T14 Armata
JF-Expert Member
- Mar 7, 2017
- 13,298
- 44,765
Kwa level za Afrika, Kikwete ni mojawapo ya viongozi wa wastani kama si wazuri, huwezi sema ni kiongozi mbaya. Hata 50 ya viongozi wabaya haiingii na ndio maana kwa muda wake aliwahi kuwa considered kupewa tuzo ya uongozi bora ya Mo Ibrahim.Mbona katika list yako ya viongozi wabovu hapo hujamuweka Samia na Kikwete?
Samia huyo si mzuri ila hadi sasa kuna wabaya kupindua kumzidi. Ujue tunazungumzia level ya Afrika sio Tanzania.
Uganda jirani yako pale Museveni kaongoza miaka almost 40, ni mzuri si ndio?Je hao kwako unawaona ni mashujaa na wanapaswa kuonwa kama mfano mzuri?
Yaani unaenda mbali kutafuta mifano ya maraisi wabovu ilihali nchi yako imejaza rekodi ya maraisi wenye sifa hizo.
Burundi hawa njaa kali wanaongozwa na watawala wa kijeshi, ni wazuri kuliko sisi?
Congo DRC iliongozwa na Mobutu muda mrefu baada ya kumtoa Lumumba. Mobutu alikuwa mzuri kuliko Lumumba?
Linaweza zuiliwa, mutiny si ilizuiliwa na kina Kambona, jaribio la kina komando Tamimu na Hans Pope si lilizuiliwa? Au unaamini ni kwamba jeshi huwa tu halijisikii. Mapinduzi sio ugali kwamba wakiamua wanasonga, Turkey pale Erdogan alikuwa mapumzikoni mji wa mbali kabisa, akarudi mji mkuu na akazima jaribio na akafunga wanajeshi 10,000 tena siku ya kesho yake ya jaribio.Halafu nikuambie tu kitu. Jeshi likiwa na dhamira ya kuikalia nchi kwa mabavu haliwezi kuzuiliwa na Raisi ambaye yupo madarakani kwa kura za wananchi.
Kuna coups, matokeo yake, international community, sanctions, counter coups, what if ikashindikana kuna kuuwawa au kufungwa maisha, what if kukatokea mapigano utashinda?, what if unaopanga nao nao wana tamaa mkishamaliza watakuua wabaki wao, what if mkishapata pia ama wewe utaogopa kubaki na wasaliti wa serikali ya sasa au wao wataogopa kubaki na wewe msaliti wa serikali ya sasa; mtaani wanasema unamuiba mwanamke kwa mwanaume mwingine kisa una hela kisha unategemea asiibiwe na mwenye hela zaidi yako. Coup sio matako kwamba kila mtu anayo.
Bado hujataja viongozi wazuri wa kijeshi kama mfano. Watano tu tuwajue kuwahi tokea Afrika. Yaani viongozi wa kijeshi huwa ni wabovu mno.Kasome historia ya Guinea, Raisi alikuwa hana mamlaka yeyote kwa Jeshi. Kwa hiyo hilo unaloliogopa linaweza kutokea katika mazingira hata ya civilian government as long as kutakuwa na mtu mwenye tamaa.
Kwa hiyo kama mtu mwenye tamaa anaweza kufanya maamuzi ya kutamani madaraka, hatuwezi kuzia kwa kukataa kuikabidhi nchi kwa Jeshi kwasbabu tumeweza kuona mazingira ya Jeshi kutawala mamlaka ya Raisi iwapo tu tamaa zitawashika.
Hivyo basi busara hapo ni Jeshi lichukue nchi kutupitisha kipindi cha mpito kisha utaratibu wa kidemokrasia utarudi nchini.