Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Viongozi wa Kenya hawana time na likenya lenyewe yenyewe yanapiga pesa tu hata Kenya ikiangaka mbelembele
Hahaha imagine hilo ni daraja na tayari nyufa kila mahali, hii ingekua ni bongo ingeenda viral lakini hata aliekua anarecord hii video hajaongea chochote kuhusu haya manyufa wala viewers wake, ndio ujue namna wakenya wamezoea uozo

 
Dah hii sio cartoon πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ Mbona kama realities za Marais wao 🀣

 
It's called exposing your shit country you dumbass!!
its called freedom of media moron. everybody in Kenya has a right to say exactly whats going inside the country not like Danganyika where you get cherry picked news glorifying CCM hahahah!! loads of bullshit from CCM

So in Tanzania nothing bad happens? no accidents, revolts, unsatisfaction from govt, no homeless, no slums etc.. from 65 million people?? come on hiyo ni uongo buana. Yet Tanzania is one of the poorest nations on earth. Huoni media yenu kuna shida mahali?
Even USA crazy citizens shoot innocent people daily, homelessness is prevelant and peope lack meals due to economy and they publish it everywhere on media and through that necessary measures are taken to avoid a repeat of the scenario and hence improvement in service delivery to citizens by the goverment dumbass. Sasa CCM ni kukanyangia kila kitu kama North Korea alafu unakuja kuambia wakenya kuhusu uongozi hapa Jamii forums. STUPID
 
Povu jingii linakutoka for nothing! Wewe mwenyewe unjiexpose! Pathetic!!

Hivo vitu vibaya kuhusu Tanzania kwa nini huvuweki humu tuone? Kwani hizo news online hakuna?? Na wewe si uweke!!

Kama Tanzania kuna watu wanakufa njaa si uweke, kama kuna bandits humiliating the army si uweke, kama kuna hali ngumu ya maisha ya mtu moja mmoja si uweke. Kwani umekatazwa! Kama kuna lawlessness pia si iweke!

STUPID!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…