Thomas10
JF-Expert Member
- Mar 9, 2017
- 856
- 2,318
Na hii ndo inaipa jeuri ccmTatizo sio kumng'oa ishu iko hapo kwenye tume maana wana uwezo wa kupindua kama alivyofanya jecha kule zanzibar
Mwenyekiti wa tume hawez kupinga maelekezo kutoka kwa bos wake (mteuzi) maana anajua fika kuwa endapo cdm au cham chcht cha upinzan kikichukua madaraka, yeye na wasaidizi wake watafyekelewa mbali maana sheria ya uchaguzi itabadilishwa na tume itapunguziwa nguvu ilonayo sasa