Be very careful what you wish for!

Be very careful what you wish for!

Kwahyo suluhisho ni nini?
1. Kuacha kupiga kura.

2. Ukiacha kupiga kura, unawanyima uhalali.

3. Watanzania karibu milioni 70 hatushindwi tukiamua kuwatimua. Unaikumbuka Tahrir Square kule Egypt? Mubarak aliondoka au alibaki?

4. Jeshi letu liwe upande wa wananchi kama ambavyo jeshi la Misri lilivyokuwa kwenye upande wa wananchi na kukataa amri haramu toka kwa Mubarak.
 
Haikuwa hivyo kwa Jerry Rawlings
Rawlings alimuondoa nani ? Another Military Leader Ingawa mwishoni alikabidhi madaraka ili watu wachague... ila baada ya kumuondoa another military leader nini kilitokea ?

Overthrew the country's military leader, Gen Fred Akuffo. Rawlings took the reins of government as leader of the Armed Forces Revolutionary Council (AFRC), The AFRC had vowed to hold Ghana's former leaders to account, and Akuffo and other military leaders were executed.
Na hapa siongelei Mwanajeshi kuwa kiongozi kwenye Demokrasia bali naongelea Military Regime - Jeshi ni Sheria na Kutii Amri hakuna kuuliza wala kubisha.....
na Obasanjo.
a Nigerian politician, statesman, and former army general who served as Nigeria's military dictator from 1976 to 1979 and later as its president from 1999 to 2007.
Kumbuka 1999 alichaguliwa na hapa tunaongelea Military regime na sio mtu per se...; Binafsi kila siku nasema Kiongozi mzuri kwa maendeleo ya nchi ni A Benevolent Dictator (ndio maana naweza kusifia vitu anavyofanya na motivation anayowapa watu wake (Burkinabes)- Traore) lakini sikubaliani na Military Regime sababu wana tools za kufanya chochote wanachotaka na tunajua kwamba Absolute Power Corrupts...

Na tukiongelea Nigeria ni nchi ambayo imekuwa na Kupinduana mara kwa mara na hao hao wanajeshi; Since Nigeria became independent in 1960, there have been five military coups. Between 1966 and 1999, Kwahio sidhani kama ni wise kuwatumia kama mfano mzuri
 
1. Kuacha kupiga kura.

2. Ukiacha kupiga kura, unawanyima uhalali.

3. Watanzania karibu milioni 70 hatushindwi tukiamua kuwatimua. Unaikumbuka Tahrir Square kule Egypt? Mubarak aliondoka au alibaki?

4. Jeshi letu liwe upande wa wananchi kama ambavyo jeshi la Misri lilivyokuwa kwenye upande wa wananchi na kukataa amri haramu toka kwa Mubarak.
Hiyo 1 na 2 aliekwambia wanategemea kura yako ni nani?? Hata wakaenda watu 100 tuu kupiga kura hao ni mashetani hawajali maana hawategemei kura..

Inaonekana hata haupo tanzania uhalisia wa maisha ya mtaani huyajui
 
Which Civilians ? Kikwete, RA. We need to end this fckn hereditary successions...kila Siku ni mwinyi kikwete na wajukuu waje watutawale just to protect their Cake...ona sasa hivi familia ya Samia nayo ishaingiza wabunge wa familia 🗑️
Hata Museveni ni mwanajeshi, jeshi kakabidhi kwa mwanae.

Hata Salva Kiir ni mwanajeshi, anamtoa cheo mwanae anamuweka mume wa mwanae.

Nepotism haiishi tu kisa jeshi liko madarakani, mbona humohumo jeshini wanapelekana kozi na command watoto na ndugu wa maofisa, sasa wakipata madaraka makubwa zaidi si wanafanya yaleyale.

