Be very careful what you wish for!

Be very careful what you wish for!

Kinachotakiwa Kufanyika Sio Coup.

Bali wanajeshi Kulinda Raia kama wataamua kuandamana, Hii itafanya polisi ku backup na hakutakua na Cvil casualities na hao watawala wataondoka tuuu
 
Traore kaikomboa kweli Burkina au ni stori tu?

Maana kule Guinea, Mamady Doumbouya kashaonyesha kila dalili kwamba hatoki madarakani.

Hata Traore naye keshaanza kuonyesha his dalili.

Mwisho wa siku kuna uwezekano mkubwa sana wa wote hao kutoka madarakani kwa njia ile ile waliyotumia kuingia kwenye hayo madaraka.
Wa kwetu atakuwa kama Jerry Rawlings wa Ghana.
 
Afrika inaongoza kwa tawala za kijeshi na inaongoza pia kwa tawala mbovu. Mfano mzuri ni Burkina Faso, 40% ya nchi inamilikiwa na waasi ila nchi imewahi fanya mapinduzi mara 9 kati ya hayo 6 yalifanikiwa na 3 yakashindwa.

Nigeria iliwahi ongozwa kijeshi mara nyingi baadae wakagundua bora utawala wa kiraia hata uwe mbovu namna gani utaondoka baada ya miaka 10 na una 2 terms mnaweza badili kwa mbinde hapo baada ya miaka 5.

Kwanza hamna Captain wa kufanya maamuzi pale, sasa Air force itumie zile J-7G nzee kuzuia vikosi tiifu? Anti air systems ziko na Army sio Air force.
Cheo chake kidogo sana kuchukua hatua, na kipo Air force ambayo kwetu ni neglected na ina watu wachache. Ndio maana katoa ushauri.

Jeshi lenyewe tumeliona kwenye ujenzi wa miundombinu, recruitments zinavyofanyika, usafi siku za maandamano na makamanda wake wengine tunawajua kina Shimbo et al. Ukiwa mtulivu huwezi kuwa na expectations kubwa kwa jeshi hili.

Yote kwa yote, jeshi huwa ni reflection ya jamii. Huwezi kuwa na jamii ya kijinga alafu ukawa na jeshi zuri, haohao manabii feki, matapeli, wezi, wavivu, wakwepa kodi, wazinzi na wachepukaji wasio waaminifu kwenye ndoa, wezi wa mali za kampuni binafsi na taasisi za serikali ndio jamii hiyohiyo inatoa wanajeshi.
Haiwezekani kuwe na tofauti na kwa vile kunakuwa hakuna rule of law kabisa kabisa bali amri na matakwa ya "'jopo, tume, kamati" ya ukombozi sijui uzalendo basi ndio mambo yanaharibika zaidi maana mifumo ya kuwajibisha na kuhoji haipo, ukiuliza unatungiwa kesi ya kudhoofidha jitihada za jopo/tume/kamati na Kangaroo court inatafuta ushahidi wa kubumba na jaji anaelekezwa hukumu gani itolewe.
Jerry Rawlings wa Ghana alikuwa tofauti na mzuri.
 
Kwa tafsiri yake Jeshi likichukua nchi haiwezi kuwa kama Traore

Ni kipindi cha mpito tu kwa ajili ya kufanya reforms kadhaa ili uongozi wa kidemokrasia uingie kupitia kura.

Na uzuri ni kwamba wale wahujumu nchi watakuwa washatiwa nguvuni na hapo nchi kwa namna moja au nyingine itakuwa salama.

Nasisitiza tena, tafsiri ya Captain mwenzangu mmeinukuu vibaya. Hajakusudia nchi kuwa chini ya jeshi kwa maana ya kutozingatia demokrasia bali ni kipindi tu cha mpito wakati tukisubiri marekebisho kadhaa ya kimfumo.

Halaaa Tesha..
Afrika imepata mapinduzi zaidi ya mara 100, tutajie coup moja pekee ambayo ilisema utawala wa kijeshi utadumu milele.

Ni mapinduzi gani hawakusema wataondoka waachie utawala wa kiraia, je wanaondoka? Je wana mabadiliko ya maana wamefanya nchini kwako tofauti na civilian governments?
 
Watu nadhani hata hatujajua tunataka nini ?
Characteristics of Military Regimes:
1. Centralized control and authoritarian rule
2. Use of excessive force
3. Suppression of civil liberties
4. Patronage and nepotism

Narudia tena kuuliza swali langu ambalo ni mara kwa mara nimekuwa nikiuliza (sababu on paper demokrasia is the best form of governance but what kind)?

