wakukurupuka1
JF-Expert Member
- Feb 17, 2023
- 525
- 1,187
Basi hilo lililokua linatokea Mwanza kuja Dar es Salaam limepata ajali maeneo ya Hungumalwa kata ya Kwimba mkoani Mwanza.
Ajali hiyo imetokea baada ya basi kuparamia lori la mbao.
Hali za abiria ni majeruhi na vifo vipo kwa dereva wa lori.
Ajali hiyo imetokea baada ya basi kuparamia lori la mbao.
Hali za abiria ni majeruhi na vifo vipo kwa dereva wa lori.