Hayo ni madai ya wenzako. Aliyepost hayo madai ya Kikwete ni Sama boy 255Wacha maneno matupu , kikwete pamoja na kujenga kwakwe kote alishia km5000 plus ndani ya miaka kumi, ivi unazijua km10000 ww
Siyo jakaya ni magufuli kabla ya kuwa raisi alifanya kazi kubwa sana kwenye ujenzi wa barabara ,wakati huo jakaya yupo mjengoni anadinyana na kina sa100Kama nyinyi mnaweza mbona sisi tusiweze? Naskia Jakaya aliweza kujenga 10k in 10 years mbona Uhuru ashindwe?
Uhuru kaweza Pandora box tuKama nyinyi mnaweza mbona sisi tusiweze? Naskia Jakaya aliweza kujenga 10k in 10 years mbona Uhuru ashindwe?
Kazi ya waziri JPMWacha maneno matupu , kikwete pamoja na kujenga kwakwe kote alishia km5000 plus ndani ya miaka kumi, ivi unazijua km10000 ww
Kwani kuna kosa gani kutumia pesa vibaya ikiwa unaitafuta kwa bidii kuliko wengine magufuli alifanya kazi kubwa usiku na mchana hata angechota dola milioni 100 kuwa zake watz tungemwambia aongeze zaidi hata mara mbili ,kuna ubaya gani kumpa mchapa kazi wako mambo manono ,kama ingekuwa magufuli anafufuka kwa thamani ya dola $2bil tunge toa hizo pesa tumfufu hatunyoshee nchiTuwe wakweli Kuna fedha ilitumiwa vibaya pale Chato.Kuna mikoa Kama Lindi,Kagera,kigoma,Tabora bado haina stend za kisasa tena inahost mabasi mengi why ujenge wilayani Chato ambapo yanapita mabasi ordinary na ya Mashambani tu.
Mkuu hii data niliyo sema ni base ya kikao cha mwisho wakat Kikwete mwenyew anavunja bunge..labda usem amedangany mwenyewNenda kasearch tena Data zako mkuu zinakudanya.
Sio mimi maneno ya rais mstafu JKNenda kasearch tena Data zako mkuu zinakudanya.
Alafu ndio uhunye ajenge KM elfu 10Hayo ni madai ya wenzako. Aliyepost hayo madai ya Kikwete ni Sama boy 255
Toa utahira apa ...its just a part ofarusha na kisii dungu ya toka ni toke View attachment 1977187View attachment 1977180
Mimi nikiweka data yangu hutaki kuamini lakini wewe unataka niamini data yako? Hahaha kuwa serious wakati mwingine.Soma apo page ya piliView attachment 1977239
Ni kweli Geza kwenye matusi ni hatari sana.Mbona ww hua unatukana na hakuna anaekimbilia moderator?
Kweli mkuu yaani yy ukimzidi tu anatukana,juzi niliweka humu alivyonifuata inbox na kunitupia mitusi. Sasa hivi tunamwona 🚮🚮Ni kweli Geza kwenye matusi ni hatari sana.