Hakuna utofauti wowote wa kitabia baina ya jeshi na wananchi ni kwamba tu jeshi lina sheria zinabana wanajeshi.
Unaona Israel ilivyo, raia na wanajeshi wana tabia zinafanana ndio maana nchi sometimes huwa inaongozwa na retired military officers na sometimes raia na tofauti hamna. Vilevile kwa Nigeria, hakuna utofauti wa tabia huwa unaonekana baina ya military juntas na tawala za kiraia ila tu tawala za kiraia huwa zinabanwa kama ambavyo Goodluck Jonathan alishindwa uchaguzi, au Musa Yar'Adua alivyofariki hakuna risasi ilirushwa au mtu kunyongwa.

Sasa huwezi kuwa na jamii mbovu kwa asili alafu eti jeshi pekee ndio liwe zuri ila polisi wabovu, wanasiasa wabovu, walimu wabovu, madaktari wabovu. Sasa hilo jeshi ni la mamluki au uzao uleule?

Kama hakuna control kwa utawala unategemea nini. Likiingia jeshi sahau kuhusu Lissu wala Polepole. Utasikia majina yaliyokuwa kambini ambayo hayajali lolote kuhusu good governance, uchumi, sheria, haki za binadamu. Yenyewe yanakariri utii no matter what, yaleyale ya Pakistan mkuu wa shirika la umeme alikuwa Major/Brigadier General wa mizinga, hajui lolote kuhusu nishati.
 
Hiyo 1 na 2 aliekwambia wanategemea kura yako ni nani?? Hata wakaenda watu 100 tuu kupiga kura hao ni mashetani hawajali maana hawategemei kura..

Inaonekana hata haupo tanzania uhalisia wa maisha ya mtaani huyajui
Naona hulielewi suala la mandate na legitimacy.

Unahemuka hemuka tu na hisia.

Kwaheri. Jibizana na wapumbavu wenzio.
 
Naona hulielewi suala la mandate na legitimacy.

Unahemuka hemuka tu na hisia.

Kwaheri. Jibizana na wapumbavu wenzio.
Wewe sio mpumbavu, wewe ni MXENGE, ushakojolewa KINYEO KIMEOZA unaandika ujinga, nchi ikipata uhuru vyawa kama nyie ni wa kufungwa.
 
Nimewadanganyaje watu?

Watanzania tunakaribia milioni 70 lakini hatuwezi kufanya chochote dhidi ya kundi dogo la watu!

That’s an indictment on us.

We are too docile.
Kama wingi wa watu ndio kujikwamua kwa watawala basi Afrika tungejitoa kwenye ukoloni mambo leo. Tanzania imefikia kuua kila anae ikosoa Serikali, kufunga wapinzani bila ya sababu muhimu.
 
Kama wingi wa watu ndio kujikwamua kwa watawala basi Afrika tungejitoa kwenye ukoloni mambo leo. Tanzania imefikia kuua kila anae ikosoa Serikali, kufunga wapinzani bila ya sababu muhimu.
Wingi wa watu si hoja kama watu wenyewe ni nyumbu na kondoo.
 
Ni civilian goverments ngapi hapa Afrika ambazo maraisi kabla ya kampeni walitoa ahadi nyingi na tamu lakini baada ya kupata madaraka hawajatekeleza?

Je mliaacha kuamini mfumo wa civilian goverment?

Sasa kwanini past records za mataifa mengine kuhusu jeshi kuchukua nchi na baadaye kuleta tamaa binafsi ziwe sababu ya sisi kutounga mkono Jeshi letu kuchukua nchi katika kipindi cha mpito?
Sawa mkuu, twende hivi. Wewe taja kati ya mapinduzi around 109 Afrika, ni yapi yalileta tija kwa nchi zile nami nitaje civilian governments zipi Afrika zilileta tija na kufanya yaliyotolewa ahadi.

Tuanze na wapigania uhuru almost 70% walitimiza waliyosema, yalikuwa machache sana ila ya msingi wakati nchi zinaanza.

