Qualitycontrol
JF-Expert Member
- Mar 10, 2023
- 777
- 493
Hapo unakuta viwanda 10 ni viwanda vya samaki ,1 ni viwanda vingineMwanza yaichapa arusha uwekezaji viwanda View attachment 2701701
Hapo unakuta viwanda 10 ni viwanda vya samaki ,1 ni viwanda vingineMwanza yaichapa arusha uwekezaji viwanda View attachment 2701701
Dodoma ni kama prince 🤴 hata kama bado hajakua ila tutake tusitake iko siku atakua mfalme tu arusha itabaki na ladha yake ya kipekee ya utalii, mwanza itaendeleq kuwa jiji la pili kwa watu wengi na dar itaendelea kuwa mji mkuu wa kibiashara ila dodoma ndio makao makuu yetu rasmi kwa sasa imagine sehemu anaishi raisi bado balozi zote hazijaamia huko tukiacha ubishi wa kishamba nunueni ardhi dodoma mapema msije jutia😀Mbeya is my second home,Arusha my favorite home,Dom ndio Tanzania baada ya Dar
Marekani Washington DC ndio mjii mkuu ,kwanini na kuwa na ikulu kote huko lakin Bado haijafua dafu kwa California,New York,Chicago,Texas na ATLDodoma ni kama prince hata kama bado hajakua ila tutake tusitake iko siku atakua mfalme tu arusha itabaki na ladha yake ya kipekee ya utalii, mwanza itaendeleq kuwa jiji la pili kwa watu wengi na dar itaendelea kuwa mji mkuu wa kibiashara ila dodoma ndio makao makuu yetu rasmi kwa sasa imagine sehemu anaishi raisi bado balozi zote hazijaamia huko tukiacha ubishi wa kishamba nunueni ardhi dodoma mapema msije jutia
Inamana Mwanza Ina main road moja nayo ni uchochoro?
Usifananishe Washington DC na Dom.Marekani Washington DC ndio mjii mkuu ,kwanini na kuwa na ikulu kote huko lakin Bado haijafua dafu kwa California,New York,Chicago,Texas na ATL
Au Abuja japo na kuwa Makaoo makuu ya Nigeria kwanin haijafua dafu kwa Lagos,Ibadan,Kano na Pork Harcourt
Kwamba unataka kusema Washington DC na Abuja hakuna viwanda?!Usifananishe Washington DC na Dom.
Ukiacha Dol kuwa Mji Mkuu pia ni commercial and industrial City
Kwa hiyo upende au usipende Dom imewanyea mnachoizidi kama nyie wa Arusha ni Mapori tuu hapo mjini
DC hakuna,Abuja huenda vipo ila usifananishe location ya Dom na Abuja au DC Kwa sababu Dom ni junction cityKwamba unataka kusema Washington DC na Abuja hakuna viwanda?!
Kumbe hata hujui kuwa Abuja ipo kati kati mwa nchi ya Nigeria?! ,nikufahamishe tu ya kwamba Mkakati wa kuifanya Abuja kuwa mji mkuu ilitokana na dodomaDC hakuna,Abuja huenda vipo ila usifananishe location ya Dom na Abuja au DC Kwa sababu Dom ni junction city
eeh naskia TBA wanataka kuporomosha chuma kingine ArushaTBA KUIPENDEZESHA ARUSHA ZAIDI
View attachment 2702778
Dodoma haifanywi Bali ilikuwepo Toka ukoloni ila Abuja ndio imefanywa hivyo.Kumbe hata hujui kuwa Abuja ipo kati kati mwa nchi ya Nigeria?! ,nikufahamishe tu ya kwamba Mkakati wa kuifanya Abuja kuwa mji mkuu ilitokana na dodoma
Umeelewa nilichokuambia lakiniDodoma haifanywi Bali ilikuwepo Toka ukoloni ila Abuja ndio imefanywa hivyo.
Hii haina Comeback 😆
Acheni mabishano ya kishamba 😃😃 mi napakubali dom na arusha pia napakubali hii thread ilikua ni ya mwanza vs ar ...ila kiusema ukweli maza asingeshika nchi arusha ndio tulikua tumeipoteza ivo😀😀 miji yote itakua poa tu kama capetown na durban au Washington na Chicago though dodoma currently inapotential kubwa ziadi na ikumbukwe bado ofisi zote hazijaamia rasmi ujenzi unaondelea unaleta multiplier effect kwenye uchumi wa mtu mmoja mmoja dodoma bila kusahau namna bora zaidi mji ulivyopangiliwa ila tusidharau population ya arusha ya watu zaidi ya 600000 kwenye sqkm 200 tu dodoma ina watu 700000 kwenye sqkm2000 kama serikali watakua serious kwenye azma yao ya kuleta watalii 5 million kwa mwaka na tunavyojua zaidi ya asilimia 80 ya watalii wote nchini wanapitia arusha basi naiona arusha ikitupromise future nzuri ila bado kwa miudombinu naiona ikiachwa na dodoma labda sera ibadilike ya mkoa husika kutumia makusanyo yake kujijenga yenyewe bila kupeleka serikali kuu ikumbukwe arusha ni ya pili kwa makusanyo nyuma ya dar na kama makusanyo yake yangetumika kuijenga arusha only basi ingekua ulaya iliyoko huku kwetu... ila wanaarusha mshukuru serikali hii 😄 japo kidogo kwa namna inavyoupa kipaumbele mkoa wenu mikutano imerudi arusha kwa spidi ya ajabu plan ya kujenga mkicc na uwanja mpya wa michezo kuhost afcon kidogo inatia matumaini kwamba hamjasahaulika kabisa otherwise mngepotea kabisa nadhani tusubiri ofisi zote zihamie dodoma na ujenzi ukamilike tuone what dodoma has to offer usUsifananishe Washington DC na Dom.
Ukiacha Dol kuwa Mji Mkuu pia ni commercial and industrial City
Kwa hiyo upende au usipende Dom imewanyea mnachoizidi kama nyie wa Arusha ni Mapori tuu hapo mjini 😂😂