Bashiru Vs Membe: CCM yatoa msimamo wake kuhusu suala hilo

Bashiru Vs Membe: CCM yatoa msimamo wake kuhusu suala hilo

Inatakiwa ikifika kipindi cha uchaguzi Tanzania isimame kwanza.
Tuadress na kusolve tatizo la tume na tuwe na key figures upande wa watanzania.

Tukiwapuuza hawa wakolomije tusijeshangaa wakatushangaza!
 
Nimeshindwa kukuelewa hapo unaposema rais amfukuze membe.
Kwani kwa kipindi hicho unataka kusema kuwa magu nae angekimbilia kenya?ina maana saa hivi alipize kisasi?hapo kwa maelezo yako inaonyesha kuwa kwemye hao maadui 11 wa membe magufuli alikuwepo?
 
Rais Magufuli ni mtu wa watu na hana wa kulinganishwa kamwe hapa nchini kwa kizazi chote cha Post-Sokoine. Amepeleka umeme hadi Chiponda ambako ndiko nyumbani kwao Bernard Membe.

View attachment 955577
Waziri wa Nishati Kalemani, akizindua kuwashwa kwa umeme katika Kijiji cha Chiponda, mkoani Lindi. Hizo ni juhudi za Rais Magufuli na slogan yake ya maendeleo hayana vyama. Anawaaibisha wenye roho za kwa nini?

Cha ajabu, naona Membe badala ya kufurahia huduma, mawazo yake yako mbingu ya tano. Anafikiria jinsi anavyoaibishwa kuletewa umeme na mwenzake wakati yeye alishindwa miaka 15 akiwa Mbunge na Waziri.
Usisahau kuweka namba za simu
 
Wewe nawe huna haya kabisa
Linjemba membe limezeeka fukara, linashindwa kuwalipa watu alio wahaidi kumfanyia kazi, totally bogus!
Pathetic
Hahahaa........ Usimfananishe Membe na Nape.....kweli kukariri kubaya!
 
Mm ninachofurahia ni jinsi mnavyocheza ngoma inayopigwa na ccm huku mwenyekiti wenu akiwa ndani.

Chadema mna vichwa vigumu sana sana!

Sasa kwa akili yenu mnaona kabisa pale Membe yupo kumtoa Magu 2020?
Mbowe kuwa ndani ni triki ya kiwango cha juu sana , ni mchongo mmoja makini sana ambao wachumia tumbo hawatoelewa milele.
 
Kapeleka kwa pesa yake au kodi ya Watanzania !!! Poor Tanzania, ujinga (Ignorance) ndo mtaji wa wanasiasa. Kama ungekuwa wewe, tayari ungeisha kata umeme kwao Tundu Lisu na Mbowe.
Umeona like yangu huko?
 
Katibu wa itikadi na uenezi wa CCM kwa niaba ya chama amejiingiza katika sakata linaloendelea lililoibuliwa na Dr Bashiru katibu Mkuu wa CCM na kuacha ukakasi zaidi badala ya kupoza joto.

Inakuwaje Pole pole aseme kwamba utaratibu wa kuitwa Mh Membe ni wa kawaida ndani ya CCM na kubainisha kuwa chama kina msimamo huo ? kweli ? Kitendo cha kujitokeza wazee akiwemo msekwa na kukosoa utaratibu uliotumika ni wazi kuwa Pole pole kachaguwa upande wake .

CCM kama chama kimechaguwa upande wa Katibu wake dr Bashiru na sio Utaratibu wa KAZI wa kuwasiliana na wanachama wake hasa waandamizi. Katika hali hio CCM na pole pole wanaendeleza mfarakano ndani ya chama badala ya kuupoza.


Nionavyo mimi, Pole Pole hajaisadia CCM lakini kaendeleza mtifuano kwa kuegemea upande wake.




Kishada
 
Hivi kuna tofauti gani kati ya pole pole na bashiru!????
 
