Elitwege
JF-Expert Member
- Jun 4, 2017
- 5,294
- 10,976
Angalia hata gazeti la Tanzania Daima linaandika ninimkuu acha uongo! la maembe ni la ma sisiemu yenyewe!
Angalia hata gazeti la Tanzania Daima linaandika ninimkuu acha uongo! la maembe ni la ma sisiemu yenyewe!
Membe 2020Mahaba ya Chadema kwa Membe yanasitajaabisha , badala ya kumlilia Mbowe yupo gerezani wako bize kumlilia mwana ccm Membe!!!!
Kila baada ya saa moja kuna mwana Chadema anaanzisha nyuzi ya kumpromote Membe badala Mbowe.
Baada ya Mbowe kufungwa jela vijana wake wote anaowalipa kumtetea mtandaoni wamekacha kumtetea na sasa wameanza kutumia bando aliliowalipa kumtetea Membe.
Katika hali ya kawaida vijana wa Chadema na magazeti yalitakiwa yawe bize kuongelea kufungwa kwa Mbowe lakini sasa hamna chombo cha habari wala gazeti linaloandika habari za mwenyekiti ,
Bavicha na Chadema kwa ujumla macho yao yote ni kwa mwana ccm Membe!!
zamani nilijua limbwata ni kwenye mapenzi tu ila nimebadili mtazamo hata kushabikia uchafu wa ccm lazima ulishwe limbwata.Chadema wako bize kumpotosha Membe kama walivyompotosha Lowasa.
Mahaba ya Chadema kwa Membe yanasitajaabisha , badala ya kumlilia Mbowe yupo gerezani wako bize kumlilia mwana ccm Membe!!!!
Kuna watu wakipenda kitu wao ni kusifia tu.Hivi Tanzania nzima ni Membe tu ni potential?Kwamba ilikua ni lzm Membe awe included ktk utawala huu na kuachwa ni kosa kubwa sana.Hivi mh membe anaweza kuwa mwanadiplomasia zaidi ya mh mahiga.au ndio kipendacho roho?kama ushushu basi mh mahiga pia ni zaidi
Shida ya jf humu kila mtu ni mjuaji. Yani unakuta mtu anajifanya anataarifa nyingi na SAHIHI kuliko magufuli. Hakuna mtanzania mwenye source nyingi za habari na SAHIHI kuliko Rais. Ukikuta jf member anajitia mjuaji kuliko magufuli, huwa maajabu sana.Magufuli anamjua Membe kuliko wewe unavyomjua,wewe na wengine mnaendeshwa kwa mahaba ila Magufuli amekuwa ccm (serikalini) kwa miaka 20 anawajua wakina Membe na wenzake vizuri sana na anajua kwanini hajamteua.
Kiuhalisia Magufuli hajakosea,kimahaba yako na wenzako kakosea.
-@Sir khan.
Chadema wako bize kumpotosha Membe kama walivyompotosha Lowasa.
Mahaba ya Chadema kwa Membe yanasitajaabisha , badala ya kumlilia Mbowe yupo gerezani wako bize kumlilia mwana ccm Membe!!!!
Njoo utembelee reli ya umeme utoe unyumbu kichwaniHa ha ha ha eti Membe homa ya magufuli ndio maana anaomba aombewe asiwe na kuburi ha ha ha ha hakuna rangi ataacha kuona na ile pasmark yake sijui kama inafanya kazi sasa hivi
Mahaba ya Chadema kwa Membe yanasitajaabisha , badala ya kumlilia Mbowe yupo gerezani wako bize kumlilia mwana ccm Membe!!!!
Kila baada ya saa moja kuna mwana Chadema anaanzisha nyuzi ya kumpromote Membe badala Mbowe.
Baada ya Mbowe kufungwa jela vijana wake wote anaowalipa kumtetea mtandaoni wamekacha kumtetea na sasa wameanza kutumia bando aliliowalipa kumtetea Membe.
Katika hali ya kawaida vijana wa Chadema na magazeti yalitakiwa yawe bize kuongelea kufungwa kwa Mbowe lakini sasa hamna chombo cha habari wala gazeti linaloandika habari za mwenyekiti ,
Bavicha na Chadema kwa ujumla macho yao yote ni kwa mwana ccm Membe!!
Shida ya jf humu kila mtu ni mjuaji. Yani unakuta mtu anajifanya anataarifa nyingi na SAHIHI kuliko magufuli. Hakuna mtanzania mwenye source nyingi za habari na SAHIHI kuliko Rais. Ukikuta jf member anajitia mjuaji kuliko magufuli, huwa maajabu sana.