Usiangalie hoja kwa kumwangalia mtoa hoja. Angalia mantiki ya hoja na ujumbe unaobebwa na hoja inayotolewa. Namkumbuka Membe kwa uchambuzi wake wa habari za Kitine na mke wake akiwa kwenye matibabu Marekani. Aliandika kwa uchambuzi wa kiina sana, lakini kumbe nyuma ya pazia alikuwa na ajenda ya siri kumwingiza iKULU rafiki yake JK.Aliona Kitine angekuwa kikwazo kwa JK, AKAONA LAZIMA amwondoe kwa njia yoyote ile. Akafanikiwa kwa kuwa watu hawakumfahamu vizuri. Leo JK naye anataka kulipa fadhira kwa kumwingiza Membe Ikulu.
Inawezekana hoja ya Bashe ina ukweli. Katika kitabu chake cha Tujisahihishe JK Nyerere anasema ukweli usipuuzwe kwa kuangalia anayeusema kama ni kichaa au anatoka kamasi puani. Ukweli hata usemwe na nani una kawaida wa kujilipizia.
Usomali wa Bashe hauondoi ukweli wa Membe kuwa mnafiki kama kweli ni mnafiki
Inawezekana hoja ya Bashe ina ukweli. Katika kitabu chake cha Tujisahihishe JK Nyerere anasema ukweli usipuuzwe kwa kuangalia anayeusema kama ni kichaa au anatoka kamasi puani. Ukweli hata usemwe na nani una kawaida wa kujilipizia.
Usomali wa Bashe hauondoi ukweli wa Membe kuwa mnafiki kama kweli ni mnafiki