mhuri25
JF-Expert Member
- Sep 3, 2016
- 2,667
- 3,455
Hello wakuu,
Nahitaji msaada, niko Kanda ya ziwa huku wiki ijayo natoka huku kwenda Dar lengo nifike huko kusini na kama mnavyojua Gari toka kanda ya ziwa hufika Dar usiku sana namimi nataka kesho yake nifike Kusini.
Je, kuna basi hufika huko Mbagala moja kwa moja likishashusha Mbezi Luis, au nitumie njia ipi rahisi zaidi kufika huko Mkoa wa Mtwara Wilaya ya Newala?
Nahitaji msaada, niko Kanda ya ziwa huku wiki ijayo natoka huku kwenda Dar lengo nifike huko kusini na kama mnavyojua Gari toka kanda ya ziwa hufika Dar usiku sana namimi nataka kesho yake nifike Kusini.
Je, kuna basi hufika huko Mbagala moja kwa moja likishashusha Mbezi Luis, au nitumie njia ipi rahisi zaidi kufika huko Mkoa wa Mtwara Wilaya ya Newala?