MOI JOHN
JF-Expert Member
- Aug 15, 2013
- 1,736
- 1,078
Ulionaje muonekano wa ofisi zao pale Shekilango? hatarLeo nimepanda dar lux imetoboa japo tumefika saa 7 usiku,bt hiyo kitu inayoitwa kisbo acha kabisa inatambaa hatar huwez kulala moro
Ulionaje muonekano wa ofisi zao pale Shekilango? hatarLeo nimepanda dar lux imetoboa japo tumefika saa 7 usiku,bt hiyo kitu inayoitwa kisbo acha kabisa inatambaa hatar huwez kulala moro
Abood anazo mbili...ya Moro to Mwanza na ya Dar to Mwanza.Abood inaishia tu Moro haifiki dar
Usilete story za mitaani hapa,mfano kisesa na arusha wapi na wapi?Magari ya mwanza dar asilimia kubwa ni mabovu ambayo yalishafanya kazi barabara za dar arusha na dar mbeya yakaonekana vimeo ndo yanaletwa mwanza. Mm naishi mwanza ila kila nikipanda basi siku hizi lazima mizinguo kibao njiani
Kiongozi umenena kweliSafari ya mwnz-Dar it's all about timing wakuu, ipo hivi kama dreva hataki kulala morogoro basi inabdi afanye mpango wa kufika dodoma kabla ya saa moja jioni. Akifika dom kuanzia saa 11 -12:30 jioni basi dar saa 5:30 mpaka 6 usiku anatoboa
Sababu nikuwa kuanzia saa 11 za jioni kutoka dodoma kwenda moro, dar traffic wanakuwa wameisha anza kutoka barabarani
Engine ni hizo hizo tu, scania 94 na 95, ila Kisbo wanawazidi wenzao kwenye time-keeping, hilo tu.Kisbo mkuu....ile company sijui wanatumia engine gan
Na hata ajari hawapati sana ukilinganisha na spidi zao. Wako makini kusema kweli ijapo ni roho mkononi kweli kweli