Viongozi wabovu kuwahi kutokea Afrika wote ni wanajeshi.
1. Mobutu wa DRC
2. Jean Bokassa wa CAR
3. Hissene Habre wa Chad
4. Yahya Jammeh wa Gambia

Na wengine wengi na hao wote wameacha nchi zao za kufanya mapinduzi kila muda. Mfano hao Burkina Faso nchi inayoongoza kwa kufanya mapinduzi yaliyofanikiwa hapa Afrika inatuzidi nini, serikali yao yenyewe kuna miji haiwezi kanyaga 40% ya nchi. Au Sudan ambao waliwahi fanya mapinduzi mara 7 yakafanikiwa, 20 yakafeli wanatuzidi nini kimaisha. Si ni hawa walitengana na Sudan Kusini kwa vita na hawa hawa wanapigana jeshi dhidi ya kikundi cha zamani cha kulinda serikali iliyopindua iliyokuwa inaogopa jeshi pia lisiipindue?
 
Sawa mkuu, twende hivi. Wewe taja kati ya mapinduzi around 109 Afrika, ni yapi yalileta tija kwa nchi zile nami nitaje civilian governments zipi Afrika zilileta tija na kufanya yaliyotolewa ahadi.

Tuanze na wapigania uhuru almost 70% walitimiza waliyosema, yalikuwa machache sana ila ya msingi wakati nchi zinaanza.

Viongozi wabovu kuwahi kutokea Afrika wote ni wanajeshi.
1. Mobutu wa DRC
2. Jean Bokassa wa CAR
3. Hissene Habre wa Chad
4. Yahya Jammeh wa Gambia

Na wengine wengi na hao wote wameacha nchi zao za kufanya mapinduzi kila muda. Mfano hao Burkina Faso nchi inayoongoza kwa kufanya mapinduzi yaliyofanikiwa hapa Afrika inatuzidi nini, serikali yao yenyewe kuna miji haiwezi kanyaga 40% ya nchi. Au Sudan ambao waliwahi fanya mapinduzi mara 7 yakafanikiwa, 20 yakafeli wanatuzidi nini kimaisha. Si ni hawa walitengana na Sudan Kusini kwa vita na hawa hawa wanapigana jeshi dhidi ya kikundi cha zamani cha kulinda serikali iliyopindua iliyokuwa inaogopa jeshi pia lisiipindue?
Wanajeshi wa kipindi hicho walikuwa wajinga wajinga, vilaza wasio na shule wala exposure.
Idi Amin alikuwa mpishi tu jeshini.
Yahya Jammeh alikuwa mganga wa kienyeji.
 
Sawa mkuu, twende hivi. Wewe taja kati ya mapinduzi around 109 Afrika, ni yapi yalileta tija kwa nchi zile nami nitaje civilian governments zipi Afrika zilileta tija na kufanya yaliyotolewa ahadi.

Tuanze na wapigania uhuru almost 70% walitimiza waliyosema, yalikuwa machache sana ila ya msingi wakati nchi zinaanza.

Viongozi wabovu kuwahi kutokea Afrika wote ni wanajeshi.
1. Mobutu wa DRC
2. Jean Bokassa wa CAR
3. Hissene Habre wa Chad
4. Yahya Jammeh wa Gambia

Na wengine wengi na hao wote wameacha nchi zao za kufanya mapinduzi kila muda. Mfano hao Burkina Faso nchi inayoongoza kwa kufanya mapinduzi yaliyofanikiwa hapa Afrika inatuzidi nini, serikali yao yenyewe kuna miji haiwezi kanyaga 40% ya nchi. Au Sudan ambao waliwahi fanya mapinduzi mara 7 yakafanikiwa, 20 yakafeli wanatuzidi nini kimaisha. Si ni hawa walitengana na Sudan Kusini kwa vita na hawa hawa wanapigana jeshi dhidi ya kikundi cha zamani cha kulinda serikali iliyopindua iliyokuwa inaogopa jeshi pia lisiipindue?
Mbona katika list yako ya viongozi wabovu hapo hujamuweka Samia na Kikwete?

Je hao kwako unawaona ni mashujaa na wanapaswa kuonwa kama mfano mzuri?

Yaani unaenda mbali kutafuta mifano ya maraisi wabovu ilihali nchi yako imejaza rekodi ya maraisi wenye sifa hizo.

