peno hasegawa
JF-Expert Member
- Feb 24, 2016
- 12,973
- 21,674
Mimi sio mwenyeji sana wamabasi ya abiria.
Ninaomba kuuliza! Je kuna basi lenye uwezo wa kubeba abiria 78?
Je, basi hilo lilitokea mwanza je lilikaguliwa popote na polisi njiani?
Je, orodha ya waliofariki majina yao yako wapi?
Je, majina ya majeruhi 60 yako wapi?
RPC Tabora, OCD Nzega na mkuu wa wilaya ya Nzega bado wako ofisini na ni watumishi wa UMMA?
Ninaomba kuuliza! Je kuna basi lenye uwezo wa kubeba abiria 78?
Je, basi hilo lilitokea mwanza je lilikaguliwa popote na polisi njiani?
Je, orodha ya waliofariki majina yao yako wapi?
Je, majina ya majeruhi 60 yako wapi?
RPC Tabora, OCD Nzega na mkuu wa wilaya ya Nzega bado wako ofisini na ni watumishi wa UMMA?