Ukikaa kujiuliza mambo ya ccm utachanganyikiwa wewe kuliko wao, cheza na kingine lkn sio dish.Kwao kila anayewakosoa ni adui, huwa najiuliza hivi CCM nasikia kuna wasomi madokta na maprofesa, hivi hawa wote hawakuwahi kushiriki malumbano ya hoja kwenye debating clubs mashuleni hadi waamini katika matumizi ya nguvu kuwa suluhu ya kila kitu?
Upo wewe usisemee wenzioWazungu kuna kitu wanakitaka sna hii tanzania ambacho hawawezi kukipata kwa magu
Na sisi tupo pamoja na Rais
[emoji119][emoji119][emoji119]
Usisemee wenzioWatanzania wote tuna imani na Rais wetu ndio maana nimesema sisi
bibisi inatumika vibaya na wapinzani.
BBC kama naiona haina maisha marefu Tanzania. [emoji53] [emoji18]
Ila cha kuwakumbusha jamaa zetu, BBC sio kituo cha television binafsi (kama Chanel5, ITV, MilardAyo, Udaku T.V, Azam T.V, Clouds au TANZANITE ONLINE T.V ya Musiba) ni cha Malkia wa Uingereza. Sasa kama tutaona ni "muhimu na tunahitaji" kuingia katika bifu na Malkia Elizabeth;
1) Wakifungie kituo cha BBC ofisi zake Tanzania.[emoji18]
2) Wawakamate watangazaji wa BBC.[emoji18]
3) Watu wasiojulikana wavamie ofisi za BBC nchini Tanzania.[emoji53]
Tutaimba "sindimba" kwa lugha ya kichina au kidosi.
Nawasilisha,
Huyo ni Mbwa aliyepewa maagizo ya kubweka.Salim Kikeke siyo mzungu..
Kwenye neno 'imani' umejikuta umekosea spelling na wakati kwingine umeandika vyema. Jiulize kwanini?Tengua kauli yako sio watanzania wote mimi ni mtanzania ila sina imank nae, hata kama watz woteeeee watakuwa na imani nae mimi NEHI
ccm slave driver.View attachment 956070
"HAPA KAZI TU"
Utakuwa huwaelewi wazungu, labda wasiamueWazungu kuna kitu wanakitaka sna hii tanzania ambacho hawawezi kukipata kwa magu
Na sisi tupo pamoja na Rais
[emoji119][emoji119][emoji119]
sisi, yaani Watanzania tulio wengi zaidi.Sisi au wewe?
Huyo hajui tofauti ya Mzungu na MmatumbiSalim Kikeke siyo mzungu..
Thubutu yao!Hahahaha,
Ifungieni na muwakamte wamiliki wake muwafunguie kesi ya uchochezi kama ujinga wenu unavyowapeleka
Brain washWazungu kuna kitu wanakitaka sna hii tanzania ambacho hawawezi kukipata kwa magu
Na sisi tupo pamoja na Rais
[emoji119][emoji119][emoji119]
Inaonesha BBC wanapata habari za kizushi kutoka JFBBC kama naiona haina maisha marefu Tanzania. [emoji53] [emoji18]
Ila cha kuwakumbusha jamaa zetu, BBC sio kituo cha television binafsi (kama Chanel5, ITV, MilardAyo, Udaku T.V, Azam T.V, Clouds au TANZANITE ONLINE T.V ya Musiba) ni cha Malkia wa Uingereza. Sasa kama tutaona ni "muhimu na tunahitaji" kuingia katika bifu na Malkia Elizabeth;
1) Wakifungie kituo cha BBC ofisi zake Tanzania.[emoji18]
2) Wawakamate watangazaji wa BBC.[emoji18]
3) Watu wasiojulikana wavamie ofisi za BBC nchini Tanzania.[emoji53]
Tutaimba "sindimba" kwa lugha ya kichina au kidosi.
Nawasilisha,
Acha woga wewe ! Malkia ana mamlaka gani ya kuiamulia Tanzania zaidi ya kuwa mkoloni wa zamani ? Tutatawaliwa na kasumba za kikoloni mpaka karne ya ngapi ? Rais huyu anang'oa mizizi ya utegemezi in the long run ndio maana hao kina BBC want to thwart the efforts and momentum !BBC kama naiona haina maisha marefu Tanzania. [emoji53] [emoji18]
Ila cha kuwakumbusha jamaa zetu, BBC sio kituo cha television binafsi (kama Chanel5, ITV, MilardAyo, Udaku T.V, Azam T.V, Clouds au TANZANITE ONLINE T.V ya Musiba) ni cha Malkia wa Uingereza. Sasa kama tutaona ni "muhimu na tunahitaji" kuingia katika bifu na Malkia Elizabeth;
1) Wakifungie kituo cha BBC ofisi zake Tanzania.[emoji18]
2) Wawakamate watangazaji wa BBC.[emoji18]
3) Watu wasiojulikana wavamie ofisi za BBC nchini Tanzania.[emoji53]
Tutaimba "sindimba" kwa lugha ya kichina au kidosi.
Nawasilisha,
BBC kama naiona haina maisha marefu Tanzania. [emoji53] [emoji18]
Ila cha kuwakumbusha jamaa zetu, BBC sio kituo cha television binafsi (kama Chanel5, ITV, MilardAyo, Udaku T.V, Azam T.V, Clouds au TANZANITE ONLINE T.V ya Musiba) ni cha Malkia wa Uingereza. Sasa kama tutaona ni "muhimu na tunahitaji" kuingia katika bifu na Malkia Elizabeth;
1) Wakifungie kituo cha BBC ofisi zake Tanzania.[emoji18]
2) Wawakamate watangazaji wa BBC.[emoji18]
3) Watu wasiojulikana wavamie ofisi za BBC nchini Tanzania.[emoji53]
Tutaimba "sindimba" kwa lugha ya kichina au kidosi.
Nawasilisha,
Watanzania wote tuna imani na Rais wetu ndio maana nimesema sisi
Usitumee sote sema wewe na familia yako ndio mko naye kwa wengine hatufaiWazungu kuna kitu wanakitaka sna hii tanzania ambacho hawawezi kukipata kwa magu
Na sisi tupo pamoja na Rais
[emoji119][emoji119][emoji119]