Basi la happy nation lapata ajali

Basi ilo linalofanya safari zake kati ya mpanda kwenda dsm limepata ajali eneo la nanga tabora.

Chanzo cha ajali iyo ni mwendokasi wa dereva wa basi ilo

Taarifa ya vifo na majeruhi zitatolewa na mamlaka husika

Malekebisho basi ilo lilikua linatokea mwanza kwenda dsm mpk sasa kuna vifo vya watu wawili
 
IMG-20230704-WA0008.jpg
IMG-20230704-WA0007.jpg
 
Basi ilo linalofanya safari zake kati ya mpanda kwenda dsm limepata ajali eneo la nanga tabora.

Chanzo cha ajali iyo ni mwendokasi wa dereva wa basi ilo

Taarifa ya vifo na majeruhi zitatolewa na mamlaka husika
Sasa bila picha

Ilo bas lilikuwa linatoka wapi mkuu
 
Umefanya kama jina lako
Huyu jamaa hii mara ya pili kuleta habari zisizokamilika,majuzi alileta habari ya ajali ya bus la New Force hivyo hivyo akiwa mbio mbio anaonekana kama siyo dereva wa bus basi ni dereva wa lorry anaandika haraka haraka huku akiendesha.

Mleta mada na wewe angalia usije ukaangusha chuma park pembeni post kitu kinachoeleweka kisha endelea na safari yako.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom