polen san nikazi yamung
Jifunze kuandika huko. Unakera kama nini
polen san nikazi yamung
daaah pole xana kwa waathirika
Mungu atunusuru Na majanga hay a ya ajali ya kila mala
Naunga mkono wazo la kuwa na board ya kitaifa, itakayokuwa na jukumu la kufuatilia kwa kina kila ajari ya barabarani inayotokea, kwa lengo la kujua visababishi na kutoa taarifa / kuchukua hatua stahiki kwa lengo la kuzuia ama kupunguza mwendelezo wa ajari unao gharimu mali, nguvu kazi na uhai wa watz wengi. Sumatra wamejikita zaidi ktk leseni, bila shaka kwa lengo la kukusanya mshiko! Hili ni wazo zuri ambalo mkuu wa kitengo cha usalama barabarani anaweza kulichukua na kulifanyia kazi kwa kuishauri selikari..
Dereva awajibishwe. Sheria inasemaje juu ya kukwepa mmoja ili weng wadhurike
UKISIKIA UMBURULA ndio huuCCM kwa miaka 50 wameshindwa kuanzisha chombo kama National Transportation Safety Board NTSB ya Marekani, ambacho kina jukumu la kuchunguza kila ajali chanzo chake ni nini na kushauri serikali namna ya kuepuka ajali
Hopefully Chadema wakiingia madarakani 2015 wanaweza kuonyesha juhudi ya kupunguza ajali, MaCCM yameshindwa kwa sababu Ni maFreemasonry yanafurahia damu za watanzania kumwagika
Ni kweli habari za kukwepa bibi kizee zimezagaa sana lakini haonekana huyo bibi kizee na hapakuwa na watu wa kuthibitsha hilo miongoni mwa abiria kutokana na hali ya taharuki iliyokuwepo hapo. Kwahiyo ni vigumu kuithibitisha habari ya bibi kizee.
-Ilianza kampeni ya vithibiti mwendo
-Ikaja ishu ya mabasi -malori kupigwa marufuku
-Ikaja ishu sijui ya milango ya dharula
-Ikaja ishu ya leseni mpya
Upuuzi wote huo haujapunguza ajali nchini.
Ni kiasi cha km 60 kutokea mji wa singida barabara ya Mwanza-Dar ambapo basi hilo limepata ajali muda mfupi sasahv na tayari maiti 3 zilishatolewa na bado uokozi unaendelea.
Tutaendelea kuwajuza kadri tutakapojaliwa kuyajua yaliopo eneo la ajali.
Taarifa za mwanzo zinaonyesha chanzo cha ajali ni utelezi eneo hilo la lami maana mvua ilikuwa inanyesha.
==========
UPDATES
CCM kwa miaka 50 wameshindwa kuanzisha chombo kama National Transportation Safety Board NTSB ya Marekani, ambacho kina jukumu la kuchunguza kila ajali chanzo chake ni nini na kushauri serikali namna ya kuepuka ajali kama hizo in future. Hapa Tanzania ajali ikitokea Traffic wanaenda na vimita vyao na kamba kamba za kupimia kama wanapiga ramli. Baada ya hapo hautawasikia tena na ajali zinaendelea kutokea. Kila ajali lazima Ina lessons learned ambazo kwa namna moja au nyingine zinaweza kusaidia kuepusha ajali na kuokoa maisha.
Hopefully Chadema wakiingia madarakani 2015 wanaweza kuonyesha juhudi ya kupunguza ajali, MaCCM yameshindwa kwa sababu Ni maFreemasonry yanafurahia damu za watanzania kumwagika
-Ilianza kampeni ya vithibiti mwendo
-Ikaja ishu ya mabasi -malori kupigwa marufuku
-Ikaja ishu sijui ya milango ya dharula
-Ikaja ishu ya leseni mpya
Upuuzi wote huo haujapunguza ajali nchini.
Hiyo nadhani ni ZUBERI #2 au 3. Mimi mwenyewe jana nimetoka Mwanza na basi la ZUBERI, kwa bahati nzuri #1 na tumefika salama saa 5 usiku. Hawana mwendo mkali sana hawa, kwa hilo madereva wake siwahukumu. Ila madereva hawapokezani, tangu Dar hadi Mwanza na kadhalika Mwanza hadi Dar! Mungu awalaze Mahali pema marehemu na kujalia majeruhi wapone haraka...
Hii habari ya ajali ya Zuberi sio ya jana,ni ya tangu mwezi may 2014