KweliKwanza
JF-Expert Member
- Aug 20, 2016
- 3,500
- 2,781
Mnazicjomesha ee
Hapa ndo umenena, na hawaingii Stend ndogo ndogo za wilayani, mfano Wakitoka MWZ hawaingii Misungwi ni hadi SHY, Nzega ni Lazima coz ndo njia wakitoka hapo Igunga hawaingii ni hadi Singida pale kwenye mgahawa, kwa kifupi wanajali sana muda, halafu Hizi Gari zote nimezipanda Kisbo Kahm_Dar, Tabora_Dar, MWZ_Dar, niliwahi kuongea na konda mmoja Kipindi Niko kahama Coz wao kwa sasa licha ya kutokuendesha speed zaidi ya 80, wanafika Kahama saa5 kamili usiku, somtym 4:45, DarLux na RedBelt wanafika saa6:30 kahama, na Mabasi mengine ya Bukoba yanalala Nzega, Akasema kampuni huwa imetenga kila safari moja Sh Laki 1 na NUSU kwa kila gari kwa ajili ya Torch kwa hiyo hata siku1 hawapigwi torch. Now ndo wababe wa njia za Dar_Tbr, Dar_Khm na Dar_MWZ
Hatari sana umenikumbusha mbali mkuu mida ya saa tatu huyo tayari jijini Dar toka mwanza.Nakumbuka zaman na Allys saa mbili nanusu had tatu kasoro upo ubungo kutoka mwanza
Kisbo safari
Dar-Mwanza (1152 km)
Scania 94D_310
Nauli=Utaiweza tu!
Basi na TAKUKURU wamesikia maana hiyo si faini bali rushwa kwa traffic police.Wana bajeti ya faini tayari.
nauli ya fastjet shing ngap mkuu?Nilishafanya hesabu, nauli+ pesa ya kula njiani+ nauli ya kukodi Tax usiku wa manane inatosha kukata tiketi ya Fastjet.
Dar Mwanza sipandi basi hata kwa dawa.
Asipoleta mrejeshi jua gari imechinjaaKaribia comments zote wamekushauri Kisbo... Safari njema,usisahau na mrejesho mkuu.
Acha uongo ww ni mtu mzima,Magari ya mwanza dar asilimia kubwa ni mabovu ambayo yalishafanya kazi barabara za dar arusha na dar mbeya yakaonekana vimeo ndo yanaletwa mwanza. Mm naishi mwanza ila kila nikipanda basi siku hizi lazima mizinguo kibao njiani
Ligi ilikuwa ni Ally's sports na Lucy star, hapo miaka ya 2009.Wapi City BOY, Kisbo haina mpinzani Mkuuu
Ashaleta mrejesho..Asipoleta mrejeshi jua gari imechinjaa
Ilikua ligi ya hatari sana,bus hizo zilikua zinatembea ile mbaya hasa Ally's sports.Ligi ilikuwa ni Ally's sports na Lucy star, hapo miaka ya 2009.
Saa moja kamili chuma zimemwaga upepo Nyegezi, leo Ally's akiwa wa kwanza luck star wa pili, luck star wa kwanza Ally's wa pili
Mzima wa afya bila shaka nawe pia HornetTutasikia karibuni zinafanyiwa figisu na kupigwa faini za kutosha
Mzima lakini?