maisha ya "high society" ya Kariakoo ya 1950s ilivyokuwa ikiishi...

Ikiwa utaona ni hekaya ni sawa tu.

Una haki ya kuamini kile unachoona kweli na kukataa uongo.
 
Lusungo,
Si lazima uniamini.
Soma tu uwe ujue historia ya wazee wangu ilikuwa hivi na hivi...

Uncle Abdul kadi yake ya TANU na. 3.

Uncle Abdul rafiki yake alikuwa Chief Kidaha Makwaia akimfanyia diner party nyumbani kwa Anti Mwamvua nk. nk. utapata picha ya maisha ya high society ya Kariakoo ya 1950s ilivyokuwa ikiishi...

Ikiwa utaona ni hekaya ni sawa tu.

Una haki ya kuamini kile unachoona kweli na kukataa uongo.


Mkuu sikatai juu ya mchango Wa akina Sykes isipokuwa nakataa kupingana kwa logic kwamba Nyerere si Muasisi Wa TANU
 
Lusungo,
Hilo nimelieleza kwa kirefu katika kitabu na wengi wameumizwa
na hilo.

Mimi nimesema yawezekana Nyerere alikuwa na fikra ya TANU
toka Butiama lakini ile TANU ya New Street ni ya Abdul.

Wengi hawakupenda hili.
Lakini simlazimishi mtu kukubaliana na mimi.
 
Ujinga ni 'hali' ya kuwa hujui jambo fulani...

So MTU hawezi kwenda kusomea hali ya kutojua kitu...

Ujinga hausomewi hivyo kuwa makini kujenga logic mama.

Sasa ikiwa mtu anaandika MUM anaambiwa hiyo ni Muslims University of Morogoro, yeye anakazania ni Chuo cha Kiislam, kwa maana Islamic University, huyo kama shule yake hajasomea ujinga kasomea nini zaidi?

Hujanijibu, Mau Mau walipigana na Wajerumani?
 
Sasa ikiwa mtu anaandika MUM anaambiwa hiyo ni Muslims University of Morogoro, yeye anakazania ni Chuo cha Kiislam, kwa maana Islamic Universty huyo kama shule yake hajasomea ujinga kasomea nini zaidi?

Hijanijibu, Mau Mau walipigana na Wajerumani?


Unataka nini hasa baada ya kujua? Mbona nimekwambia sijui bado unang'ang'ania kwani shida yako nini?
 
Lusungo,
Hilo nimelieleza kwa kirefu katika kitabu na wengi wameumizwa na hilo.

Mimi nimesema yawezekana Nyerere alikuwa na fikra ya TANU toka Butiama lakini ile TANU ya New Street ni ya Abdul.

Wengi hawakupenda hili.

Lakini simlazimishi mtu kukubaliananami.

Sasa inakuwaje aliyeasisi asipate kadi nr.1?

Utasemaje TANU kaanzisha Sykes wakati front line anaonekana Nyerere?

Mkuu hapa inahitajika logic tu sio rejea za kitabu chako.
 
Unataka nini hasa baada ya kujua? Mbona nimekwambia sijui bado unang'ang'ania kwani shida yako nini?

Sina shida, nilikuwa nataka kuujuwa ukweli tu. Kama na wewe huujuwi basi nisameh sana, sitong'ang'ania tena.

Labda Mag3 atakuja nisaidia swali langu hilo kama alivyosema Ritz.

Pole sana.
 
Last edited by a moderator:
Sasa inakuwaje aliyeasisi asipate kadi nr.1?

Utasemaje TANU kaanzisha Sykes wakati front line anaonekana Nyerere?

Mkuu hapa inahitajika logic tu sio rejea za kitabu chako.

Tupe basi historia kidogo tufaidike, front-line kivipi? TANU iliasisiwa na akina nani, au ni Nyerere pekee?

Eti Nyerere aliwahi kukaa nyumbani kwa akina Sykes?
 
Tupe basi historia kidogo tufaidike, front-line kivipi? TANU iliasisiwa na akina nani, au ni Nyerere pekee?

Eti Nyerere aliwahi kukaa nyumbani kwa akina Sykes?

Nikupe historia yanini wakati mi nahitaji logic toka kwa hoja zenu?

Utaniulizaje maswali ambayo Mimi nimechota kwenye hoja zenu zilizojaa contradictions?

Nyerere kukaa kwa akina Sykes ndo kunakupa shuhuda gani wewe?

Jibu swali inakuwaje huyo mnaesema alikua na wazo hakulitekeleza kaja kutekeleza Nyerere?
 
Back
Top Bottom