Halafu nikuambie tu kitu. Jeshi likiwa na dhamira ya kuikalia nchi kwa mabavu haliwezi kuzuiliwa na Raisi ambaye yupo madarakani kwa kura za wananchi.

Kasome historia ya Guinea, Raisi alikuwa hana mamlaka yeyote kwa Jeshi. Kwa hiyo hilo unaloliogopa linaweza kutokea katika mazingira hata ya civilian government as long as kutakuwa na mtu mwenye tamaa.

Kwa hiyo kama mtu mwenye tamaa anaweza kufanya maamuzi ya kutamani madaraka, hatuwezi kuzia kwa kukataa kuikabidhi nchi kwa Jeshi kwasbabu tumeweza kuona mazingira ya Jeshi kutawala mamlaka ya Raisi iwapo tu tamaa zitawashika.

Hivyo basi busara hapo ni Jeshi lichukue nchi kutupitisha kipindi cha mpito kisha utaratibu wa kidemokrasia utarudi nchini.
 
Wanajeshi wa kipindi hicho walikuwa wajinga wajinga, vilaza wasio na shule wala exposure.
Idi Amin alikuwa mpishi tu jeshini.
Yahya Jammeh alikuwa mganga wa kienyeji.
Sasa ubaya wa mapinduzi ni kwamba kila mtu hujiona anaweza kuwa Rais. Tatizo linaanza pale Kapteni naye kasababisha mapinduzi, mara Kanali naye anaona kumbe anaweza, bado kuna Brigadier General, Major General, Lieutenant Colonel, Lt. General, General mwenyewe.

Kinachofuatia pale ni kulinda mapinduzi, maana technically yeyote huwa anawaza anaweza. Vyombo vya habari huwa suppressed, hakuna uhuru detainees wanakuwa wengi, amri za kuua mtu anayehisiwa. Kila muda ni wasiwasi na hofu yaani shughuli za maendeleo zinakuwa sio kipaumbele bali kutafuta ubaya na wapanga njama.

Kila aliye juu anajitahidi kuiba maana usiku wowote watapinduliwa, waliochini nao wanatamani wawe juu waibe, wengine wazuri wanaondolewa au kuwa sidelined basi wanaona ni haki kuondoka uozo. Mwishowe ni yaleyale ya Burkina Faso na Sudan.

Nchi zisizowahi kuwa na mapinduzi hakuna mwanajeshi huwaza kuwa kiongozi, ila hizo za mapinduzi yaani kama unavyoona UVCCM basi nazo recruitments jeshini zimejaa UVCCM wanaoamini siku moja watashika madaraka. Badala waende bungeni au wawe wanasiasa wao wanaona waende jeshini.

Unategemea kuna nchi ya maana inatokea hapo.
 
I never expected to hear what I am hearing from you.

....de current situation and the state to which Tanzania has sunk, we were hoping for your help to rescue us from this predicament. Where is that help?

Or are we to rely on those who are active on social media ,many of whom are just brave in speaking their minds but lack the courage to risk their daily bread, even though they are merely surviving by chance, yet they fear death...

How do you benefit from this existing system to the extent that you wish to see the situation remain as it is?

Please, let us intellectuals and self-aware citizens have a patriotic heart for our nation. Even though many are benefiting from this system, let us reach a point where we possess at least a grain of patriotism. Let us have the ability to weigh the safety of our benefits against how we are being robbed behind the smiles of these wretched leaders who have clothed themselves in sheep's skin.
 
Kuna kampeni za mama zinachekesha sehemu anazojaza sijui hawakuona nyomi ya Magufuli na Lowasa aisee uko peke yako unajaza vile ule ni utani
 
Uh oh 🤣.

Wachinguzi wa mtandaoni washaingia kazini.

Hahahaaaa.
Screenshot_20251004_154927_X.jpg
 
Kwahiyo unashaurije!

Nyani Tuachie Tanganyika yetu, we baki huko huko utumwani uendelee kuosha soksi za mabibi ya USA BABY.
 
Back
Top Bottom