 
Hatuwezi kumhukumu mtu kwa historia ya watu wengine.

Huwezi ukaanza tu kuitukana benk ambayo imesema tukuhifadhie pesa zako kisa kuna rekodi ya benki moja ndani ya nchi fulani iliwahi kutapeli watu.
Umeongea point ambayo haipo kwenye akiliyake
 
Afrika imepata mapinduzi zaidi ya mara 100, tutajie coup moja pekee ambayo ilisema utawala wa kijeshi utadumu milele.

Ni mapinduzi gani hawakusema wataondoka waachie utawala wa kiraia, je wanaondoka? Je wana mabadiliko ya maana wamefanya nchini kwako tofauti na civilian governments?
Shida unajua ni nini ile video umeiangalia mpaka mwisho ukajot down baadhi ya point za mjeda Captain Tesha au wewe hata ile lecture hujaifuatilia kabisa?
 
Watu nadhani hata hatujajua tunataka nini ?
Characteristics of Military Regimes:
1. Centralized control and authoritarian rule
2. Use of excessive force
3. Suppression of civil liberties
4. Patronage and nepotism

Narudia tena kuuliza swali langu ambalo ni mara kwa mara nimekuwa nikiuliza (sababu on paper demokrasia is the best form of governance but what kind)?

Haikuwa hivyo kwa Jerry Rawlings na Obasanjo.
 
Afrika inaongoza kwa tawala za kijeshi na inaongoza pia kwa tawala mbovu. Mfano mzuri ni Burkina Faso, 40% ya nchi inamilikiwa na waasi ila nchi imewahi fanya mapinduzi mara 9 kati ya hayo 6 yalifanikiwa na 3 yakashindwa.

Nigeria iliwahi ongozwa kijeshi mara nyingi baadae wakagundua bora utawala wa kiraia hata uwe mbovu namna gani utaondoka baada ya miaka 10 na una 2 terms mnaweza badili kwa mbinde hapo baada ya miaka 5.

Kwanza hamna Captain wa kufanya maamuzi pale, sasa Air force itumie zile J-7G nzee kuzuia vikosi tiifu? Anti air systems ziko na Army sio Air force.
Cheo chake kidogo sana kuchukua hatua, na kipo Air force ambayo kwetu ni neglected na ina watu wachache. Ndio maana katoa ushauri.

Jeshi lenyewe tumeliona kwenye ujenzi wa miundombinu, recruitments zinavyofanyika, usafi siku za maandamano na makamanda wake wengine tunawajua kina Shimbo et al. Ukiwa mtulivu huwezi kuwa na expectations kubwa kwa jeshi hili.

Yote kwa yote, jeshi huwa ni reflection ya jamii. Huwezi kuwa na jamii ya kijinga alafu ukawa na jeshi zuri, haohao manabii feki, matapeli, wezi, wavivu, wakwepa kodi, wazinzi na wachepukaji wasio waaminifu kwenye ndoa, wezi wa mali za kampuni binafsi na taasisi za serikali ndio jamii hiyohiyo inatoa wanajeshi.
Haiwezekani kuwe na tofauti na kwa vile kunakuwa hakuna rule of law kabisa kabisa bali amri na matakwa ya "'jopo, tume, kamati" ya ukombozi sijui uzalendo basi ndio mambo yanaharibika zaidi maana mifumo ya kuwajibisha na kuhoji haipo, ukiuliza unatungiwa kesi ya kudhoofidha jitihada za jopo/tume/kamati na Kangaroo court inatafuta ushahidi wa kubumba na jaji anaelekezwa hukumu gani itolewe.
In short itoshe kusema wewe ni matako ignored
 
Hiki nini umeuliza hapa mkuu kejeli au ni nini? Sijakuelewa unajua sisi tuna jeshi la nani la kuwalimda wanasiasa na kuwaacha wananchi huku likijiita na kujinasibu kua ni jeshi la wananchi? Hicho ndicho unachokimaanisha wewe

Wewe mseenge kweli kule juu umeandika kiswahili ulipofika kwenye ngoma ngumu umeanza kuandika kishoga ili iweje
?
😹😹😹 Aloo
Sikupanga kucheka ujue Mpetde..!! 🤣
 
Traore kaikomboa kweli Burkina au ni stori tu?

