Bashe amlipua Membe

Bashe amlipua Membe

Tz ni kubwa haiwezekani kila siku chinga ndo atuongoze. Malaigwanani nanyi ni zamu yenu kukaa juu sio kila siku uPM tu. kwi! kwi! kwi!
 
Bora Bashe atoe ya moyoni wanamuandama sana akitaka kugombea eti sio raia uchaguzi ukiisha ni raia, Membe na Nyalandu pia wanawatumia KINA Matefu na wenzake kila siku kumtukana na kumbagua Bashe! Hongera Bashe kwa kupiga kwenye kichwa KINA Happi, Makonda, Mwakibinga, Musiba, Riz, Nape na wajingawajinga wengine sio size yako we deal na Hao wanaochonga hivyo vinyago pamoja sana
 
anafanya hiyo press conference wapi? why jmosi? sawa tumekubali tunasubiri yatakayojiri
 
Nchi inayoongoza kwa press conference za kujibu hoja zisizo na tija kuliko nchi nyingine wakati walikuwa wanauwezo wa kukaa na kuelezana ukweli, tunahitaji Taifa la kuvumialiana pale mtu anapokuwa na hoja tofauti na wewe maana itapunguza haya mambo ya kuita waandishi kwa ufafanunuzi, nilichojifunza taasisi nyingi watu huchukiana kisa wana mitazamo tofauti na ndio maana tuna shuhudia haya kila siku watu wanashindana kwenyeye vyombo vya habari hawafanyi mambo mengine. TUNASUBIRI UTUPAKULIE MAANA NI HAI YETU KUFAHAMU THOUGH WANABOA (na waandishi wetu hawatoki bure hapa)
 
Bora Bashe atoe ya moyoni wanamuandama sana akitaka kugombea eti sio raia uchaguzi ukiisha ni raia, Membe na Nyalandu pia wanawatumia KINA Matefu na wenzake kila siku kumtukana na kumbagua Bashe! Hongera Bashe kwa kupiga kwenye kichwa KINA Happi, Makonda, Mwakibinga, Musiba, Riz, Nape na wajingawajinga wengine sio size yako we deal na Hao wanaochonga hivyo vinyago pamoja sana

bashe na hao wengime ulowataja kwenye hii KOMENT WOOOOTE MAZUZU,TAMAA ZAO TU NDO ZINAWAZUZUA
 
Kama vipi watishiane BASTOLA................naamini wote wanazo wasitupotezee muda............ILIISHA TANGAZWA NA CCM KUWA BASHE SIO RAIA SASA NAULIZA KAPATA LINI URAIA WAKE?
 
Kama ni kweli basi filamu yao tunaendelea kuisubiri! Waache walipuane wenyewe kwa wenyewe!
 
Kama vipi watishiane BASTOLA................naamini wote wanazo wasitupotezee muda............ILIISHA TANGAZWA NA CCM KUWA BASHE SIO RAIA SASA NAULIZA KAPATA LINI URAIA WAKE?

LAKINI KWELI UYU DOGO C MTANZANIA, SIAMINI KM KAWAWEKA UHAMIAJi KT MFUKO WAKE ATA HAWA UHAMIAJI? KWELI BASHE NI NOUMA
 
Back
Top Bottom