Battle: Kati ya Mbeya, Dodoma, Arusha, Tanga na Iringa

Sol de Mayo

JF-Expert Member
Sep 10, 2016
6,347
5,950
Habari za mchana huu wapendwa, hope mko wazima na wenye afya tele., wagonjwa na wafiwa poleni sana, Mungu awape wepesi!!

Mada husika👇🏾

Wengi wetu tunatambua majiji makubwa in Tanzania ni mawili tu (Only two cities) 👉🏽 (Dar es salaam and Mwanza)


Swali!👇🏾
Kati ya Miji hii ifuatayo, ni mji upi unafuata baada ya (Mwanza and Dar)??

1.Mbeya
2.Dodoma
3.Arusha
4.Tanga
5.ringa


Nikisema mji upi maana yake ni (Kila kitu kilichomo katika mji husika) kwanzia ukubwa wa mji, kibiashara n.k!

Hapo kwa Iringa japo haijapewa hadhi ya kuitwa jiji, but nimeonelea naye nimpachike hapo kutokana na mji ulivyo, na hata mnaoishi mkoa huo, na mliowahi kufika huko mnajua na mtatuambia katika huu mjadala namna mji ulivyoendelea.

(1.Dar es salaam 2.Mwanza) These are another level, acha tuwaweke pending.

Matusi, dharau, kejeli n.k Hapana, anae ona mada hii inamkwaza apishe wengine.

Karibuni sana!

Kitombile
Mapank n.k
Covax
 
kwanza point of correction acha uelewe Mwanza haifikii Arusha. we Arusha umefika au unajiandikia tu tu. Mwnza ji wa kishamba sana. Tembelea kwanza miji yote na uishi kwa muda siyo unajiandika tu. Mi miji uliyoitaja yote nimeishi.
Arusha yote inafaa kugeuzwa mapori ya akiba wazungu waje washangae ngedere na wamasai, baada ya kumalizana na loliondo tutahamia arusha, Arusha haifai hata kulinganisha na Iringa.
 
kwanza point of correction acha uelewe Mwanza haifikii Arusha. we Arusha umefika au unajiandikia tu tu. Mwnza ji wa kishamba sana. Tembelea kwanza miji yote na uishi kwa muda siyo unajiandika tu. Mi miji uliyoitaja yote nimeishi.
TRA Arusha wanakusanya 250 bilioni kwa mwaka wakati Mwanza wanakusanya Bilioni 150 kwa mwaka tuanzie hapo!

Mwanza acheni ubishi
 
kwanza point of correction acha uelewe Mwanza haifikii Arusha. we Arusha umefika au unajiandikia tu tu. Mwnza ji wa kishamba sana. Tembelea kwanza miji yote na uishi kwa muda siyo unajiandika tu. Mi miji uliyoitaja yote nimeishi.

Ahaa wakishamba sio 😁 endelea kukariri, ushauri wangu, tena wa bure hauhitaji ulipie, tembea uone na sio kukaakaa tuu huko cjui sombetini, kwa mromboo n.k, nenda ukafungue akili, ukitoka mwanza nenda mbeya kisha urudie dar kwa wazee wa pwani na sio uchagani!
 
Unaelewa uchumi wewe au unaleta porojo kufurahisha genge, mapato ya TRA ndio yanadetermine uchumi wa sehemu husika, hivi huwa mnaenda shule kuimba mashairi na kucheza ngonjera?
Wala usiwe na hofu .. mwambie akupe current data ....
 
Back
Top Bottom