Maana kule Guinea, Mamady Doumbouya kashaonyesha kila dalili kwamba hatoki madarakani.

Hata Traore naye keshaanza kuonyesha his dalili.

Mwisho wa siku kuna uwezekano mkubwa sana wa wote hao kutoka madarakani kwa njia ile ile waliyotumia kuingia kwenye hayo madaraka.
Let’s wait and see. Kwa ujumla, hiyo option huwa sio nzuri sana. Ni kama nuclear option!
 
Nimeamka leo hii Jumamosi ya kwanza ya mwezi Oktoba, 2025 na kukutana na video ya aliyejitambulisha kama Kapteni Tesha, afisa kutoka jeshi la anga Tanzania [nasi tuna jeshi la anga?🤣].

View attachment 3483280

Inadaiwa kuwa ni kweli huyo jamaa ni mwanajeshi wa JWTZ, kwa hiyo pia, hata hiyo video yake ni ya kweli.

Jamaa kasema haridhishwi na yanayoendelea nchini na kwamba keshawaandikia barua wakubwa zake huko jeshini kuelezea lamentations zake.

Kwa kifupi, jamaa kasema anataka jeshi lichukue nchi haraka sana ili kuweza kuweka mambo sawa.

Najua hili wazo lina mvuto kwa baadhi ya watu, hususan humu mitandaoni.

I don’t think this is a good idea. Matter of fact, it’s a very bad one.

I have never supported military putschs and I’m not going to start now.

This is a very bad slippery slope, if there ever was a good one.

It is a crossing of the rubicon that we do not want in our country.

I want soldiers to be just that. They should have the people’s back and let civilians handle their affairs.

I will have more to say later as more information comes out.

But, as of right now, a putsch to me is a no-no.
Kwa tulikofikia, ni bora kiwake, hawa watu wamekuwa bold sana, wamefikia kiasi cha kumuua rais aliyechaguliwa kihalali.

Third law of motion lazima itumike hapa, the founding fathers wangekuwa na mtazamo wako, leo usinge kuwa hapo ulipo.
 
I want soldiers to be just that. They should have the people’s back and let civilians handle their affairs.
Which Civilians ? Kikwete, RA. We need to end this fckn hereditary successions...kila Siku ni mwinyi kikwete na wajukuu waje watutawale just to protect their Cake...ona sasa hivi familia ya Samia nayo ishaingiza wabunge wa familia 🗑️
 
Nimeamka leo hii Jumamosi ya kwanza ya mwezi Oktoba, 2025 na kukutana na video ya aliyejitambulisha kama Kapteni Tesha, afisa kutoka jeshi la anga Tanzania [nasi tuna jeshi la anga?🤣].

View attachment 3483280

Inadaiwa kuwa ni kweli huyo jamaa ni mwanajeshi wa JWTZ, kwa hiyo pia, hata hiyo video yake ni ya kweli.

Jamaa kasema haridhishwi na yanayoendelea nchini na kwamba keshawaandikia barua wakubwa zake huko jeshini kuelezea lamentations zake.

Kwa kifupi, jamaa kasema anataka jeshi lichukue nchi haraka sana ili kuweza kuweka mambo sawa.

Najua hili wazo lina mvuto kwa baadhi ya watu, hususan humu mitandaoni.

I don’t think this is a good idea. Matter of fact, it’s a very bad one.

I have never supported military putschs and I’m not going to start now.

This is a very bad slippery slope, if there ever was a good one.

It is a crossing of the rubicon that we do not want in our country.

I want soldiers to be just that. They should have the people’s back and let civilians handle their affairs.

I will have more to say later as more information comes out.

But, as of right now, a putsch to me is a no-no.
Kwahiyo mkuu hujui kuwa tuna Airforce Command kweli, that means hata kujua tuna komandi ngapi katika jeshi letu hujui. Yeah tunayo na huyo ni miongoni mwa maafisa wenye cheo cha CAPTAIN katika JWTZ.
 
Screenshot_20251004_154927_X.jpg
 
Nawewe ni mfaidika wa wanamtandao, bado hujafikia kwenye liwalo na liwe
 

Attachments

  • SnapInsta.to_AQNaMO8_MoPSyN-lQxPEnSyuFraViIi_sce4JH7fSfXYvzrq8UIpU4dH0ezdHapbvw0oQXgAxSSxJKZSf...mp4
    1.3 MB
Back
Top Bottom