Hidden Diamond
Member
- Jan 31, 2024
- 42
- 119
Japokuwa wote ni wachezaji wa Yanga na wote wanafanya kazi nzuri katika klabu yao ila wewe kama shabiki wa Yanga unaona nani asipokuwa uwanjani timu ina struggle sana kupata matokeo.
Karibuni kwa mawazo wana JF.
Karibuni kwa mawazo wana JF.