Yanga robo fainali klabu bingwa: Pacome Zouzoua mtambo wa kuzalisha mabao, hana baya

Mwande na Mndewa

JF-Expert Member
Feb 26, 2021
949
2,865
Ushindi wa magoli 4-0 wa Yanga dhidi ya CR Belouizdad umechangiwa kwa ukubwa na Pacome Zouzoua aliyeonyesha performance nzuri sana yenye spirit ya hali ya juu sana katika siku yake ya "Pacome Day" ilikuwa ni shoo ya Pacome Zouzoua aliyeonyesha kiwango kikubwa kwenye mchezo huo akiwapa raha mashabiki huku akipiga chenga mabeki watatu hadi kipa na kutoa assist ya bao.

Yanga imetinga hatua ya robo fainali klabu bingwa barani Afrika huku bado wakiwa na mchezo mmoja ambao sasa utakuwa wa burudani tu kwa mashabiki,niseme tu Yanga imetinga robo fainali bila bwana majini Mayele,No top scorer Mayele,no MVP Bangala,No top defender Djuma,No best Midfielder Feisal,No best Winger Morrison,No Profesa Nabi,and No Problems,hizi ni Salaam kwa bwana Majini Mayele.

Yanga ndio timu ya kwanza kuifunga timu ya waarabu mabao mengi 4-0 ikiwa pia ndio timu pekee iliyofunga magoli mengi kwe hatua ya makundi,kipigo hicho cha aibu kilimuacha kocha wa Cr Belouizdad akilia na al manusula ampige mchezaji wake na kopo la juice baada ya mchezaji huyo kumlaumu kocha huyo kwa kumuacha benchi huku timu yake ikifungwa 4-0

Shukrani nyingi kwa "attack minded midfielder" Pacome Zouzoua ambaye harakati zake za hatari kwa mpinzani ziliwachanganya Cr Belouizdad na kutepeta, shukrani kwa wafungaji Mudathir Yahya,Aziz Ki, Kennedy Musonda na Joseph Guede,Salamu hizi ziende kwa Al Ally tunapokwenda kwao kuwapiga hamsa,tano,v.Pacome hana baya,hata akikosea hasilaumiwe,Pacome halaumiwi,akilaumiwa basi kwa vii pasi za magoli ya kuudhi sana.

@#PacomeDayImefana
 
Ushindi wa magoli 4-0 wa Yanga dhidi ya CR Belouizdad umechangiwa kwa ukubwa na Pacome Zouzoua aliyeonyesha performance nzuri sana yenye spirit ya hali ya juu sana katika siku yake ya "Pacome Day" ilikuwa ni shoo ya Pacome Zouzoua aliyeonyesha kiwango kikubwa kwenye mchezo huo akiwapa raha mashabiki huku akipiga chenga mabeki watatu hadi kipa na kutoa assist ya bao.

Yanga imetinga hatua ya robo fainali klabu bingwa barani Afrika huku bado wakiwa na mchezo mmoja ambao sasa utakuwa wa burudani tu kwa mashabiki,niseme tu Yanga imetinga robo fainali bila bwana majini Mayele,No top scorer Mayele,no MVP Bangala,No top defender Djuma,No best Midfielder Feisal,No best Winger Morrison,No Profesa Nabi,and No Problems,hizi ni Salaam kwa bwana Majini Mayele.

Yanga ndio timu ya kwanza kuifunga timu ya waarabu mabao mengi 4-0 ikiwa pia ndio timu pekee iliyofunga magoli mengi kwe hatua ya makundi,kipigo hicho cha aibu kilimuacha kocha wa Cr Belouizdad akilia na al manusula ampige mchezaji wake na kopo la juice baada ya mchezaji huyo kumlaumu kocha huyo kwa kumuacha benchi huku timu yake ikifungwa 4-0

Shukrani nyingi kwa "attack minded midfielder" Pacome Zouzoua ambaye harakati zake za hatari kwa mpinzani ziliwachanganya Cr Belouizdad na kutepeta, shukrani kwa wafungaji Mudathir Yahya,Aziz Ki, Kennedy Musonda na Joseph Guede,Salamu hizi ziende kwa Al Ally tunapokwenda kwao kuwapiga hamsa,tano,v.Pacome hana baya,hata akikosea hasilaumiwe,Pacome halaumiwi,akilaumiwa basi kwa vii pasi za magoli ya kuudhi sana.

