Quality_First
Member
- Jun 12, 2021
- 32
- 15
Nyie watu bana shilling 4.5bn kwa aridhi ilioko bagamoyo 65km kutoka mjini kati kwahiyo pesa ata Chicago beach USA unaipata hiyo aridhi.........watanzania hatajui value ya pesa tunatamka tu beiNi vile tu umasikin ila hio hela na hilo eneo vinarandana kabisa ni kama 400m/heka ufukweni tutafuteni hela wakuu au tupoe vikindu.
Miongoni mwa ndoto zangu ni kumiliki yenye bahari on the back yard
Danganyika TanzagizaNyie watu bana shilling 4.5bn kwa aridhi ilioko bagamoyo 65km kutoka mjini kati kwahiyo pesa ata Chicago beach USA unaipata hiyo aridhi.........watanzania hatajui value ya pesa tunatamka tu bei
Mbona bei fair kwa ukubwa huo yaan ukipiga mahesabu hapo ni Tsh 83000 per square meter ambapo kwa beach plot za bagamoyo mjini ni more than fair.Bei siyo kubwa kwa beach plot. Bandari haifiki huko?
Sio kubwa kwa kigezo gani? Au kwa kuliganisha na sehemu gani?Mbona bei fair kwa ukubwa huo yaan ukipiga mahesabu hapo ni Tsh 83000 per square meter ambapo kwa beach plot za bagamoyo mjini ni more than fair.
Ndugu yangu kila mahali hapa nchini serikali kupitia wizara ya ardhi yameshathaminisha ardhi interms of cash per square meter so tafuta hizo sheet za wizara na tazama bei za makadirio ya beach plots bagamoyo mjini then thank me laterSio kubwa kwa kigezo gani? Au kwa kuliganisha na sehemu gani?
Nyie watu bana shilling 4.5bn kwa aridhi ilioko bagamoyo 65km kutoka mjini kati kwahiyo pesa ata Chicago beach USA unaipata hiyo aridhi.........watanzania hatajui value ya pesa tunatamka tu b
Shukran kwa maoni yako mkuu mulwanaka . Ila Wenye kujua thamani watakuja tu mkuu. Infact wapo kadhaa waliokuwa tayari kutoa $1.5M ila offer zao zilikataliwa.Nyie watu bana shilling 4.5bn kwa aridhi ilioko bagamoyo 65km kutoka mjini kati kwahiyo pesa ata Chicago beach USA unaipata hiyo aridhi.........watanzania hatajui value ya pesa tunatamka tu bei
Ni bei Reasonable tu.Sio kubwa kwa kigezo gani? Au kwa kuliganisha na sehemu gani?
View attachment 1867172
Inawezakana unalosema ni kweli Mkuu Zanzibar-ASP . Ila pengine kuna mdau humu mwenye kumjua mwenye uhitaji.Hapo ni parefu sana, bei sio rafiki kwa wadau wa JF. Kiujumla kwa wadau wa JF sioni mtu wa kujaribu hata kuitamani. Wengi humu ni walalahoi waliochangamka tu.
Nafikiri umepotea njia hao waliotoka hizo ofa zilizokataliwa hawako huko its beta ungewafuata huko hukoShukran kwa maoni yako mkuu mulwanaka . Ila Wenye kujua thamani watakuja tu mkuu. Infact wapo kadhaa waliokuwa tayari kutoa $1.5M ila offer zao zilikataliwa.
Ni bei Reasonable tu.