Mroojr
Member
- Nov 15, 2010
- 65
- 8
Ni kiasi cha km 60 kutokea mji wa singida barabara ya Mwanza-Dar ambapo basi hilo limepata ajali muda mfupi sasahv na tayari maiti 3 zilishatolewa na bado uokozi unaendelea.
Tutaendelea kuwajuza kadri tutakapojaliwa kuyajua yaliopo eneo la ajali.
Taarifa za mwanzo zinaonyesha chanzo cha ajali ni utelezi eneo hilo la lami maana mvua ilikuwa inanyesha.
==========
UPDATES
Tutaendelea kuwajuza kadri tutakapojaliwa kuyajua yaliopo eneo la ajali.
Taarifa za mwanzo zinaonyesha chanzo cha ajali ni utelezi eneo hilo la lami maana mvua ilikuwa inanyesha.
==========
UPDATES
Ni kweli habari za kukwepa bibi kizee zimezagaa sana lakini haonekana huyo bibi kizee na hapakuwa na watu wa kuthibitsha hilo miongoni mwa abiria kutokana na hali ya taharuki iliyokuwepo hapo. Kwahiyo ni vigumu kuithibitisha habari ya bibi kizee.