@#PacomeDayImefana
Bora wametinga Robo fainal Yanga ina Miaka 89 imetinga Robo Fainal uzeeni ni AIBU KUBWA
 
Ushindi wa magoli 4-0 wa Yanga dhidi ya CR Belouizdad umechangiwa kwa ukubwa na Pacome Zouzoua aliyeonyesha performance nzuri sana yenye spirit ya hali ya juu sana katika siku yake ya "Pacome Day" ilikuwa ni shoo ya Pacome Zouzoua aliyeonyesha kiwango kikubwa kwenye mchezo huo akiwapa raha mashabiki huku akipiga chenga mabeki watatu hadi kipa na kutoa assist ya bao.

Yanga imetinga hatua ya robo fainali klabu bingwa barani Afrika huku bado wakiwa na mchezo mmoja ambao sasa utakuwa wa burudani tu kwa mashabiki,niseme tu Yanga imetinga robo fainali bila bwana majini Mayele,No top scorer Mayele,no MVP Bangala,No top defender Djuma,No best Midfielder Feisal,No best Winger Morrison,No Profesa Nabi,and No Problems,hizi ni Salaam kwa bwana Majini Mayele.

Yanga ndio timu ya kwanza kuifunga timu ya waarabu mabao mengi 4-0 ikiwa pia ndio timu pekee iliyofunga magoli mengi kwe hatua ya makundi,kipigo hicho cha aibu kilimuacha kocha wa Cr Belouizdad akilia na al manusula ampige mchezaji wake na kopo la juice baada ya mchezaji huyo kumlaumu kocha huyo kwa kumuacha benchi huku timu yake ikifungwa 4-0

Shukrani nyingi kwa "attack minded midfielder" Pacome Zouzoua ambaye harakati zake za hatari kwa mpinzani ziliwachanganya Cr Belouizdad na kutepeta, shukrani kwa wafungaji Mudathir Yahya,Aziz Ki, Kennedy Musonda na Joseph Guede,Salamu hizi ziende kwa Al Ally tunapokwenda kwao kuwapiga hamsa,tano,v.Pacome hana baya,hata akikosea hasilaumiwe,Pacome halaumiwi,akilaumiwa basi kwa vii pasi za magoli ya kuudhi sana.

@#PacomeDayImefana
Mbona kama ni unoko unoko tu
 
Viongozi wa Yanga wameyapata haya mafanikio siyo kwa bahati mbaya. Wako serious ktk kusajili wachezaji na hata uwekezaji wao hauna mizengwe.

Upande wa pili (Simba SC) wana la kujifunza, maana wao kuanzia uwekezaji mpk usajili umejaa janja janja tu. Derby ya Kariakoo inayofuata Simba watapigwa 10
 
Ndomana leo kila kona kuanzia saa 12 asubuhi mpaka sahv watu wanabishana kuhusu mpira

Ova
 
Ushindi wa magoli 4-0 wa Yanga dhidi ya CR Belouizdad umechangiwa kwa ukubwa na Pacome Zouzoua aliyeonyesha performance nzuri sana yenye spirit ya hali ya juu sana katika siku yake ya "Pacome Day" ilikuwa ni shoo ya Pacome Zouzoua aliyeonyesha kiwango kikubwa kwenye mchezo huo akiwapa raha mashabiki huku akipiga chenga mabeki watatu hadi kipa na kutoa assist ya bao.

Yanga imetinga hatua ya robo fainali klabu bingwa barani Afrika huku bado wakiwa na mchezo mmoja ambao sasa utakuwa wa burudani tu kwa mashabiki,niseme tu Yanga imetinga robo fainali bila bwana majini Mayele,No top scorer Mayele,no MVP Bangala,No top defender Djuma,No best Midfielder Feisal,No best Winger Morrison,No Profesa Nabi,and No Problems,hizi ni Salaam kwa bwana Majini Mayele.