Mzee Mangula uko wapi unawaachia vijana chama kinakwenda mrama... Rudi waeleze misingi ya namna ya kuongoza chama, wew ni mkongwe
Kabla hajawaeleza misingi bora ya uongozi,atuombe msamaha kwa kutuwekea yule mtu pale White house
 
Yanasemwa mengi na yatasemwa mengi ila kama kuna Kosa kubwa ambalo Rais Dkt. Magufuli amelifanya ( na naamini hapa atakuwa alishauriwa vibaya na Watu wake ) ni kuweka mbali au kukaa mbali na ' Fundi wa Diplomasia ' Benard Membe na kwa maoni yangu huenda leo hii tunaona baadhi ya matatizo ya hapa na pale yanatokea hasa Kimataifa kwakuwa hana ' Mafundi ' kama akina Membe.

Hata kama huyu Mtu ( Membe ) aliamua Kuachana na Ubunge lakini Mimi kama GENTAMYCINE bado naamini kwamba Mheshimiwa Rais Magufuli kwa ' Mandate ' yake kama ' Executive ' bado alikuwa anaweza Kumtumia katika ' Baraza ' lake la Mawaziri au hata katika maeneo mengine hasa ya Kidiplomasia ambayo kwa Mimi naona kwamba hadi hivi leo bado tunafanya vibaya na mifano juu ya hili iko mingi tu.

Kwa Mtu mwenye ' exposure ' kubwa na ' iliyotukuka ' kabisa huku akiwa amewahi Kuhudumu katika moja ya Idara / Taasisi muhimu / nyeti Kiusalama katika nchi hii kama Mzee Benard Membe leo hii kumuacha awe tu hivi ' huru ' nadhani ' technically ' kabisa hapa kuna Kosa kubwa sana lilifanyika ama kwa Watu kutokujua au Mheshimiwa Rais Magufuli alilishwa ' Sumu ' za ' Kimajungu ' na Watu wake wa karibu ambao anawaamini nae ' Sumu ' ikamuingia vilivyo na matokeo yake ndiyo haya sasa.

Sehemu yoyote ile hasa kwa Watu wenye ' akili ' sawasawa pale ukishaona kuwa Mtu fulani bado ana ' Potential ' fulani katika nchi ambayo ina Tija ya Kimaendeleo basi yakupashwa uendelee Kumuamini na Kumtumia ila kama pia umeona mwenyewe kwa Vipimo vyako kuwa GENTAMYCINE ni ' Tishio ' Kwako basi njia pekee ya Kumuweza ni ' Kumjumuisha ' katika ' Utawala ' wako ili uweze Kumlevya Kimamlaka lakini pia Kumdhoofisha ' Kimbinu ' pasipo Yeye kujua lakini kumuacha awepo awepo tu ni hatari kubwa kama ambavyo tunaanza kuiona sasa.

Hata hivyo bado hatujachelewa na hasa hasa Rais Magufuli bado hajachelewa kwani Mimi GENTAMYCINE naamini tena kwa 100% kuwa Mzee Benard Membe anaweza kuwa ni ' msaada ' mkubwa mno wa Kiutawala Kwake ama kwa huu muda alioubakisha kwa muhula wale huu wa Kwanza au hata kwa muhula wake wa pili na mwisho. Asiwasikilize wale ' Wanafiki ' ambao wamemzunguka na ambao hata Yeye pia alishakiri mara nyingi tu kuwa walishawahi hadi kumwambia kuwa Katibu Mkuu wa sasa wa CCM Ndugu Bashiru Ally Kakurwa hafai lakini Yeye mwenyewe akajiridhisha nae na kuamua kufanya nae Kazi na tunaona anafanya vyema tu.

Yangu ni hayo tu ila Mzee Benard Membe bado ni ' Lulu ' kubwa katika ' Utawala ' huu asiachwe na apewe ' Majukumu '.

Nawasilisha.
Leo nimekuelewa kuliko siku zote safiiii
 
Back
Top Bottom