Naunga mkono wazo la kuwa na board ya kitaifa, itakayokuwa na jukumu la kufuatilia kwa kina kila ajari ya barabarani inayotokea, kwa lengo la kujua visababishi na kutoa taarifa / kuchukua hatua stahiki kwa lengo la kuzuia ama kupunguza mwendelezo wa ajari unao gharimu mali, nguvu kazi na uhai wa watz wengi. Sumatra wamejikita zaidi ktk leseni, bila shaka kwa lengo la kukusanya mshiko! Hili ni wazo zuri ambalo mkuu wa kitengo cha usalama barabarani anaweza kulichukua na kulifanyia kazi kwa kuishauri selikari..