Yanga ndio timu ya kwanza kuifunga timu ya waarabu mabao mengi 4-0 ikiwa pia ndio timu pekee iliyofunga magoli mengi kwe hatua ya makundi,kipigo hicho cha aibu kilimuacha kocha wa Cr Belouizdad akilia na al manusula ampige mchezaji wake na kopo la juice baada ya mchezaji huyo kumlaumu kocha huyo kwa kumuacha benchi huku timu yake ikifungwa 4-0

Shukrani nyingi kwa "attack minded midfielder" Pacome Zouzoua ambaye harakati zake za hatari kwa mpinzani ziliwachanganya Cr Belouizdad na kutepeta, shukrani kwa wafungaji Mudathir Yahya,Aziz Ki, Kennedy Musonda na Joseph Guede,Salamu hizi ziende kwa Al Ally tunapokwenda kwao kuwapiga hamsa,tano,v.Pacome hana baya,hata akikosea hasilaumiwe,Pacome halaumiwi,akilaumiwa basi kwa vii pasi za magoli ya kuudhi sana.

@#PacomeDayImefana
Dhambi zote za pacome apewe kispika ahmed aly
 
Viongozi wa Yanga wameyapata haya mafanikio siyo kwa bahati mbaya. Wako serious ktk kusajili wachezaji na hata uwekezaji wao hauna mizengwe.

Upande wa pili (Simba SC) wana la kujifunza, maana wao kuanzia uwekezaji mpk usajili umejaa janja janja tu. Derby ya Kariakoo inayofuata Simba watapigwa 10
Jana ilikuwaje? Sikufiatilia mechi ya Simba vs assec
 
Jana ilikuwaje? Sikufiatilia mechi ya Simba vs assec
Hali ilikuwa tete, wachezaji wanacheza huku miguu yao ikitetemeka utadhani wanaumwa korona ama tete kuwanga.

Kuna mchezaji wao mmoja anaitwa Kanoute alibakia yeye na goli tu, huku golikipa na madifenda wakiwa wamepoteana lkn akashindwa kuweka mpira kwenye nyavu.

Alikuwa na kitete kama chote.
 
Hali ilikuwa tete, wachezaji wanacheza huku miguu yao ikitetemeka utadhani wanaumwa korona ama tete kuwanga.

Kuna mchezaji wao mmoja anaitwa Kanoute alibakia yeye na goli tu, huku golikipa na madifenda wakiwa wamepoteana lkn akashindwa kuweka mpira kwenye nyavu.

Alikuwa na kitete kama chote.
Hahahahaha. ..........kumbe ndo maana siwasikii mtaani
 
Hahahahaha. ..........kumbe ndo maana siwasikii mtaani
Inasemekana walikuwa wanafuatilia mechi ya Yanga na CRB huko huko walikoenda. Baada ya kuona kiwango bora cha wchezaji wa Yanga kocha na wachezaji wote wa kigeni wamegoma kurejea. Wamevunja mikataba yao huko huko.
 
Siasa ipo kwambaliii maana Yanga toka mwanzo ni ya wazalendo waliolenga ukombozi wa Tz na timba sorry simba tokamwanzo ni ya waarabu Wasaliti na kwasasa ni yawahindi 😭😭😭
Hapo mkuu umenikumbuka mbali sana, enzi bado shule Kuna kimchuchu kilikua kinanizimia kumbe, sasa kakanza swaga hizo, kanatuma sms utaskia....... Honey, sorry friend..... Nikawa nashangaa sasa huyu kashindwa kufuta au😃😃

Utoto raha sana
 
Inasemekana walikuwa wanafuatilia mechi ya Yanga na CRB huko huko walikoenda. Baada ya kuona kiwango bora cha wchezaji wa Yanga kocha na wachezaji wote wa kigeni wamegoma kurejea. Wamevunja mikataba yao huko huko.
Kuna popoma linaitwa GENTAMYCINE jana kabla ya mechi lilikuwa busy kuleta nyuzi za kubeza strickers wa Afrika; Yanga. Baadaye kimyaaaa, karudisha mkia matakoni😡😡. Shenzi.
 
Back
Top Bottom