Basi gani zikitoka Mwanza zinafika Dar bila kulala Morogoro?

Magari ya mwanza dar asilimia kubwa ni mabovu ambayo yalishafanya kazi barabara za dar arusha na dar mbeya yakaonekana vimeo ndo yanaletwa mwanza. Mm naishi mwanza ila kila nikipanda basi siku hizi lazima mizinguo kibao njiani
Kwahiyo hata kisesa na zuberi yalishafanya safari dsm to arusha?
 
Kisbo mkuu, nilishaipanda nikakaa nyuma kbsa wakat nafika ubungo nilitaman niende hospital warudishe kila organ sehemu yake mana nilihisi utumbo, tumbo, ini, figo, nyongo na koromeo vyote vimehamia shingoni
 
Gari ambayo utajuta kuzariwa ukipanda ni Mohamed Trans, nilipanda msavu nipo nyuma nafka dom namkaribia dereva, viti ni movable ikiingia kwenye tuta lazma uende kwenye roof kwanza ukirud upo chini au kiti kishakaliwa. Tiket zao hawaandikag namb ya seat mana wanajua lazma uhame au usimame. Ile gari unaweza utoke msamvu mpk dom hujala hata punje ya karanga mana kuutafta mdomo ulipo ni timing ukifanikiwa hapo kaz ipo kwenye kumeza labda unyanyue kichwa juu kama kuku la sivyo itaishia kwenye koo haraf ipande, sio kwa kunesa kule.
 
Acheni kupotosha watu kwa sasa hakuna Bus linaloondoka Mwanza nakufika Dar es salaam siku moja ila Kisbo ni Bus zuri
 
Gari ambayo utajuta kuzariwa ukipanda ni Mohamed Trans, nilipanda msavu nipo nyuma nafka dom namkaribia dereva, viti ni movable ikiingia kwenye tuta lazma uende kwenye roof kwanza ukirud upo chini au kiti kishakaliwa. Tiket zao hawaandikag namb ya seat mana wanajua lazma uhame au usimame. Ile gari unaweza utoke msamvu mpk dom hujala hata punje ya karanga mana kuutafta mdomo ulipo ni timing ukifanikiwa hapo kaz ipo kwenye kumeza labda unyanyue kichwa juu kama kuku la sivyo itaishia kwenye koo haraf ipande, sio kwa kunesa kule.
Hahahahah...umeua! wee jamaa!
 
Acheni kupotosha watu kwa sasa hakuna Bus linaloondoka Mwanza nakufika Dar es salaam siku moja ila Kisbo ni Bus zuri
9af43bbaaee8a6d8a008b933ea0b074c.jpg
 
Anha, tumeshajuwa Mabasi yaendayo kasi, ngoja niwasiliane na Afwande sasa.
 
Hakuna kampuni ambayo haijawahi kupata ajari. Hoja hapa nilisema kwa kuangalia spidi zao na idadi ya ajari zao kiukweli wako reasonable kwa maana ilitegemewa kama si kila safari basi ndani ya wiki wapate ajari ila wanasavaivu.
 
Kuna basi linaitwa 'Engine Ya Bajaj'....hili basi kamwe halilali njiani labda kuwe na msafara wa rais unawazuia.
 
Engine ni hizo hizo tu, scania 94 na 95, ila Kisbo wanawazidi wenzao kwenye time-keeping, hilo tu.
Hapa ndo umenena, na hawaingii Stend ndogo ndogo za wilayani, mfano Wakitoka MWZ hawaingii Misungwi ni hadi SHY, Nzega ni Lazima coz ndo njia wakitoka hapo Igunga hawaingii ni hadi Singida pale kwenye mgahawa, kwa kifupi wanajali sana muda, halafu Hizi Gari zote nimezipanda Kisbo Kahm_Dar, Tabora_Dar, MWZ_Dar, niliwahi kuongea na konda mmoja Kipindi Niko kahama Coz wao kwa sasa licha ya kutokuendesha speed zaidi ya 80, wanafika Kahama saa5 kamili usiku, somtym 4:45, DarLux na RedBelt wanafika saa6:30 kahama, na Mabasi mengine ya Bukoba yanalala Nzega, Akasema kampuni huwa imetenga kila safari moja Sh Laki 1 na NUSU kwa kila gari kwa ajili ya Torch kwa hiyo hata siku1 hawapigwi torch. Now ndo wababe wa njia za Dar_Tbr, Dar_Khm na Dar_MWZ
 
Asanteni,tunachukua hatua stahili kwa malalamiko yenu kua kisbo ina mwendo kasi sana.
 
Gari ambayo utajuta kuzariwa ukipanda ni Mohamed Trans, nilipanda msavu nipo nyuma nafka dom namkaribia dereva, viti ni movable ikiingia kwenye tuta lazma uende kwenye roof kwanza ukirud upo chini au kiti kishakaliwa. Tiket zao hawaandikag namb ya seat mana wanajua lazma uhame au usimame. Ile gari unaweza utoke msamvu mpk dom hujala hata punje ya karanga mana kuutafta mdomo ulipo ni timing ukifanikiwa hapo kaz ipo kwenye kumeza labda unyanyue kichwa juu kama kuku la sivyo itaishia kwenye koo haraf ipande, sio kwa kunesa kule.
Seriously, u made my day.
Hii naona itakuwa comment ya kufungia mwaka mkuu...
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom