figganigga
JF-Expert Member
- Oct 17, 2010
- 25,492
- 54,895
Vyombo vinavyo husika vikayoe msaada sababu hakuna msaada wowote na magari hayapiti. ni kamuni ya kbs. Mungu awasaidie. mia
=====
=====
Gari inayowaka moto ni KVC ya DAR-ARUSHA, ilikuwa safarini kuelekea ARUSHA, madhara kwa abiria na mali zao bado tunafuatilia!