Kitombile
JF-Expert Member
- Mar 21, 2021
- 6,658
- 7,288
Maua yanaenda kenya, wakenya wanauza na kupata faida maradufu huko ulaya. Hayo maua yanasaidia nini uchumi wa Tanzania, wakati Tanzania haijulikani kama ina export maua.Arusha wanauza maua nje ya nchi