Pamba imeingia msimu huu au huna taarifa?Still mnalalamika! Timu gani ya Mwanza ipo ligi kuu? Airport Sukumagang wenzenu wamekula hela!
ππππ¨ Hongera sana Kundustan Kwa kuonesha njia ππ
Hawa wenzetu wasikudanganye Kuna la kuvutia huku kwetu ni balaa chungu nzimaMwamba nikajua ulishaaga humu kama Jaywatt
Naona Tayari Mwenge - Tegeta SDLQ wamepewa kaziHio ya Tegeta-Mwenge ina mkandarasi wake. Kutoka Maktaba-Mwenge-Ubungo nayo mkandarasi mwingine
Bahati nzuri mimi huwa sijadiliani na Tutusa.ππππ¨ Hongera sana Kundustan Kwa kuonesha njia ππ
View: https://twitter.com/zoomafrika1/status/1786338609877991764?t=7vI62YX-T_z4Mi50ShpPZQ&s=19
Soon Tanzania itafuta nyayo Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030 | East Africa Television
This isn't flood you fool.Foreigners and foreign media in Bongo are sharing the news. NASA is also sharing.
Destructive Floods Afflict Tanzania
Exacerbated by El NiΓ±o, heavy rains in spring 2024 caused severe flooding in Tanzaniaβs Rufiji district, among other areas in eastern Africa.earthobservatory.nasa.gov
View: https://www.youtube.com/watch?v=cZDY0OLRc5A
ππππ¨ Nimepiga utosini ππBahati nzuri mimi huwa sijadiliani na Tutusa.
Laggardsππππ¨ Hongera sana Kundustan Kwa kuonesha njia ππ
View: https://twitter.com/zoomafrika1/status/1786338609877991764?t=7vI62YX-T_z4Mi50ShpPZQ&s=19
Soon Tanzania itafuta nyayo Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030 | East Africa Television
What is it twitter genius?This isn't flood you fool.
Hoja hapa sio kuwa mojor General naona hamuelewi.Hoja ni kuwa kamanda wa vikosi vya anga,Ardhi au navy kama huyo Mkunya.
Mwanza mbona inakumbukwa saaana daraja la magufuli ,meli kuubwa,sgr n.kUnataka kunambia wanataka kujenga uwanja Dodoma halafu Mwanza wanaisahau kweli?? Hili kwa watu wa Kanda ya ziwa ambao ndio wengi kuliko Kanda yoyote ile hatulikubali kabisa
Ya kwenda Tegeta hiyo mkuu.Nimepita Maeneo ya Lugalo kuna Kampuni ya SDLQ imeweka mawe kwaajili ya ujenzi wa BRT. SIjajua kama hiyo ndio Phase ya kwenda Tegeta au ile ya Kwenda Kawe kuzunguka kuja Mwai Kibaki Road.
Mwenye taarifa kamili please