BBC: Mgogoro mkubwa wazuka CCM, yapasuka

BBC: Mgogoro mkubwa wazuka CCM, yapasuka

Kuna jitu linaitwa Musiba.Wasipolidhibiti siku litamnyea Kikwete na Mkapa.

Leo linasema Unguja kuna WAZANZIBARI na WAZANZIBARA.Wanzazibara ni makabila mchanganyiko kutoka bara walioamua kusettle visiwani.Amesema Zanzibar haiwezi kuwa taifa huru.Watu wavisiwani kazi tunayo aisee.
 
  • Thanks
Reactions: KGM
BBC kama naiona haina maisha marefu Tanzania. [emoji53] [emoji18]

Ila cha kuwakumbusha jamaa zetu, BBC sio kituo cha television binafsi (kama Chanel5, ITV, MilardAyo, Udaku T.V, Azam T.V, Clouds au TANZANITE ONLINE T.V ya Musiba) ni cha Malkia wa Uingereza. Sasa kama tutaona ni "muhimu na tunahitaji" kuingia katika bifu na Malkia Elizabeth;

1) Wakifungie kituo cha BBC ofisi zake Tanzania.[emoji18]

2) Wawakamate watangazaji wa BBC.[emoji18]

3) Watu wasiojulikana wavamie ofisi za BBC nchini Tanzania.[emoji53]

Tutaimba "sindimba" kwa lugha ya kichina au kidosi.

Nawasilisha,
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji120][emoji106]
 
Aisee..yamefika huku...safi kweli.

Mungu atatusimamia tu.

Nchi ni yetu sote. Mwisho wa ubaya ni aibu.
 
Indeed
Wadhungu fyeeekelea mbali
BAVICHA fyeeekelea mbali
Membe fyeeekelea mbali
Chadrama mcharuko mizee ya matukio fyeeekelea mbali
Usisahau na umatonya wako fyekeleeeeeeea mbali kureeeeeee
 
naomba kikeke ajilete mwnyewe kesho saa 3 asubuhi ofisini Lumumba, atanikuta ofisini kwangu nyuma ya Dr. Bashiru5[emoji35] [emoji35] [emoji35] [emoji35] [emoji35] [emoji35] [emoji35]
 
BBC kama naiona haina maisha marefu Tanzania. [emoji53] [emoji18]

Ila cha kuwakumbusha jamaa zetu, BBC sio kituo cha television binafsi (kama Chanel5, ITV, MilardAyo, Udaku T.V, Azam T.V, Clouds au TANZANITE ONLINE T.V ya Musiba) ni cha Malkia wa Uingereza. Sasa kama tutaona ni "muhimu na tunahitaji" kuingia katika bifu na Malkia Elizabeth;

1) Wakifungie kituo cha BBC ofisi zake Tanzania.[emoji18]

2) Wawakamate watangazaji wa BBC.[emoji18]

3) Watu wasiojulikana wavamie ofisi za BBC nchini Tanzania.[emoji53]

Tutaimba "sindimba" kwa lugha ya kichina au kidosi.

Nawasilisha,
Kwa Mfano Ofisi za BBC zikiwa kwenye Ubalozi wa Uingereza wanaweza vamia?
 
Pombe mwisho bar hapa ni MEMBE tu
Adobe_Post_20181202_225653.jpeg
 
Duh hivi watanzania wenzangu hamkumbuku zile kelele za 2015 tulizopiga tukiamini CCM anakufa...vipi leo kiko wapi

Amini usiamini hii ndo style yetu ya maisha katika siasa miaka nenda rudi...ila hongereni tumepata mada ya kusukuma wiki iende,mana ikiisha mada hii tunabandika ile,then uchaguzi ukiisha utasikia "tumeibiwa kura" sasa mpaka lini utalalamika bila kufanya maamuzi magumu yaliyo katika uhalisia na kuacha ujinga wa kudandia matukio flani kuwa ndo ajenda yetu

Duh ila fresh tu...japo roho inauma
 
Kituo cha mabeberu hicho.Sasa kama kuna gangwe anajimudu awachokoze.Atakula pembe la utosi mpaka aimbe haleluya.
 
Prophet of doom

Toka mwaka 2015 tunaambiwa CCM imepasuka lakini ukichunguza unagundua kuwa CCM imeimarika. Ikumbukwe kabla ya 2016 ilikuwa unazomewa mitaani ukivaa nguo za CCM lakini kwa sasa zimekuwa kama fashion.
Kweli naunga mkono Upumbavu wako,Kuwa ukoo wenu wote wote wamefika chuo kikuu

Watu kama wewe pengine wazazi wako wanatembea peku na nguo za viraka huko kijijini
 
Kwani uongo?
Hali tete au haupo tanzania?
Wazungu kuna kitu wanakitaka sna hii tanzania ambacho hawawezi kukipata kwa magu
Na sisi tupo pamoja na Rais
[emoji119][emoji119][emoji119]
 
Back
Top Bottom