Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

uwanja wa ndege wa "ukundu" wapata mnara. [emoji16][emoji16][emoji16][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116]
View attachment 998283

halafu tulipokuwa tunajadili kuhusu viwanja vya ndege walikuwa hawaishi vijembe vya kudharau viwanja vyetu.

Ukitaka kujua sisi sio Level yao kwenye Masuala ya Viwanja vya Ndege,
Angalia hii picha nimeipiga jana pale JKIA,
Kuna direct flights to Z’bar, KIA na JNIA,
Na soon tutakuwa na flights za Nairobi- Mwanza,
Imagine Viwanja, yaani kuna direct flights to Dar, Kilimanjaro na Z’bar, wakati Kenya ni Nairobi pekee, hakuna international flights huko sijui kisum au Mombasa,
 
Please note the difference between international departures and local departures, huo ndio ujumbe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…